Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Tuendeleee.......

Baada ya kile kipindi cha mchana tulitoka kurud hostel. Ilipofika saa kumi jioni nikamstua mama mtu nkamwambia ajiandae akasema Haina shida anajiandaa. Nikawa napoteza muda nikichek movie ya "the boy who harnessed the wind" no movie yangu pendwa. Ilipofika saa kumi na moja nikamchek tena akajibu ameahirisha duuuh nilikuwa nimeweka laptop kwenye mapaja kidogo niibwage chini kwa jinsi nilivostuka baada ya Mercy kunambia ameghair nikamsihi nikamwambia ukiachana na gharama tayar nishaweka oda ya msosi wa jioni kule town na tayar nishaset akili yangu kwamba leo ndo leo. Kumbe alikuwa ananichora bhana mwsho wa siku akanambia tutaondoka saa Moja kasoro jioni nikakubari.

Ile movie iliisha nikaanza kupitia assignment ambayo tuliambiwa tukusanye j tatu asubuh ilikuwa ni chemistry nikaipitia pitia pale ku-buy time lakini akili haukuwa pale kabisa.

Bila hiana muda ukafika bhna nikamuona mtoto kajikusanya kusanya kaja tulikutana kituo cha daladala alikuwa katupia kimtindo na ki handbag chake kwapani. Tukanyaka chuma mpka town, tulipofika tuliingia ndani tulikuwa tyr tushaoga kwahyo haikuwa na haja ya kwenda washroom. Tulifukia kwenye sofa lililokuwemo humo room, stor na romance zilianza, tulivua nguo tukapiga deep kisses za hatar tukahamia kitandani kimbembe kikaja kwenye kuweka dudu la yuyu.

Mercy kweli alikua bikra yani nilisumbuka sana kuinsert dudu la yuyu nakumbuka aliniuma meno mkononi nikakasirika nikaenda kwenye sofa mwsho wa siku akaja kumuomba msamaha mambo yakaendelea. Nikakumbuka kuna order ya msosi nikatoka kwenda kitchen kuulizia kinachoendelea na nilikosa chips kavu mbili na mbuzi nusu na vinywaj. Zilipita kama do 15 chakula kikaja tukala then tukaenda kuoga tukarud kuendelea kuviziana kitandan. Mercy aliomba niende dukani kutafuta Panadol ili kama maumiv yatakuwa makali bas atumie dawa. Nikaona no idea nzur nkaenda kuchukua dawa nikarud fast.

Nikaanza uchokoz nikamlegeza kabisa kisha nikaweka mkeyenge kwa nguvu sana na ililenga palepale ebana Mercy alitoa kelele moja kwa mkeyenge wake nikaona nimemuweza nikapiga kama tako tano alipiga sana kelele kwasabb ilikuwa inabana sikuchukua muda nikakitupa cha kwanza. Nilipochomoa nilimuona mercy kajifunika sura na mikono yake anaona aibu ila kuangalia chini ni kweli palikuwa na dam nyingi kimtindo.

Katika Ile handbag aliweka kanga, Ile kanga aliitanguliza chini kwahyo dam zikaishia katika kanga. Tukatoka kwenda kuoga lakini dizain kama Mercy alikuwa kanuna lakini baada ya kumaliza kuoga alikuwa kashakaa sana tukala stor tukarud bed. Nilianza plan za kuakiamsha Cha pili tukaanza romance, mara ya pili niona changes kwa Mercy alipunguza uoga ja ham iliongezeka kwahyo cha pili kidogo tulienjoy japo kelele ziliendelea.

Asee mpka kunakucha nililipia rounds 3 asubuh saa3 tukaondoka tukapita town kununua msos tukarud chuoni. Njiani Mercy alinambia maneno flani kwamba angenishangaa kama nisingefanikiwa kuitoa bikra.

Basi bhna tuliendelea kuzama penzini na mapenz yaliongezeka mara dufu na watu walituoenda sana chuoni na wengine kutuonea wivu hasa madem na ma men wachache kwasabb tulikuwa tunaish lifestyle flan hvi nzuri sana.

Ilifika muda wa kufanya UE ya kwanza kulifanya vzr mimi na Mercy hakuna aliyepata sup, hii ilizidisha mapenz kati yetu na wanafunzi wenzetu walitupa hongera sana kwasabb so kwamba hatukupata sup tu bali GPA zilikuwa sio haba zilivutia.

Tulianza kupata changamoto kutoka kwa wanafunzi wenzetu, kuna wadada walikua wananifata kunitongoza na yeye alifatwa sana na ma men lakini tulijiapiza kutokusalitiana. Tuliendelea vizr mpak mwaka wa kwanza ukaisha vizuri tu. Mimi na Mercy hatukendekeza ngono kwani mpka mwaka wa kwanza ulipoisha tulifanya mara moja tu.

Mwaka wa pili ulianza baada ya kumaliza likizo....mambo yalibadirika mwaka wa pili katikati.....

See you............
Hii imekaa kama chai ya mdalasini, hivi nyie watoto huwa mnatuchukuliaje sisi ma bro wenu.
 
