Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

NITAJITAHIDI KUTAFUTA NAMNA YA KUWAFANYA MUAMINI KWAMBA HII SIO CHAI BALI NI TRUE NA INANIHUSU MIMI. LAKINI NITAZINGATIA PRIVACY SITATAKA KUWAWEKA WAZI MKAWATAMBUA WAHUSIKA HASA DOKTA NA MERCY
Achana na wana jf lete story
Wanasema chai afu wanafatilia
Jf wanaafiki wengi sana bwamdogo
Mda wote wanajifanya wako serious na maisha tu...Wakitaka facts waende intelligence forum au siasa na dini hukooo
Achana nao tupo tunaofatilia bwana wewe
No need to prove anything kwao,wanaa tu hao
 
Maliza basi unajibujibu nini dadadeq zako hao utawajibu ukishamaliza, nani alimgonga huyo demu wako ni huyo mibangi wa tanapa alikutombea au huyo Daktari wa Meno ?
Umeona eehh anajibishana na watu wa jf kaahh...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
NITAJITAHIDI KUTAFUTA NAMNA YA KUWAFANYA MUAMINI KWAMBA HII SIO CHAI BALI NI TRUE NA INANIHUSU MIMI. LAKINI NITAZINGATIA PRIVACY SITATAKA KUWAWEKA WAZI MKAWATAMBUA WAHUSIKA HASA DOKTA NA MERCY
Nilishamfikiria Mercy wa JF tangu post ya kwanza we tuendelee huwezi kutuzui kufikiri au kuunganisha dots. Usikute Dr yupo humu na fake Id ya kike anakuchora tu huku kamkumbatia Mercy
 
Back
Top Bottom