Daisle Ulomi aliwahi kuwa askari, jeshi la polisi linapaswa kuwa na majibu

Daisle Ulomi aliwahi kuwa askari, jeshi la polisi linapaswa kuwa na majibu

DON YRN

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2019
Posts
606
Reaction score
1,453
Hili nina uhakika nalo kuwa Daisle Ulomi alikuwa askari wa Jeshi la Polisi Tanzania ila sina uhakika kama aliachana na hiyo kazi(Hapa ndipo swali lilipo kuhusu kifo chake, Ulomi kauawa) maana ni siku nyingi sijaonana naye ila ufahamu wangu na hata kiapo naweza thibitisha kuwa Daisle ulomi alikuwa askari wa jeshi la polisi Tanzania.

N.B; Nilikutana na Daisle Simon Ulomi at Tumaini university Dar es Salaam College(Tudarco).

He was a good brother, sikutegemea km kuna siku atauawa kikatili hivi.

Pumzika kwa amani kamanda D
FB_IMG_1734376369256.jpg
 
Hili nina uhakika nalo kuwa Daisle ulomi alikuwa askari wa jeshi la Polisi Tanzania ila sina uhakika kama aliachana na hiyo kazi(Hapa ndipo swali lilipo kuhusu kifo chake, Ulomi kauawa) maana ni siku nyingi sijaonana naye ila ufahamu wangu na hata kiapo naweza thibitisha kuwa Daisle ulomi alikuwa askari wa jeshi la polisi Tanzania.

N.B; Nilikutana na Daisle Simon Ulomi at Tumaini university Dar es Salaam College(Tudarco).
He was a good brother, sikutegemea km kuna siku atauawa kikatili hivi...
Pumzika kwa amani kamanda DView attachment 3178324
Kwa hiyo aliacha kazi,sijakuelewa na mauaji yake na kuwa polisi!
 
Hili nina uhakika nalo kuwa Daisle ulomi alikuwa askari wa jeshi la Polisi Tanzania ila sina uhakika kama aliachana na hiyo kazi(Hapa ndipo swali lilipo kuhusu kifo chake, Ulomi kauawa) maana ni siku nyingi sijaonana naye ila ufahamu wangu na hata kiapo naweza thibitisha kuwa Daisle ulomi alikuwa askari wa jeshi la polisi Tanzania.

N.B; Nilikutana na Daisle Simon Ulomi at Tumaini university Dar es Salaam College(Tudarco).
He was a good brother, sikutegemea km kuna siku atauawa kikatili hivi...
Pumzika kwa amani kamanda DView attachment 3178324
ajali ni kitu mbaya sana ambayo aichagui ulikua nani wapi.

ni muhimu kua waangalifu na kuzingatia sheria za usalama barabarani.

R.I.P Ulomi, ghafla imebaki stori tu dah! 😢
 
ajali ni kitu mbaya sana ambayo aichagui ulikua nani wapi.

ni muhimu kua waangalifu na kusingizia sheria za usalama barabarani.

R.I.P Ulomi, ghafla imebaki stori tu dah! 😢
Nukuu "Ulomi aliondoka eneo lake huku akitumia pikipiki namba MC 415 DQC"
Umewaelewa polisi lkn?, hakuna cha ajali wala nn
 
Ni muhimu sana kuwa waangalifu barabarani, Lakini ni muhimu zaidi kuzingatia sheria za usalama barabarani hasa nyakati hizi kuelekea sherehe za Christmas na mwaka mpya 2025🐒
Mimi nakuelewa sn unachojaribu kufanya, unapoteza wasiokua na taarifa sahihi unang'ang'ana kuaminisha uma taarifa ya hao polissm, ndo maana unaquote Kila taarifa inayoonesha polissm waongo.sio sawa mzee, wote tutakufa/tutanyamaza😡😡
 
Back
Top Bottom