Daimondi hatakuwepo fiesta, clouds wamemkata, na mi siendi fiesta basi!

mbere

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
6,967
Reaction score
6,465
Clouds wamesafiri mpaka
marekani kumtafuta jay z
Uganda Chameleoni ,
Tecno na Yemi Alade,
Wakakosa nauli ya kwenda Tandale kumwalika Diamond
Na mi sitaingia sasa fiesta yao tuone hizo bilioni 5 za Jay z watapata wapi!!!!!!!!!!!
 
Clouds wamesafiri mpaka
marekani kumtafuta jay z
Uganda Chameleoni ,
Tecno na Yemi Alade,
Wakakosa nauli ya kwenda Tandale kumwalika Diamond
Na mi sitaingia sasa fiesta yao tuone hizo bilioni 5 za Jay z watapata wapi!!!!!!!!!!!
Diamond ana mkataba na VODA, hawezi akaingia kwenye matangazo ya Fiesta ambayo yanadhaminiwa na tiGo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…