Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Dogo endelea hawa wanaoona ni chai waache hawajaitwa hapaSasa napata nini katika kutunga huo ujinga au mnanilipa, hafu sikukulazmisha usome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo endelea hawa wanaoona ni chai waache hawajaitwa hapaSasa napata nini katika kutunga huo ujinga au mnanilipa, hafu sikukulazmisha usome
Wanazingua yani utafikiri kunamshahara nalipwa yan sisi wabongo tunashidaDogo endelea hawa wanaoona ni chai waache hawajaitwa hapa
Kama wewe huwez wengine tuliweza hafu gud tuSare za vitenge halafu chuo 🤣🤣🤣🤣🤣
NtakutagMbona huhanitag we dog mfyuuuy
Achana na wana jf lete storyNITAJITAHIDI KUTAFUTA NAMNA YA KUWAFANYA MUAMINI KWAMBA HII SIO CHAI BALI NI TRUE NA INANIHUSU MIMI. LAKINI NITAZINGATIA PRIVACY SITATAKA KUWAWEKA WAZI MKAWATAMBUA WAHUSIKA HASA DOKTA NA MERCY
Umeona eehh anajibishana na watu wa jf kaahh...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maliza basi unajibujibu nini dadadeq zako hao utawajibu ukishamaliza, nani alimgonga huyo demu wako ni huyo mibangi wa tanapa alikutombea au huyo Daktari wa Meno ?
Watu wana stress wanakuja kupata relief Wa ignore kama vipi bwana weeWanazingua yani utafikiri kunamshahara nalipwa yan sisi wabongo tunashida
Andika baasi achana na hawa haters bwanaaNtakutag
Nataka amalizeUmeona eehh anajibishana na watu wa jf kaahh...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We Mage tulia kwanzaAndika baasi achana na hawa haters bwanaa
Wewe Mage tulia amalizieWatu wana stress wanakuja kupata relief Wa ignore kama vipi bwana wee
Yaani sijui wa mkoa Gani Hawa walikuwa hebu otea ni chuo Gani mdogo wangu😁😁?Sare za vitenge halafu chuo 🤣🤣🤣🤣🤣
Mlizingua bwana na mercy wakoUmeniandama sana, sisi tuliishi maisha yetu
Nilishamfikiria Mercy wa JF tangu post ya kwanza we tuendelee huwezi kutuzui kufikiri au kuunganisha dots. Usikute Dr yupo humu na fake Id ya kike anakuchora tu huku kamkumbatia MercyNITAJITAHIDI KUTAFUTA NAMNA YA KUWAFANYA MUAMINI KWAMBA HII SIO CHAI BALI NI TRUE NA INANIHUSU MIMI. LAKINI NITAZINGATIA PRIVACY SITATAKA KUWAWEKA WAZI MKAWATAMBUA WAHUSIKA HASA DOKTA NA MERCY
Nataka nilale namsubiria hapaWe Mage tulia kwanza
Aya kakaWewe Mage tulia amalizie
SUA kwa wakulimaYaani sijui wa mkoa Gani Hawa walikuwa hebu otea ni chuo Gani mdogo wangu[emoji16][emoji16]?
Soma upya uelewe.amekuambia kwa wiki