classic king
Senior Member
- Mar 19, 2022
- 155
- 350
😅😅😅😅Maishaa ndivyo yalivyo ,,,tenaa kwetu na biaa tunawekaa na baadaa ya kulewaa tunaanzaa kuliaaa upyaaa kwa kumsifia marehemuu
Nimewaza mengi mkuumkuu vp uliwaza nini
Utaskia alikuwa bahili sana,Ndo hvo uxhakufa wafanyeje yaidi ya kula na kukusema
🙂😅😅😅Sherehe 3 muhim za binadam, kuzaliwa, kuoa/kuolewa, kufa. Sasa kama watu wanapiga diko hizo 2, kwanin ya tatu wasimalizie,? Kula ni lazma, kulia ndo hiari. Asilimia kubwa ya watakaofinya mpunga wala hawana maumivu ya kuondokewa na mpendwa wao, sana sana wamekuja kubypass budget zao za menu kwa siku hyo. (Usiombe ukaona wanavofinya matonge makubwa makubwa, huez amini).
😅😅😅😅 yeye atakubali kweli akae mwenyewe??Nikifa, mke wangu asiolewe.
😅😅😅😅🙌🙌kwanza hata kulia ni uboya umekufa wew mm nilie
Copy &pastemkuu vp uliwaza nini
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Nikifa, mke wangu asiolewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
We jamaa utakuwa na wivu balaa
Tatizo huwa napenda vibaya...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
We jamaa utakuwa na wivu balaa
Kutongoza?Na demu wako wataanza kumtongoza
Ha ha haaa, huo wosia hautokaa ufuatwe kamwe.Nikifa, mke wangu asiolewe.
Wosia wa marehemu uheshimiwe.Ha ha haaa, huo wosia hautokaa ufuatwe kamwe.