Diamond ana mkataba na VODA, hawezi akaingia kwenye matangazo ya Fiesta ambayo yanadhaminiwa na tiGo...Clouds wamesafiri mpaka
marekani kumtafuta jay z
Uganda Chameleoni ,
Tecno na Yemi Alade,
Wakakosa nauli ya kwenda Tandale kumwalika Diamond
Na mi sitaingia sasa fiesta yao tuone hizo bilioni 5 za Jay z watapata wapi!!!!!!!!!!!
HahahahaaFiesta ni juice mpya za bakhresa
Diamond ni kamishna ya elimu ya uchawi sumbawanga
Haaaaaahaaaaa umeua mkuuFiesta ni juice mpya za bakhresa
Diamond ni kamishna ya elimu ya uchawi sumbawanga
Fiesta ni bia imezinduliwa jana na kampuni ya Serengeti, na Diamond ni vioo vya magariFiesta ni kitu gani?? Na huyo diamond ni nani???
Asee nimecheka sanaaa mkuuuFiesta ni juice mpya za bakhresa
Diamond ni kamishna ya elimu ya uchawi sumbawanga
Kokutona unamfahamu Dayamondi?Hahahahaa
Lol