Katazame uzi wa mbumbumbu mwenzio kachambua gemu vizuri sana timu hakuna hapo ukikutana na wauza mkaa kama hao timu ina wazee tupu ndio unafikiri uko vizuri..Timu haipo hata viwango vya CAF,Kabla ya michuano hakunamtanzania aliyekuwa akiifahamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katazame uzi wa mbumbumbu mwenzio kachambua gemu vizuri sana timu hakuna hapo ukikutana na wauza mkaa kama hao timu ina wazee tupu ndio unafikiri uko vizuri..Timu haipo hata viwango vya CAF,Kabla ya michuano hakunamtanzania aliyekuwa akiifahamu
Leo nilikuwa naangalia ubora wa timu aiseeee. Kuna timu jana ilnipigia goli 3 ndani ya dk 4
Leooo naona goli 3 zimehangaikiwa kwa dk 90. Mpira haujawahi mwacha mtu salama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo mtasemaa yoteee.Ilo ndio pira hirizi, yaani mganga anakwambia Magoli yapo ila uki iangalia timu Yako inavyo cheza huamini kama Kuna Goli.
Ndio Ile kwa Mkapa atoki mtu, ila mpinzani akizijua tu code zako ana kukanda apo apo kwa Mkapa.
Hata ingekuwajeee…..huwa hamkosi kasoro! Mnafanya biashara ya ngo'mbe, lakini bado unamjadili mfanyabiashara ya kuku!Leo nilikuwa naangalia ubora wa timu aiseeee. Kuna timu jana ilnipigia goli 3 ndani ya dk 4
Leooo naona goli 3 zimehangaikiwa kwa dk 90. Mpira haujawahi mwacha mtu salama
Kwahiyo tukusaidieje!?Leo nilikuwa naangalia ubora wa timu aiseeee. Kuna timu jana ilnipigia goli 3 ndani ya dk 4
Leooo naona goli 3 zimehangaikiwa kwa dk 90. Mpira haujawahi mwacha mtu salama
Timu inayojielewa inafungwaje magoli matatu kwa dakika nne?Leo nilikuwa naangalia ubora wa timu aiseeee. Kuna timu jana ilnipigia goli 3 ndani ya dk 4
Leooo naona goli 3 zimehangaikiwa kwa dk 90. Mpira haujawahi mwacha mtu salama
Ulicheza na naniLeo nilikuwa naangalia ubora wa timu aiseeee. Kuna timu jana ilnipigia goli 3 ndani ya dk 4
Leooo naona goli 3 zimehangaikiwa kwa dk 90. Mpira haujawahi mwacha mtu salama
Nitafute X kivipi wewe?Mbona umeiandika wewe mwenyewe?Kwani huioni hiyo hapo?X
+Y=Z
FIND X....
Jinyongeee ndugu Mabhululu.Mmeshindaa
Zamalek ambayo mara kadhaa huwa inacheza kombe la Shirikisho ni bora sana kuliko Jwaneng Galaxy inayoshiriki Klabu Bingwa kila mwaka.Mbumbumbu wanatabu sana eti leo wanajiona wao wamecheza na timu kali kweli kweli kuliko cbe sa hivi vitu unaweza cheka kabisa..
Sasa timu iwe kali icheze kombe la akina mama kweli?
Ndiyo muwe mnaacha viherehere kwa mambo yasiyowahusu.Mmeshindaq
Simba imecheza na club yenye kikosi cha thamani ya shilingi bilioni 10, halafu Kuna vyura wamecheza na timu ya wanachuo CBEUnafananisha Al Ahli na CBE sijui IFM