Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Tuendeleee.....

Kabla ya kuendelea naomba niandike mambo machache.

Watu wameniandama sana wengi wao wanadai hii ni chai na wamejikita kwenye maeneo yafuatayo.

1. Bikra kumpiga bao tatu
.....sio Mercy tu nishatoa bikra tatu kabla ya Mercy na mbili kati ya hizo nilipiga bao tatu. Wengi wanaoniandama hawajui mapenzi wanadhani kumfuck dem ni vita kwamba lazima apate maumivu. Kuna soft sex kwa wanaonielewa wanajua kwamba bikra inawezekana kumpiga hata bao kumi.

2. Kutongozwa na wanafunzi wenzangu
.....kutongozwa na wanawake sikuanzia chuo tu.
Nilipomaliza form 4 nilitongozwa na mwanamke ambaye hakuwa na Rika la kuitwa sugarmama lakini alikuwa kanizid umri na alikuwa ameolewa na boss mmoja alikuwa anamiliki kampuni ya Costa na hiace route ya Kaliua - Tabora. Tulidum kwa miezi kadhaa nilipoenda advance habari ikaisha.

Hawa mashoga ndo washanitongoza mpka wengine nishawalia nauli zao nyingi.
Na kuna shoga mwingine alinitongoza ni rafiki wa mtangazaji wa radio station moja kubwa sana hapa nchini aliwahi kuhama hiyo station lakini akarud tena. Kama unauwezo wa kufatilia unaweza kumjua.

Nishatongozwa na wadada mtu na mdogo wake na wote niliwala pasipo kujuana, wote walikuwa wananizid umri walikuwa ni wahaya wa muleba walikuja mkoani kwetu kwa baba yao.

Kipindi nipo advance kuna madam alikuwa anafundisha geography alinitongoza lakini sikufanikiwa kumla.

Kwahiyo kwa anayeona kwamba najisifia kuhusu kutongozwa na wanawake huyo anahisi kutongozwa na mschana ni big deal sana kwake asijue kwamba kwa wengine ni kitu cha kawaida sana.

3. Kuhusu madem kupenda baiki yangu
.....madem wanapenda vitu vya kijinga na baiki yangu haikuwa ya kishamba.
Baiki yangu ilikuwa luxury na Mercy mwanzo alikataa lakini baadae alikuja kuipenda na kuitegemea na alisahau daladala chuo-geto.

THEN SINA HAJA YA KUPOTEZA MUDA KUWADANGANYA KWA KUTUNGA STOR NINGEKUWA NAHITAJI FAIDA BASI NINGEMTAGUTA SHIGONGO TUKAFANYA KAZI YENYE FAIDA. KAMA UNAHISI NI CHAI BASI USIIFATILIE KAA PEMBENI. NIMEAMUA KUSHEA NA NINYI WANAJF WENZANGU KAMA SEHEM YA MAPITO KATIKA MAISHA YANGU.


NIMEAMUA KUTOA YA MOYONI KWANZA, UZI UTAENDELEA MDA SI MREFU.
Kwa hiyo unatusuta?🤣🤣🤣🤣Mi nimesikitika uliposema wanawake tunapenda vitu vya kijinga eti kitu chenyewe baiskeli but why???
 
Nilitaka nimwambie hii kitu.

Mimi nilikuwaga nikiona sielewi,navunja line yake then namsajilia mpya.
Duh hii ni ya kibabe zaidi.....sie tunatumiaga mbinu ya kublock tu,unajua Mtu akigundua kapigwa block stimu zinamkata bila kujua aliyeblock sio mhusika,Sasa na muhisika nae Ili asiwashwe unaipindua number halafu unaicha vilevile alivyosave...hapo wataongea lugha kama ule mnara wa babeli
 
lets go.......

Tulipofika home toka kwa Mercy tulifikia kwa huyo bro, nilimshukuru san kwasabb kwa kiasi flan niliona kama vita imeisha na dokta hatomtafuta tena mercy.
Baada kama ya dk 20 niliingia mageton kwangu na tayr ilikuwa ishafika time ya msos wa mchana. Nikawaza kwenda kuoga then nimchek mercy niende kwake kwa ajili ya msos. Nilimchek akasema ashaanza kupika.
Nilipitia gengeni nikabeba matunda nikapiga pedeli mpka kwa Mercy. Nilikuta anamalizia ugali basi tukagonga msos huku tunapiga stors za hapa na pale mpka tukamaliza. Siku ile kweli nilimramba Mercy na kama kawaida tulienjoy show.

Tulipomaliza kugegedana alienda kuoga namimi nikafuata maana kulikuwa na baadhi ya nguo zangu kwake.
Alipoenda kuoga cm aliiacha na Mercy pattern zake nilikuwa nazjua kwahiyo nilivaa ujasiri nikaanza kuipekua cm yake.
Sikukuta call yyte au mesej kutoka kwa Dokta wala shenzi yyte yule na of course Mercy hakuwa na mambo mengi alikuwa Binti mstaarabu sana na hii ndo ilinivutia pia kwake.
Tulipomaliza kuoga tuliamua kutoka kwenda chuo kufanya individual assignment ya somo la sociology.

