Daimondi hatakuwepo fiesta, clouds wamemkata, na mi siendi fiesta basi!

Daimondi hatakuwepo fiesta, clouds wamemkata, na mi siendi fiesta basi!

Nasikia yupo anaishi kule Maramba, amelima mananasi japo uganga haachi...
 
Diamond ana mkataba na VODA, hawezi akaingia kwenye matangazo ya Fiesta ambayo yanadhaminiwa na tiGo...
Huu ndio ukweli uliopo hawezi oleww na mabwana wawili, yule ni msanii mkubwa na ana mkataba mnono na voda, so hawezi kushiriki tamasha la linalodhaminiwa na tigo, na mkataba unamfunga..........

Japo ukiangalia video zake za youtube zinazo onesha behind-the-scenes ya SALOME zinavyoanza utagundua kitu kwa huyu jamaa kuhisu tigo.
 
Clouds wamesafiri mpaka
marekani kumtafuta jay z
Uganda Chameleoni ,
Tecno na Yemi Alade,
Wakakosa nauli ya kwenda Tandale kumwalika Diamond
Na mi sitaingia sasa fiesta yao tuone hizo bilioni 5 za Jay z watapata wapi!!!!!!!!!!!
1477984348040.jpg
 
Juzi usiku niliota Diamond atapandishwa fiesta kama msanii wa suprize, Lets Wait
 
Hivi jay z unamjua au unamsikia...yule jamaa ana mashauzi hadi bas...sidhani kama clouds wanaeza kumleta..!! Hizo ni kiki za clouds
 
Diamond amechuja mno..
Yap...
AMECHUJA baadhi ya MATAMASHA ambayo hayafiki kiwango cha pesa anachohitaji...
Amebakisha MATAMASHA yanayomlipa kiasi cha pesa anachohitaji..!
Diamond huwa ANACHUJA matamasha ya kuperform,sio kama yule MWINGINE ambaye kila TAMASHA anaperform..!
 
Yap...
AMECHUJA baadhi ya MATAMASHA ambayo hayafiki kiwango cha pesa anachohitaji...
Amebakisha MATAMASHA yanayomlipa kiasi cha pesa anachohitaji..!
Diamond huwa ANACHUJA matamasha ya kuperform,sio kama yule MWINGINE ambaye kila TAMASHA anaperform..!
huna akili umefilisika kama diamond
 
Back
Top Bottom