Daisle Ulomi aliwahi kuwa askari, jeshi la polisi linapaswa kuwa na majibu

Daisle Ulomi aliwahi kuwa askari, jeshi la polisi linapaswa kuwa na majibu

saa zingine ubinafsi na kujiamini kupita kiasi kuna tuponza sana.

unaeezaje hata kumtetea mtu alikua pekee na amepata tatizo pekeeyake akiwa hana kitambulisho chochote.

ndrugu zango,
ni muhimu kujifunza na kusahihisha mienendo yetu kwenye shughuli na kazi zetu hususani tunapotumia vyombo vya moto barabara, huwezi jua kitatokea nini.

unafuatilia mawasiliano yake kuanzia wapi,
huenda aliporwa kila alichokua nacho na walioshuhudia ajali hiyo? nadhani unafahamu wale wenye dhana ya kufa kufaana mtaani, right?

Anyway,
hiyo ni polisi case,
uchunguzi unaendelea na ukweli utabainika tu. Hakuna haja ya kulaumiana 🐒
Unatumia nguvu nyingi sana kuhalalisha kifo hiki. Unafurahia sana kifo/vifo vya aina hii. Ni ama unahusika moja kwa moja au unanufaika. Hujajibu maswali yangu. Aliitwa na mamlaka ya forodha kwenda kuhakiki mali yake, je alienda bila vitambulisho vya majina yake alivyoagizia bidhaa nje ? Hata kama walipora simu haizuii upelelezi. Mamlaka ya mawasiliano unawapelekea namba ya marehemu wanaanzia hapo kuona nani aliwasiliana naye kwa mara ya mwisho. Tangu tarehe 11 Hadi 16 polisi walikuwa wapi.
 
Unatumia nguvu nyingi sana kuhalalisha kifo hiki. Unafurahia sana kifo/vifo vya aina hii. Ni ama unahusika moja kwa moja au unanufaika. Hujajibu maswali yangu. Aliitwa na mamlaka ya forodha kwenda kuhakiki mali yake, je alienda bila vitambulisho vya majina yake alivyoagizia bidhaa nje ? Hata kama walipora simu haizuii upelelezi. Mamlaka ya mawasiliano unawapelekea namba ya marehemu wanaanzia hapo kuona nani aliwasiliana naye kwa mara ya mwisho. Tangu tarehe 11 Hadi 16 polisi walikuwa wapi.
natumia maneno kidogo mno kuwapa uelewa na ufahamu wa masula haya gentleman,

nguvu mie sina,
nina akili, hekima na busara tu katika kuyafanya haya.

usipotoshe wadau tafadhali,
this is police case hakuna mawasiliono ya mtu yanaweza kuwekwa wazi bila idhini au amri ya mahakama.

hata hivyo,
wewe ni afisa forodha uliemuita kuhakiki hizo bidhaa zake? au unambwelambwela tu kinafiki na kujifanya una huruma sanaaaa, kumbe manafiki tu...

si ujitokeze basi,
ili vyomba vya uchunguzi vianzie kwako na kujua mlikua manawasiliana na kuzungumza nini.?

R.I.P. Ulomi, ila kuna wanafiki wengi aise wamejitokeza kupotosha kuhusu kifo chako, dah!🐒
 
Nukuu "Ulomi aliondoka eneo lake huku akitumia pikipiki namba MC 415 DQC"
Umewaelewa polisi lkn?, hakuna cha ajali wala nn
Ina maana polisi walikuwa wanafuatilia tangu kuondoka kwake pale Sinza. Aisee
Kwasababu bila sentence hiyo tungesoma pikipiki yenye namba hizo imekutwa eneo la ajali external Mabibo. Usije kushangaa pikipiki ikakutwa Chang'ombe polisi. Sasa hivi ukiambiwa TRA hao shituka waliomo wamo, wasiojulikana wajulikana. TRA wanawaua walipa kodi wao. Dhambi hii imetua nchini muombeaji bado hajazaliwa.
 
Kuna post nimeisoma usk huu ya lema God bless,alikua anajaribu kuandika alichoambiwa juu ya Ulomi. ILe post wakati naisoma ilikua na dk 4 Toka ameipost, ajabu nataka niifungue niendelee kusoma para za chini naona imefutwa ghafla. Na Yale niliyobahatika kusoma inaonesha jamaa alitoka upolisi akahamishiwa kitengo...badae sijui opareshen zao zikawaje jamaa sijui akaropoka kwa wazee wake vitu flan flan sa nikashindwa endelea maana ilifutwa chap. Inaonesha Kuna taarifa alivujisha hawakupenda waka mu eliminate. Hapa naona Kuna story za aliacha upolisi, sijui nilipotezana nae nikaja kumpata akaniambia Yuko USA anasoma🤔.hii week tutasikia mengi kuhusu Ulomi.
Duuh Hatari na nusu
 
Akili ya ziada ya wapi,hebu eleza wewe mwenye akili ya ziada ulivyong'amua kuwa kauawa na si ajali
Unataka ufafanuliwe kila kitu, akili yako haiwezi kung'amua jambo?...
Ngoja nikupe mwanga kidogo; Kama bado alikuwa askari, kwa nini wanatumia utambulisho wa pili kuwa ni mfanyabiashara pasipo kutumia cheo chake?. Km aliachana na uaskari, aliondoka na siri gani muhimu?. Kwa nn kifo chake kina utata na kuzua maswali lukuki?
 
natumia maneno kidogo mno kuwapa uelewa na ufahamu wa masula haya gentleman,

nguvu mie sina,
nina akili, hekima na busara tu katika kuyafanya haya.

usipotoshe wadau tafadhali,
this is police case hakuna mawasiliono ya mtu yanaweza kuwekwa wazi bila idhini au amri ya mahakama.

hata hivyo,
wewe ni afisa forodha uliemuita kuhakiki hizo bidhaa zake? au unambwelambwela tu kinafiki na kujifanya una huruma sanaaaa, kumbe manafiki tu...

si ujitokeze basi,
ili vyomba vya uchunguzi vianzie kwako na kujua mlikua manawasiliana na kuzungumza nini.?

R.I.P. Ulomi, ila kuna wanafiki wengi aise wamejitokeza kupotosha kuhusu kifo chako, dah!🐒
Sawa muuaji.
 
Huyu jamaaa alikuwa askari..ila alikuwa ameacha kazi
So aliacha kazi akajingiza kwenye biashara inaelekea alikuwa na mzigo..
Maana ofisi zake za uwakala unaweza kutoa na kuweka kiasi chochote cha pesa,yaani no longolongo

Ova
 
Ungeweka na picha tuthibitishe vinginevyo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa
haina maana yoyote kusambaza picha za alieaga dunia.

Limetokea na kwakweli limeisha.
Tulobaki ni muhimu kuchukua tahadhari tu kuelekea siku kuu zinazokuja 🐒
 
i muhimu sana kuzingatia maelezo mahususi, itakusaiadia..

Sasa kwanini kauwawa aise
ukipuuza na usipokua muangalifu katika kipindi hiki, unaweza kupata ajali na kupoteza maisha pia.

kua makini utumiapo chombo cha moto barabarani 🐒
 
Back
Top Bottom