Dakika 4 goli 3 huku dakika 90 goli 3 mpira hauna adabu

Dakika 4 goli 3 huku dakika 90 goli 3 mpira hauna adabu

Leo nilikuwa naangalia ubora wa timu aiseeee. Kuna timu jana ilnipigia goli 3 ndani ya dk 4
Leooo naona goli 3 zimehangaikiwa kwa dk 90. Mpira haujawahi mwacha mtu salama
Saangapi inaanza nivae kezi mapema za a a tripoli
Last tym niliwaandikia leo simba ameshinda sana drw ft
Na leo nawambia tena ft drw
Mbya ya magoli
Lugha imebadilika 😀 😀 😀
 
Mbumbumbu wanatabu sana eti leo wanajiona wao wamecheza na timu kali kweli kweli kuliko cbe sa hivi vitu unaweza cheka kabisa..
Sasa timu iwe kali icheze kombe la akina mama kweli?
 
Mbumbumbu wanatabu sana eti leo wanajiona wao wamecheza na timu kali kweli kweli kuliko cbe sa hivi vitu unaweza cheka kabisa..
Sasa timu iwe kali icheze kombe la akina mama kweli?
Timu haipo hata viwango vya CAF,Kabla ya michuano hakunamtanzania aliyekuwa akiifahamu
 
Leo nilikuwa naangalia ubora wa timu aiseeee. Kuna timu jana ilnipigia goli 3 ndani ya dk 4

Leooo naona goli 3 zimehangaikiwa kwa dk 90. Mpira haujawahi mwacha mtu salama
Ilo ndio pira hirizi, yaani mganga anakwambia Magoli yapo ila uki iangalia timu Yako inavyo cheza huamini kama Kuna Goli.
Ndio Ile kwa Mkapa atoki mtu, ila mpinzani akizijua tu code zako ana kukanda apo apo kwa Mkapa.
 
Back
Top Bottom