Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 2,150
- 3,086
Leo tulikuwa na akina Mabululu, Chaalela, El Houni, nk. Hivi kuna yeyote anayekumbuka jina la hata kitoto kimoja cha CBE?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchawi umeumia sana yaani. Yaani hapo ni hadi uchapwe nao ndo muwasho wako utulie.Na wao wanasema
tumefuzu kwa kishindooo
aisee
Leo ndio umetambua hilo baada ya wewe kua uko ulipopaita kwa losers..Zamalek ambayo mara kadhaa huwa inacheza kombe la Shirikisho ni bora sana kuliko Jwaneng Galaxy inayoshiriki Klabu Bingwa kila mwaka.
Nadhani hapo umenielewa kuhusiana na Al Ahly Tripoli na CBE.
Wali ndondo vp?Sawa nendeni mkanywe supu
Yangaaa...Leo nilikuwa naangalia ubora wa timu aiseeee. Kuna timu jana ilnipigia goli 3 ndani ya dk 4
Leooo naona goli 3 zimehangaikiwa kwa dk 90. Mpira haujawahi mwacha mtu salama