Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kusemaje?Leo nilikuwa naangalia ubora wa timu aiseeee
Kuna timu jana ilnipigia goli 3 ndani ya dk 4
Leooo naona goli 3 zimehangaikiwa kwa dk 90
Mpira haujawahi mwacha mtu salama
Sawa nendeni mkanywe supuMmeshinda
Wewe endelea tu kuteseka sana popote ulipo.Leo nilikuwa naangalia ubora wa timu aiseeee. Kuna timu jana ilnipigia goli 3 ndani ya dk 4
Leooo naona goli 3 zimehangaikiwa kwa dk 90. Mpira haujawahi mwacha mtu salama
Leo nilikuwa naangalia ubora wa timu aiseeee. Kuna timu jana ilnipigia goli 3 ndani ya dk 4
Leooo naona goli 3 zimehangaikiwa kwa dk 90. Mpira haujawahi mwacha mtu salama
Saangapi inaanza nivae kezi mapema za a a tripoli
Lugha imebadilika 😀 😀 😀Last tym niliwaandikia leo simba ameshinda sana drw ft
Na leo nawambia tena ft drw
Mbya ya magoli
Kakojoe ukalaleLeo nilikuwa naangalia ubora wa timu aiseeee. Kuna timu jana ilnipigia goli 3 ndani ya dk 4
Leooo naona goli 3 zimehangaikiwa kwa dk 90. Mpira haujawahi mwacha mtu salama
SUPU FC WANATESEKA KULIKO MWARABU.Unafananisha Al Ahli na CBE sijui IFM
😀😀😀College of Bussiness Education(CBE) tawi la Ethiopia ndio walicheza jana na Vibwengo wa pale kwenye bwawa la Jangwani.Unafananisha Al Ahli na CBE sijui IFM
Hawana raha,wakizeeka watakuwa wachawi hawaSUPU FC WANATESEKA KULIKO MWARABU.
Utoto Raha sanaLeo nilikuwa naangalia ubora wa timu aiseeee. Kuna timu jana ilnipigia goli 3 ndani ya dk 4
Leooo naona goli 3 zimehangaikiwa kwa dk 90. Mpira haujawahi mwacha mtu salama
Timu haipo hata viwango vya CAF,Kabla ya michuano hakunamtanzania aliyekuwa akiifahamuMbumbumbu wanatabu sana eti leo wanajiona wao wamecheza na timu kali kweli kweli kuliko cbe sa hivi vitu unaweza cheka kabisa..
Sasa timu iwe kali icheze kombe la akina mama kweli?
Wanachuo🤩Unafananisha Al Ahli na CBE sijui IFM
Ilo ndio pira hirizi, yaani mganga anakwambia Magoli yapo ila uki iangalia timu Yako inavyo cheza huamini kama Kuna Goli.Leo nilikuwa naangalia ubora wa timu aiseeee. Kuna timu jana ilnipigia goli 3 ndani ya dk 4
Leooo naona goli 3 zimehangaikiwa kwa dk 90. Mpira haujawahi mwacha mtu salama