Dakika 30 za kifo cha rais John F Kennedy.

Dakika 30 za kifo cha rais John F Kennedy.

Hili tukio lilifanya tokea enz izo niache shobo na Us..waljtia aibu ya milele...
Kna majamaa waltengeneza series ya jfk,klchowakuta wanajua wenywe maana outof knowhere idea yao wakaipotezea mwshon wakamalzia na kistory cha dgo osward
 
Mkuu, pamoja na Hongera na Pongezi nyingi ulizopewa humu Jukwaani, inasikitisha kuwa unatumia kazi ya Mtu mwingine kimakosa.

Hii ni Makala ya The bold kwenye group lake la "Simulizi za The Bold". Makala hii bado inaendelea na leo mchana kaendeleza kidogo lakini wewe umetumia mwanya huo kuichukua huko na kuileta humu.

Plagiarism is an offence. Sema tu huku Bongo tunamalizana kishkaji lakini kwa hii makala ingelibidi ukamatwe na kuwekwa ndani... Acha hizo Mkuu.
 
Mkuu, pamoja na Hongera na Pongezi nyingi ulizopewa humu Jukwaani, inasikitisha kuwa unatumia kazi ya Mtu mwingine kimakosa.

Hii ni Makala ya The bold kwenye group lake la "Simulizi za The Bold". Makala hii bado inaendelea na leo mchana kaendeleza kidogo lakini wewe umetumia mwanya huo kuichukua huko na kuileta humu.

Plagiarism is an offence. Sema tu huku Bongo tunamalizana kishkaji lakini kwa hii makala ingelibidi ukamatwe na kuwekwa ndani... Acha hizo Mkuu.
Nipe link ya hii makala ya JFK aliyoandaa The Bold
 
Back
Top Bottom