City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Nimecheka sana aiseeKuwatetea polisi na single maza ni kazi ngumu sana kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana aiseeKuwatetea polisi na single maza ni kazi ngumu sana kwa sasa.
hata mim nimepita enzi ya mungure, mama kitururu na dame, sijui ulomi alipita lin makumixYeye alikua form 4 mwaka gani kama utakumbuka, Makumira nimepita hapo enzi za Mungure (R.I.P)
We kwa akili zako hapo utata uko wapi?..hujui kama alikua askari au laa,bado unashutumuKwa akili zako kweli hujaona utata wa kifo chake...
Toa hoja,acha shutuma,haya kauawa na polisi,kauawa vipi,makonde,marungu,sumu,shoka au risasi?..tupe details detectiveBahati mbaya sana najibizana na muha mwenye ubishi wake mjini😂
Binafsi naona kwenye upoti ndio ngumu zaidi hasa haya matukio ya kusitisha uhai na kwakuwa wamepewa jukumu la kulinda raia na Mali.Kuwatetea polisi na single maza ni kazi ngumu sana kwa sasa.
Tanzania ni shimo la wachinjaji sasa.Hili nina uhakika nalo kuwa Daisle Ulomi alikuwa askari wa Jeshi la Polisi Tanzania ila sina uhakika kama aliachana na hiyo kazi(Hapa ndipo swali lilipo kuhusu kifo chake, Ulomi kauawa) maana ni siku nyingi sijaonana naye ila ufahamu wangu na hata kiapo naweza thibitisha kuwa Daisle ulomi alikuwa askari wa jeshi la polisi Tanzania.
N.B; Nilikutana na Daisle Simon Ulomi at Tumaini university Dar es Salaam College(Tudarco).
He was a good brother, sikutegemea km kuna siku atauawa kikatili hivi.
Pumzika kwa amani kamanda DView attachment 3178324
Kaka hapa taarifa zina kosa ushirikiano aisee ndio maana unaona kuna minong'ono,Hii nchi Kila kitu siasa . Mmeambiwa mtu kapata ajali ya pikipiki na hospitali wamethibitisha hilo watu mmekazana kauwawa kauwawa haya pelekeni ushahidi mahakamani basi ili hao wahusike wawajibishwe .
Ukiwa TISS ukiamua kuacha kazi basi inabidi ukimbie nchi kama alivyofanya Chahali ,ukisema ukomae nchini lazima wakurestishe in PC either Jambazi Sugu auawa ,utakutwa mtaroni ,kisimani au ajali ya bodaboda.Hiyo ajali aliipata mwenyewe na eneo gani? Na alipata ajali ya aina gani? Kuna mastory mengi buana
Ajali kapatia ubungo...makuburi alipokuwa njiani kuelekea mbagalaHiyo ajali aliipata mwenyewe na eneo gani? Na alipata ajali ya aina gani? Kuna mastory mengi buana
Kauwawa na nani?Kwanini auawe
Mkuu una hoja lakini nadhani tungetangulia kuzuia vilaza wanaoingia bungeni kutunga sheria mbovu. Polisi na TRA wanatekeleza sheria zisizo rafiki ndo maana lawama haziishi. Vipanga kuwa polisi haitasaidia kama sheria zitaendelea kubaki hizihizi.Binafsi naona kwenye upoti ndio ngumu zaidi hasa haya matukio ya kusitisha uhai na kwakuwa wamepewa jukumu la kulinda raia na Mali.
Jukumu zito na nyeti labda wapeleke vipanga wawe polisi(kama wazee WA njiwa WA 2010 kurudi kizani) na kuwainulia maslahi.
Lasivyo kuna magumu mengi yanakuja
Nakuhakikishia ukienda amana au mwananyamala hospital au hata muhimbili mochwari utaoneshwa maiti za ajali nyingi tu ambazo hazijafuatwa na ndugu zao kutambuliwa au zimetelekezwa. Sasa kwanini kwa huyu ulomi ionekane ni maajabu?Kaka hapa taarifa zina kosa ushirikiano aisee ndio maana unaona kuna minong'ono,
Ajali alipata lini na mwili ulipelekwa lini na Taarifa ya mwili kupatikana imetolewa lini?
Smatifoni pia zinatoa mwanya WA Taarifa kujipinga.
Ulishawai kupotelewa na ndugu au jamaa yako WA karibu?
Ajali kapatia ubungo...makuburi alipokuwa njiani kuelekea mbagala
Kwa maelezo ya polisi
Ova
Walikuwa wanatunga uongoUtata ni tarehe ya kifo na taarifa ya polisi kuwa kimya tangu 11.12.2024 alipopelekwa hospital Mwananyamala mpaka 16.12024. Kwa nini Polisi walikaa kimya wakati taarifa za kupotea zilishazagaa kwenye mitandao na taarifa ilikwishatolewa polisi. Simu, vitambulisho vyake vipo wapi. Waliomuokota ni nani. Alipata ajali wapi. Kwa maelezo aliondoka mchana saa 6 ambapo haiwezekani watu wasishuhudie tukio kweupe.