Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbaya kutanguliaIla mwisho wa siku na wenyewe watakufa kama wewe, halafi na sisi tuwafanya hivyo hivyo.
Ulitaka uende na nani?Hapo wameshanitelekeza peke yangu huko mbali.
Kwenye udongo teleHapo wameshanitelekeza peke yangu huko mbali.
KabisaaaIla kusahau ni katika neema kubwa ambazo mwenyezimungu ametupa.
Hebu imagine watu wangekuwa hawasau ( hasa yale mambo yanayo wauumiza) ingekuwaje?
Kbisaa😅😅Ukisikia maisha lazima yaendelee ndio hivyo sasa.
Demu mbona walishaanza kumtongoza zamani na wewe ukiwepo?[emoji1]
Kwa kweli nilishawaambia udongo wasinijazie. Nahitaji space.l😂😂 wanitengenezee kakalo.Kwenye udongo tele
😂😂😂😂Kwa kweli nilishawaambia udongo wasinijazie. Nahitaji space.l😂😂 wanitengenezee kakalo.
😅😅😅😅😅Sasa asubuhi nzima tuchimbe kaburi, mchana au jioni tukubebe halafu tusile tena
Au nasema uwongo mr davinci code ?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Unamaanisha Karucee ? No way..Mimi nitatangaza ndoa,siwezi kuruhusu abaki mjane mtoto mzuri km yuleNikifa, mke wangu asiolewe.
sasa si haupo jamaniWosia wa marehemu uheshimiwe.
Kawaida mtu unaweza ukawa na mawazo kwamba ikitolewa ofa ya kwamba wewe ufe halafu ulimwengu mzima ubaki salama bila tatizo lolote, matatizo yote yakome kabisa ulimwenguni; unatakiwa uone ni bonge la ofa ambalo halipo mahala pengine popote pale duniani; kwamba ni ofa ambayo unaweza ukaikubali pasipo kufikiria wala kusita.Ulitaka wakisha kuzika wafanyaje? Na wao wajizike?
Au tufanya mazishi ya kichifu, kipenzi changu inabidi unisindikize.sasa si haupo jamani
😅😅😅😅Ndo uhalisia[emoji26]View attachment 2160020
Utaskia akapambane na shetaniUtasikia mara ooo ameiba mno sasa inatosha