Tulitoka chuo saa moja kasoro jioni.
Tukapita gengeni kuchukua matunda na vitu vilivyomiss ili tukaandae msos wa jioni.

Sasa ndugu zangu, tangu nimeanza kuwa na Mercy first year nilikuwa najitahid sana kuficha texts na calls za ma ex zangu washenzi nilikuwa naona kama wangeniharibia kwa Mercy wangu.

Ndugu zangu wakati tunachukua chukua mazaga cm yangu nilimpa Mercy anishikie wakati natoa wallet nichukue pesa cha kulipia pale.
La haulah! Text ikaingia la dem flan nilimuacha home anaitwa Tecra (hii ni real name)
Text ilisomeka "Toka uingie chuo basi ushanisahau lakini tambua mimi ndo mke wako hao wamenishikia tu kwa muda"
Mercy sio mtu wa short temper yani so wa mavurugu vurugu hovyo alinambia "kuna text imeingia hapa isome tu lakini tutayazungumza tukifika home"
Nilichukuwa cm kwa shauku kukuta text ya Tecra nikajisemea moyoni kwamba hapa tayar nishapata doa kwa Mercy na uaminifu wake kwangu utapungua.

Tulipofika home nikajiwahi kujishughulisha kwenye kupika lakini Mercy alinikumbusha kuhusu Ile txt akauliza Tecra ni mke wako?
Nikamjibu hapana ngoja nipike kwanza tule tutaongea.
Ghafla cm ya Mercy ikaingia kupokea ni Dokta, nilikuwa napika lakini nikaamua kusogea karibu na Mercy kusikia vizur upuuzi wa msela na Mercy alikuwa kaweka loud speaker.
Kiukweli Dokta alikuwa na hela lakini alikosa swaga tu na ndo kilichokuwa kinamcheleweaha.

Dokta aliuliza Mercy anaendeleaje na wakati Mercy àlikuwa kashapona kitambo kiasi kwamba ni ushamba mtu kuendelea kuuliza hali yake baada ya kutolewa jino. Nikaona kabisa huyu Dokta anamtaka sawa Mercy lakini swaga kakosa. Alipiga porojo zake pale lakini hakumgusia kuhusu swala la mimi na bro kumfata na kumpiga bit. Hapa nilimuona gentleman kidizain.

Dokta hakuwa na swaga basi akakata cm.
Nikaendelea na kupika nikamaliza tukala. Baada ya kumaliza kula nikaanza kuleta uchokozi ili nimle na asahau kabisa maswala ya Tecra.
Mercy alistukia akanipiga marufuku kwa herufi kubwa. Alisisitiza juu ya Tecra nikamuelekeza kwa mapana na marefu na kwa kiasi alinielewa. Lakini niliona kunakawasiwasi bado anako moyoni.
Nilifanya ujinga wa kumpiga Tecra nikamchana live mbele ya Mercy kwamba asinisumbue tayar nina mwingine na tunapendana. Nahisi huu ni upuuzi na sitakuja kurudia labda nikiwa nimeoa.

Basi tukasov pale yakaisha nikarud home kwangu.

Kumbuka hapo nilikuwa bado nipo katika changamoto ya kiuchumi. Nilikuja kufurahi nilipoambiwa Maza karud home hapo nikaona kabisa mambo yamegeuka na wa mwisho Sasa atakuwa wa kwanza.
Kweli bhan mwez ule nilipewa 150k ya matumizi na ilikuwa bado kama weeks 3 tuingie UE ya sem1 mwaka wa3.

Bado yule Dokta aliendelea kumsumbua Mercy na Mercy alikuwa ananambia nisijali niwe na amani yeye anajielewa.
Niliwaza kumpigia tena Dokta lakini nikaona ni ushenzi nikaachana naye.
Dokta hakukoma alizidisha kumtafuta, nikaamua kumchek tena nikamwambia aache kumsumbua Mercy kwani hayupo tyr kumpa penzi kwahiyo anajiaumbua na kujichoresha tu kumtafuta. Dokta akanijibu majibu ya kishujaa sana.

Dokta alinijibu...."wewe ni chalii mdogo sidhani kama Mercy akihitaji milioni moja ghafla unaweza kumpa. Wewe unavyo vya kujivunia lakini nilichonacho mimi ni pesa na pesa haitanihitaji nitumie nguvu wala maneno mengi.

KUNA WATU WANA ROHO MBAYA DUNIANI.

Yale maneno ya yule mshenzi yalinifanya nipate mawazo mengi sana kichwani yakiwemo.

