2000 kipindi cha mungureYeye alikua form 4 mwaka gani kama utakumbuka, Makumira nimepita hapo enzi za Mungare (R.I.P)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2000 kipindi cha mungureYeye alikua form 4 mwaka gani kama utakumbuka, Makumira nimepita hapo enzi za Mungare (R.I.P)
Una uhakika kwamba ni ajali? Yaani unaliamini kabisa GESHI letu na "TAHARIFA" zake?ajali ni kitu mbaya sana ambayo aichagui ulikua nani wapi.
ni muhimu kua waangalifu na kuzingatia sheria za usalama barabarani.
R.I.P Ulomi, ghafla imebaki stori tu dah! 😢
Gentleman,Mimi nakuelewa sn unachojaribu kufanya, unapoteza wasiokua na taarifa sahihi unang'ang'ana kuaminisha uma taarifa ya hao polissm, ndo maana unaquote Kila taarifa inayoonesha polissm waongo.sio sawa mzee, wote tutakufa/tutanyamaza😡😡
Wakati nafahamiana naye miaka ya 2015 alikuwa askari polisi, kwa miaka hii ya 2024 sina uhakika kama alikuwa askari au aliachana na uaskari.Alikuwa Under cover au mpelelezi? Maana umesema huna uhakika kama liachana nalo ,inakuwaje una uhakika alikuwa askari halafu hauna uhakika kama aliacha?
Nakuelewa chawa. tuna uwezo tofauti humu wa kusoma katikati ya mistari..Kila la kheriGentleman,
Amini Mungu Pekee, porojo na imani potofu za ushirkina vitakuchelewesha tu.
ni muhimu sana kuzingatia mawaidha yangu, bila kuweka tafsiri yako potofu yoyote ile. Mimi sijahubiri kwa wadau eti waamini chochote bali nimeshauri tu juu ya umuhimu wa kua waangalifu na wenye kuzingatia sheria za barabarani, na si vinginevyo.
Ajali ni kitu mbaya sana aise hasa ikikukuta uko pekeyako 🐒
.
R.I.P Ulomi
kwa namna pikipiki yake ilivyoharibika na majeraha alonayo muhusika,Una uhakika kwamba ni ajali? Yaani unaliamini kabisa GESHI letu na "TAHARIFA" zake?
Sawa,2000 kipindi cha mungure
Tujitahidi tuwe raia waaminifu Kwa jamuhuri na tufanye kazi halali zinazoeleweka plus tusiwe na upande Bali upande wa jamuhuri kama mimi!!Hili nina uhakika nalo kuwa Daisle ulomi alikuwa askari wa jeshi la Polisi Tanzania ila sina uhakika kama aliachana na hiyo kazi(Hapa ndipo swali lilipo kuhusu kifo chake, Ulomi kauawa) maana ni siku nyingi sijaonana naye ila ufahamu wangu na hata kiapo naweza thibitisha kuwa Daisle ulomi alikuwa askari wa jeshi la polisi Tanzania.
N.B; Nilikutana na Daisle Simon Ulomi at Tumaini university Dar es Salaam College(Tudarco).
He was a good brother, sikutegemea km kuna siku atauawa kikatili hivi...
Pumzika kwa amani kamanda DView attachment 3178324
kwa namna pikipiki yake ilivyoharibika na majeraha alonayo muhusika,
ni wazi ni ajali mbaya sana ya barabarani.
R.I.P Ulomi 🐒
Wamemtanguliza bila shaka
Kauawa kivipi na kwa nini!?..eleza,siyo unang'ang'ana tu kauawa halafu unataka tuunge bogiHuyu kauawa, vagabond imetumika tu
KWA nini huna uhakika kama alikua bado askari au aliacha?..kitu gani kinakutia shaka hiyo?Hapo hujaelewa nini?
Wakati nafahamiana naye miaka ya 2015 alikuwa askari polisi, kwa miaka hii ya 2024 sina uhakika kama alikuwa askari au aliachana na uaskari.
Umeelewa mang'ong'o?
kufuata mkumbo ni utumwa mbaya sana aise gentleman 🐒Bro, ajali ya kutengenezwa hiyo hakuna cha nn wala nn nasema tena Ulomi kauawa na mabosi zake