Daisle Ulomi aliwahi kuwa askari, jeshi la polisi linapaswa kuwa na majibu

Daisle Ulomi aliwahi kuwa askari, jeshi la polisi linapaswa kuwa na majibu

Bro, ajali ya kutengenezwa hiyo hakuna cha nn wala nn nasema tena Ulomi kauawa na mabosi zake
Unaweza eleza namna maboss zake walivomuua?
Na umesema hujui Kama alishaacha uaskari au bado alikuwa anatumikia asa Kama Hilo hujui umejuaje ameuliwa na maboss zake wepi ambao hujui Kama alikuwa bado Yuko chini Yao au alishaachana nao!
 
ni muhimu sana kuzingatia maelezo mahususi, itakusaiadia..

haya mengine kwa kila muombolezaji kusema lake ni jambo la kawaida msibani.

R.I.P ulomi 🐒
Hakuna hayo ni mauaji ya policcm usietee uuaji kisa hayako nyumbani kwako. Jitahidi kuwa na moyo wa binadamu policcm wanafanya utekaji na uuaji kwa kila leo na ushahidi wa hayo yapo.
 
Mnahitaji maelezo gani tena hapo mimi nilisoma taarifa ya TRA kutohusika siku moja kabla ya mwamba ajapatikana huko Mwananyamala Hospital nikajisemea akipatikana hai ni kudra sana..
Wazee wa nondo wao wanajua piki piki aliyopata nayo ajali ila namba za simu alizowasiliana nazo watu hawajui kitu yaani nao polisi hawawezi kupata taarifa za mtu aliepata ajali ila wanaweza kuangalia kama chombo kina bima au laa Nchi ngumu sana hii ipo haja ya kufumua hilo Jeshi la Polisi..
 
ni muhimu sana kuzingatia maelezo mahususi, itakusaiadia..

haya mengine kwa kila muombolezaji kusema lake ni jambo la kawaida msibani.

R.I.P ulomi 🐒
Utata ni tarehe ya kifo na taarifa ya polisi kuwa kimya tangu 11.12.2024 alipopelekwa hospital Mwananyamala mpaka 16.12024. Kwa nini Polisi walikaa kimya wakati taarifa za kupotea zilishazagaa kwenye mitandao na taarifa ilikwishatolewa polisi. Simu, vitambulisho vyake vipo wapi. Waliomuokota ni nani. Alipata ajali wapi. Kwa maelezo aliondoka mchana saa 6 ambapo haiwezekani watu wasishuhudie tukio kweupe.
 
Hili nina uhakika nalo kuwa Daisle ulomi alikuwa askari wa jeshi la Polisi Tanzania ila sina uhakika kama aliachana na hiyo kazi(Hapa ndipo swali lilipo kuhusu kifo chake, Ulomi kauawa) maana ni siku nyingi sijaonana naye ila ufahamu wangu na hata kiapo naweza thibitisha kuwa Daisle ulomi alikuwa askari wa jeshi la polisi Tanzania.

N.B; Nilikutana na Daisle Simon Ulomi at Tumaini university Dar es Salaam College(Tudarco).
He was a good brother, sikutegemea km kuna siku atauawa kikatili hivi...
Pumzika kwa amani kamanda DView attachment 3178324
kwani kama aliwahi kuwa askari polisi anapokufa ni lazima auawe?
 
Utata ni tarehe ya kifo na taarifa ya polisi kuwa kimya tangu 11.12.2024 alipopelekwa hospital Mwananyamala mpaka 16.12024. Kwa nini Polisi walikaa kimya wakati taarifa za kupotea zilishazagaa kwenye mitandao na taarifa ilikwishatolewa polisi. Simu, vitambulisho vyake vipo wapi. Waliomuokota ni nani. Alipata ajali wapi. Kwa maelezo aliondoka mchana saa 6 ambapo haiwezekani watu wasishuhudie tukio kweupe.
gentleman,
wangesema nini na muungwana hakua na utambulisho wowote na hakuweza kueleza chochote kulingana na alivyojeruhiwa na ikawa ngumu kumtambua.

wasamaria hususan bodaboda wenzake walimuwahisha hospitali Lakini ndiyo hivyo tena akakata roho alipofikishwa hospital.

polisi sio malaika kumtambua asie na utambulisho nchini 🐒
 
Hakuna hayo ni mauaji ya policcm usietee uuaji kisa hayako nyumbani kwako. Jitahidi kuwa na moyo wa binadamu policcm wanafanya utekaji na uuaji kwa kila leo na ushahidi wa hayo yapo.
jitahidi sana kuendelea na moyo huo huo wa kinafiki na kuamini katika uzushi na chuki kwa wasio husika...

kama una ushahidi wa huo ushirikina wako unambwelambwela hapa nini si uende mahakamani?

endesha chombo cha moto kwa uangalifu na kuzingatia sheria za usalama barabarani, vinginevyo utapoteza maisha kwa ajali, shauri yako, we lete kiburi barabarani.

Mwisho,
acha tamaa na wake za watu, ukifumaniwa na kuumizwa usisingizie kutekwa tafadhali.

kua mustaarabu kua na heshima tafadhali 🐒
 
gentleman,
wangesema nini na muungwana hakua na utambulisho wowote na hakuweza kueleza chochote kulingana na alivyojeruhiwa na ikawa ngumu kumtambua.

wasamaria hususan bodaboda wenzake walimuwahisha hospitali Lakini ndiyo hivyo tena akakata roho alipofikishwa hospital.

polisi sio malaika kumtambua asie na utambulisho nchini 🐒
Kama alipigiwa simu aende kukagua contena, alienda bila vielelezo mfukoni kuwa ndiye mmiliki wa hizo bidhaa ? Wataalam wa mawasiliano wangeweza kufuatilia namba zilizompigia mara ya mwisho hata kama simu yake ilipotezwa makusudi, ili kubaini wahusika. Hiyo imefanyika ? Mtu anapata ajali saa 6 mchana jua linawaka, watu wanapita wanaona halafu mnaleta tlaatlaah na blaablaa kwenye kifo. Yawezekana aliharibu mahala. Lakini huwa najiuliza, kwani adhabu pekee huwa ni kifo ?
 
Kama alipigiwa simu aende kukagua contena, alienda bila vielelezo mfukoni kuwa ndiye mmiliki wa hizo bidhaa ? Wataalam wa mawasiliano wangeweza kufuatilia namba zilizompigia mara ya mwisho hata kama simu yake ilipotezwa makusudi, ili kubaini wahusika. Hiyo imefanyika ? Mtu anapata ajali saa 6 mchana jua linawaka, watu wanapita wanaona halafu mnaleta tlaatlaah na blaablaa kwenye kifo. Yawezekana aliharibu mahala. Lakini huwa najiuliza, kwani adhabu pekee huwa ni kifo ?
saa zingine ubinafsi na kujiamini kupita kiasi kuna tuponza sana.

unaeezaje hata kumtetea mtu alikua pekee na amepata tatizo pekeeyake akiwa hana kitambulisho chochote.

ndrugu zango,
ni muhimu kujifunza na kusahihisha mienendo yetu kwenye shughuli na kazi zetu hususani tunapotumia vyombo vya moto barabara, huwezi jua kitatokea nini.

unafuatilia mawasiliano yake kuanzia wapi,
huenda aliporwa kila alichokua nacho na walioshuhudia ajali hiyo? nadhani unafahamu wale wenye dhana ya kufa kufaana mtaani, right?

Anyway,
hiyo ni polisi case,
uchunguzi unaendelea na ukweli utabainika tu. Hakuna haja ya kulaumiana 🐒
 
Hivi huwa unajisikia vizuri kabisa kufurahia Mauaji ya Mtu kisa imetuhumiwa serikali ya CCM?
yaani mtu apate ajali na chombo chake na kupoteza maisha nibabaike na lawama, maoni na mitazamo ya waombolezaji gentleman?

kinafurahisha nini kwenye msiba? au kuamini uongo na uzushi kunakufaidisha nini gentleman?

ni muhimu muungwana akaachwa a R.I.P tu kuliko kuonyesha huruma za kinafiki na upotoshaji ambao unajaribu kuleta humu jukwaani 🐒
 
Back
Top Bottom