1. Nitafute watoto wa mbwa niwageie ya bangi wakamchape jamaa kichapo Cha mbwa mwizi.

2. Niachane na Mercy niwe na amani ya moyo. Hili halikuwa na nguvu kwasbb ni dhahili kumuacha Mercy ilikuwa ni ngumu.

3. Nimtie Mercy mimba ili nijihakikishie ushindi.


Tutaendelea.............

Muendelezo soma Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy
 
Tuendeleee.....

Kabla ya kuendelea naomba niandike mambo machache.

Watu wameniandama sana wengi wao wanadai hii ni chai na wamejikita kwenye maeneo yafuatayo.

1. Bikra kumpiga bao tatu
.....sio Mercy tu nishatoa bikra tatu kabla ya Mercy na mbili kati ya hizo nilipiga bao tatu. Wengi wanaoniandama hawajui mapenzi wanadhani kumfuck dem ni vita kwamba lazima apate maumivu. Kuna soft sex kwa wanaonielewa wanajua kwamba bikra inawezekana kumpiga hata bao kumi.

2. Kutongozwa na wanafunzi wenzangu
.....kutongozwa na wanawake sikuanzia chuo tu.
Nilipomaliza form 4 nilitongozwa na mwanamke ambaye hakuwa na Rika la kuitwa sugarmama lakini alikuwa kanizid umri na alikuwa ameolewa na boss mmoja alikuwa anamiliki kampuni ya Costa na hiace route ya Kaliua - Tabora. Tulidum kwa miezi kadhaa nilipoenda advance habari ikaisha.

Hawa mashoga ndo washanitongoza mpka wengine nishawalia nauli zao nyingi.
Na kuna shoga mwingine alinitongoza ni rafiki wa mtangazaji wa radio station moja kubwa sana hapa nchini aliwahi kuhama hiyo station lakini akarud tena. Kama unauwezo wa kufatilia unaweza kumjua.

Nishatongozwa na wadada mtu na mdogo wake na wote niliwala pasipo kujuana, wote walikuwa wananizid umri walikuwa ni wahaya wa muleba walikuja mkoani kwetu kwa baba yao.

Kipindi nipo advance kuna madam alikuwa anafundisha geography alinitongoza lakini sikufanikiwa kumla.

Kwahiyo kwa anayeona kwamba najisifia kuhusu kutongozwa na wanawake huyo anahisi kutongozwa na mschana ni big deal sana kwake asijue kwamba kwa wengine ni kitu cha kawaida sana.

3. Kuhusu madem kupenda baiki yangu
.....madem wanapenda vitu vya kijinga na baiki yangu haikuwa ya kishamba.
Baiki yangu ilikuwa luxury na Mercy mwanzo alikataa lakini baadae alikuja kuipenda na kuitegemea na alisahau daladala chuo-geto.

THEN SINA HAJA YA KUPOTEZA MUDA KUWADANGANYA KWA KUTUNGA STOR NINGEKUWA NAHITAJI FAIDA BASI NINGEMTAGUTA SHIGONGO TUKAFANYA KAZI YENYE FAIDA. KAMA UNAHISI NI CHAI BASI USIIFATILIE KAA PEMBENI. NIMEAMUA KUSHEA NA NINYI WANAJF WENZANGU KAMA SEHEM YA MAPITO KATIKA MAISHA YANGU.


NIMEAMUA KUTOA YA MOYONI KWANZA, UZI UTAENDELEA MDA SI MREFU.
Sasa hapa ndo unaharibu kabisa hebu stick kwenye Story yako maana unapoanza kuelezea Sexual Explicit tena..

Unaharibu Maana wengine ni Baba zako..
Japo tumependa story yako ila unapoanza kujibu vitu hivi unataka kutukimbiza sasa..

Nakufundisha Kitu mwanaume huwa hajibu kila kitu kinachomkwaza..
Hiyo ni sawa na mbwa mwindaji habwekei kila Ndege anayemwona Juu..
umeelewa?
 
Sasa hapa ndo unaharibu kabisa hebu stick kwenye Story yako maana unapoanza kuelezea Sexual Explicit tena..

Unaharibu Maana wengine ni Baba zako..
Japo tumependa story yako ila unapoanza kujibu vitu hivi unataka kutukimbiza sasa..

Nakufundisha Kitu mwanaume huwa hajibu kila kitu kinachomkwaza..
Hiyo ni sawa na mbwa mwindaji habwekei kila Ndege anayemwona Juu..
umeelewa?
Wanakera
 
Sasa hapa ndo unaharibu kabisa hebu stick kwenye Story yako maana unapoanza kuelezea Sexual Explicit tena..

Unaharibu Maana wengine ni Baba zako..
Japo tumependa story yako ila unapoanza kujibu vitu hivi unataka kutukimbiza sasa..

Nakufundisha Kitu mwanaume huwa hajibu kila kitu kinachomkwaza..
Hiyo ni sawa na mbwa mwindaji habwekei kila Ndege anayemwona Juu..
umeelewa?
Mmmh Dr uko makini sana na story ya Mercy 🤔🤔🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom