Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Sasa hapa ndo unaharibu kabisa hebu stick kwenye Story yako maana unapoanza kuelezea Sexual Explicit tena..

Unaharibu Maana wengine ni Baba zako..
Japo tumependa story yako ila unapoanza kujibu vitu hivi unataka kutukimbiza sasa..

Nakufundisha Kitu mwanaume huwa hajibu kila kitu kinachomkwaza..
Hiyo ni sawa na mbwa mwindaji habwekei kila Ndege anayemwona Juu..
umeelewa?
[emoji3][emoji3][emoji3] hakika
 
Hizi picha alipigia Mercy.
Hiyo ya gizani ni club mimi napenda sana kuimba kwahyo hapo tulikuwa kwenye karaoke. Mmoja kati ya hao wawili katika picha ni mimi
Screenshot_20240222-193158~5.png
Screenshot_20240222-193254~2.png
 
Back
Top Bottom