Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
jazia nyama hapa mkuu nichukue somo hiliUkisha jiona uko mnyonge mbele ya mwanamke jiandae kisaikolojia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jazia nyama hapa mkuu nichukue somo hiliUkisha jiona uko mnyonge mbele ya mwanamke jiandae kisaikolojia
Achana na mahaba,unapandisha mbona fresh tu.SUA na ile milima ya Morogoro huwezi kutoboa baiskel ukiwa umempakia mtu
Nimejipata navuta picha, naona walikuwa wakitembea wanakuwa kama waimba kwaya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa kakukera Nini?
[emoji3][emoji3][emoji3] hakikaSasa hapa ndo unaharibu kabisa hebu stick kwenye Story yako maana unapoanza kuelezea Sexual Explicit tena..
Unaharibu Maana wengine ni Baba zako..
Japo tumependa story yako ila unapoanza kujibu vitu hivi unataka kutukimbiza sasa..
Nakufundisha Kitu mwanaume huwa hajibu kila kitu kinachomkwaza..
Hiyo ni sawa na mbwa mwindaji habwekei kila Ndege anayemwona Juu..
umeelewa?
Mkuu unapiga km hupigiIfike mahali ukibali wewe ni empty set mkuu...
View attachment 2911388
View attachment 2911389
View attachment 2911391
[emoji1787]Mmmh kweli wanawake tunapenda vitu vya kijinga lakini sio kupanda baiskeli[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sasa mwamba na rangi yako hii kweli utongozwe na demu?Hizi picha alipigia Mercy.
Hiyo ya gizani ni club mimi napenda sana kuimba kwahyo hapo tulikuwa kwenye karaoke. Mmoja kati ya hao wawili katika picha ni mimi
🤣🤣🤣Si umeona wanafanya practical maabara ya bugandoOnhooo yamkini
🤣🤣🤣🤣Jamani hiyo si black an white pic jamani?Sasa mwamba na rangi yako hii kweli utongozwe na demu?
Napajua basiiii ...na hao dagaa alikuwa anaagiza wapi sasa🤣🤣🤣Si umeona wanafanya practical maabara ya bugando
ngoja niweke kambi hapa
Dogo endelea basi tujue nini kilitokeaHizi picha alipigia Mercy.
Hiyo ya gizani ni club mimi napenda sana kuimba kwahyo hapo tulikuwa kwenye karaoke. Mmoja kati ya hao wawili katika picha ni mimi
[emoji23][emoji23] Ina shida gani? mbona yuko poa tu.Sasa mwamba na rangi yako hii kweli utongozwe na demu?
PoaDogo endelea basi tujue nini kilitokea
Mbona mnaniita dogo sanaDogo tuma stori harakà sana
Nilikua nakuja ku comment Jf hamna madogo kabisa maana kila mtu mkubwa,Mbona mnaniita dogo sana