Dakika 30 baada ya kuzikwa

🙂😅😅😅
 
Ila kusahau ni katika neema kubwa ambazo mwenyezimungu ametupa.

Hebu imagine watu wangekuwa hawasau ( hasa yale mambo yanayo wauumiza) ingekuwaje?
 
Ukisikia maisha lazima yaendelee ndio hivyo sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…