Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
Ulitaka wakisha kuzika wafanyaje? Na wao wajizike?
Usiogope ukifa ndo imeisah hiyo ni sawa na kupigwa sindano ya usngizi ukiwa kwenye chumba cha upasuaji
Demu mbona walishaanza kumtongoza zamani na wewe ukiwepo?πNa demu wako wataanza kumtongoza
π π π πUlitaka wakisha kuzika wafanyaje? Na wao wajizike?
Hatari sanaMambo ndio yako hivyo mkuu
KabisaaaSasa ulitaka wafanyaje?
Ndio ushakufa sasa acha maisha yasonge tu
Na demu wako wataanza kumtongoza