olaice kitunga
Member
- Jan 30, 2013
- 90
- 23
saf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu kam hawa wanakatisha tamaa mkal bora umemchanaHacha kukariri
Watu kam hawa wanakatisha tamaa mkal bora umemchanaHacha kukariri
Kweli mkuu kila mtu anaweza kuleta post kama ataipagilia vizur ikaeleweka. Hii stor ni nzuri sana kila mtu kaielewa sasa huyu kamkariri bord. Kuna jamaa anaitwa Eiyer huyu kibokoWatu kam hawa wanakatisha tamaa mkal bora umemchana
Who was the umbrella man?nasikia haka ka bibi kalikuwepo wakati wa tukio "Babushka Lady"
Nipe link ya hii makala ya JFK aliyoandaa The BoldMkuu, pamoja na Hongera na Pongezi nyingi ulizopewa humu Jukwaani, inasikitisha kuwa unatumia kazi ya Mtu mwingine kimakosa.
Hii ni Makala ya The bold kwenye group lake la "Simulizi za The Bold". Makala hii bado inaendelea na leo mchana kaendeleza kidogo lakini wewe umetumia mwanya huo kuichukua huko na kuileta humu.
Plagiarism is an offence. Sema tu huku Bongo tunamalizana kishkaji lakini kwa hii makala ingelibidi ukamatwe na kuwekwa ndani... Acha hizo Mkuu.
Hajaleta jukwaani. Subiri mpaka atakapoileta.Nipe link ya hii makala ya JFK aliyoandaa The Bold
OkHajaleta jukwaani. Subiri mpaka atakapoileta.
Ni huko kwenye group la WhatsApp.
Duh..the bold ndo mtaalamu wa mambo haya. sio lazima wote tusimulie. ingekuwa the bold hapo angeanzia chanzo cha hadi ye kuuwawa.