Dakika 30 baada ya kuzikwa

Dakika 30 baada ya kuzikwa

Da Vinci XV

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2019
Posts
3,862
Reaction score
6,438
A80577BA-6ADD-411E-86A3-51CDF4F153B2.jpeg



Maisha yana Fumbo kubwa lakini Kifo kina Fumbo Pana
 
Maishaa ndivyo yalivyo ,,,tenaa kwetu na biaa tunawekaa na baadaa ya kulewaa tunaanzaa kuliaaa upyaaa kwa kumsifia marehemuu
 
Sherehe 3 muhim za binadam, kuzaliwa, kuoa/kuolewa, kufa. Sasa kama watu wanapiga diko hizo 2, kwanin ya tatu wasimalizie,? Kula ni lazma, kulia ndo hiari. Asilimia kubwa ya watakaofinya mpunga wala hawana maumivu ya kuondokewa na mpendwa wao, sana sana wamekuja kubypass budget zao za menu kwa siku hyo. (Usiombe ukaona wanavofinya matonge makubwa makubwa, huez amini).
 
Back
Top Bottom