Daimond Platnumz aonyesha muendelezo wa moja ya Nyumba zake


Hahahahahahahahaaaaa umenichekesha
 
you are right, naomba pia uwepo...when atakapoenda bankrupt ,.....jumapili njema......:yo:

"Never surrender, it's all about the faith you got: don't ever stop, just push it 'till you hit the top and if you drop, at least you know you gave your all to be true to you, that way you can never fall"
― Tupac Shakur
 
Maskini diamond nyumba yake imeanguka ukuta ...wachawi hawa mmmh
 

Hahaa.
Kuna watu wana wivu sijapata kuona.
 
TANGAZO TANGAZO TANGAZO.
Tunapenda kuwatangazia watanzania wote wenye roho za kwanini kwamba mwezi ndio huu unefikia ukingoni hivyo msitumie akili nyingi kuiponda nyumba ya platnumz mkasahau kufikiria ni namna gani mtapata pesa ya kulipa kodi ya vyumba vyenu mlivyopangisha.Kumbuka baba mwenye nyumba atakapokutupia kigodoro chako kwa kushindwa kulipa kodi Diamond atakua akiogolea kwenye swimingpool yake na East Africas sweetheart Zarina.Lol
 
Wacha wee...amejenga bondeni au??
mwenzangu imeanguka upande mzima nyumba yote iko uchi hata kilichompata sijui nini ningekua naweza kuweka picha hapa ningeweka....subiri watu watakuja nazo
 
Nyumba ya Diamond muonekano kwa upande wa juu
 
Kwani muziki ndio una jenga nyumba. .watu wana michongo yao wanafanya wana ongeza kipato wana jenga... Labda professor Jay ndio atakua kajenga nyumba kwa mziki.. manake miaka 10 ana jenga nyumba
 
Duh binamu ungerudi tu kwenye ubuyu wa mabongomuviz...Dogo ata kama haumkubali ila kajijenga vizuri sana.

Nyumba yenyewe kimeo, imebomoka, ninefuraijee, Dinazarde umeona nyumba ya boss ukuta umevunjika? Nimefuraije maana siku yangu ilikuwa mbaya toka hasubuhi, sasa naweza kulala kwa amani
 
Last edited by a moderator:

We kodi umelipa? Au mnasubir ndomo awalipie
 
Mnavyojishaua kama mmeambiwa mtaishi humo vile, nfyuuu ngoja niwahi zangu airport mie niende zangu jamaica, bongo kazi kusifia uchawi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…