NITAJITAHIDI KUTAFUTA NAMNA YA KUWAFANYA MUAMINI KWAMBA HII SIO CHAI BALI NI TRUE NA INANIHUSU MIMI. LAKINI NITAZINGATIA PRIVACY SITATAKA KUWAWEKA WAZI MKAWATAMBUA WAHUSIKA HASA DOKTA NA MERCY
Mi mbona nishajua Mpaka sehemu uliposoma na faculty yako.😀😀
Na eniwei tunaomba muendelezo mbna unachelewesha
 
Siku ya kwanza tu ya kubikiri ukamla bao tatu we dogo UE imekaribia shauri poteza muda kwa kutunga hadithi humu jf shauri yako.
Nilimla bao tatu nikweli lakini tulianza kazi saambili usiku mpka kesho yake saatatu asubuhi unategemea ningemla bao Moja muda wote huu. Pia zile Panadol nahisi zilimpunguzia maumivu. Hafu sio huyo tu nishatoa bikra kama tatu hivi ukiachana na Mercy na mbili kati ya hizo nilipiga bao tatu
 
Nilimla bao tatu nikweli lakini tulianza kazi saambili usiku mpka kesho yake saatatu asubuhi unategemea ningemla bao Moja muda wote huu. Pia zile Panadol nahisi zilimpunguzia maumivu. Hafu sio huyo tu nishatoa bikra kama tatu hivi ukiachana na Mercy na mbili kati ya hizo nilipiga bao tatu
😂😂😂😂😂 kila ukitoa bikra unakula bao tatu, hizi bikra za mabinti wa siku hizi ni tofauti na zile zetu za henzi hizo , pisi ilikuwa inakuchukia na inasikia maumivu makali na kama ukilala nae basi hataki tena na anakuwa kama anajutia sasa yenu ya siku hizi ni mwendo wa bao tatu😂😂😂😂😂
 
Tuendeleee.......

Mwanzoni mwa mwaka wa pili (2020 mwez wa11) tuliona mimi na Mercy tutafute vyumba mtaani tutoke hostel za chuo. Mimi nilifanyie field mkoa huohuo ambao kwahyo skuwa mbali na mazingira ambayo tulikuwa tunatakiwa kutafuta vyumba. Basi ilivobak kama weeks 2 tufungue nikaanza kufuta rooms nilihakgaika lakini nikabahatisha room katika mjengo flan mzur tu nikalipa kod kabisa ya miez sita tsh 240, 40/month. Mfukoni nilibakiwa na kama 580k maana nilikuwa na pesa ya field na home walinitumia kwasabb niliwaambia mwaka wa pili na wa3 hatutakiwi kukaa hostel tena. Nikatafuta kitanda na godoro used kwa wahitim, nikanunua jiko na mazaga mengine baadhi kwa kuanza life.

Nakumbuka ilibaki kama 160k nikapiga hesabu tukifungua tutapewa boom kwahyo hiyo 160k nikaamua kuifutia cha kufanya basi nikamchek Mercy kuhusu chumba kwanza akanambia pesa anayo mimi nimtafutie chumba Cha 50k isiwe chini au juu ya hapo. Mwanaume nikaanza kusavula kitaa kutafuta room nikapata room moja kali sana ilikuwa mtaa wa tatu kutoka mtaani kwangu.

Niliwaambia kimo na Mercy hatukuhusudu sana ngono ndo maana na vyumba tulitafuta kila mtu chake. Basi Mercy nakumbuka alinitumia 800k, yani pesa kwao haikuwa shida maana hata mkopo aliambiwa na babaake asiombe lakini aliniomba ushaur akasema anataka aombe kificho kwao wasijue ili awe na pesa za kutosha lakini mimi nilimkatalia nikamwambia watakuja kugundua halafu utapata shida akavunga.

Ile 800k aliweka katika acc yangu ya benk nikaenda kuichomoa nikalipa 300k ya miezi sita, nikanunua kabati la nguo na la jikoni, nikanunua sembe ya kilo tano, mchel, vyombo na mazaga zaga mengine ya kula plus sabufa ndogo maana alikuwa anapendelea sana mziki. Nilipofanya zile mambo ilibaki kama 95k nikamwambia akanambia nikate 30k nitumie halafu 65k atanikuta nayo. Nikafanya vile na mimi mfukoni nilikuwa na kama 120+35 nikawa na 155k.

Niliona kutoa pesa ya daladala kila siku buku kwenda chuoni ingenicost ikabid nitafute kibaiskel flan cha kukitumia. Mimi sikuwa brothermen bishoo kwamba ningeona soo kutumia baiskel. Nilipata baiskel flan ya kiaina yenye kiti cha kukalia nyuma. Basi week Ile ikakata ya pili ikakata j 3 tukafungua chuo, siku hiyo hiyo ndo ilikuwa siku ya Mercy kurudi chuo. Alifika saa3 usiku nikaenda kumpokea kama kawaida tulimisiana sana (asee nyie mapenzi matamu wakikutana wanaopendana).

Basi tukapita kuna sehemu walikuwa wanachoma nyama mfukoni nilikuwa na vijisent vimebak nikamnunulia nyama na bavaria akajishindilia tukawahi magetoni. Siku ile kwakweli kwasabb tulikuwa tumemisiana sana ilibidi alale kwangu kwahiyo tulikubaliana akalala kwangu nikajilia vyangu tulienjoy sana kwasabb tulikuwa na hisia kwa kila mmoja wetu tena zile true feelings.

Kesho yake tulikuwa na vipindi asubuhi saa tatu kwahiyo tuliamka tukajiandaa kwenda chuo nilimpandisha katika baiskel yangu japo mwanzo aligoma eti nitamuangusha lakini alikubali nikampandisha tukateleza kwenda skuli. Njiani wanafunzi wenzetu walikuwa wanatushangaa wengi wao hasa madem walitamani sana (wanawake wanapenda vitu vya kijinga jinga sana) namimi nikaamua kupitiliza mpka venue nikafinya break nje pembeni kidogo na venue Mercy akashuka nikapak baiki tukaingia venue.

Vipindi vilipoisha tukarudi kitaa na baiki yetu tukapitia room kwa Mercy akaiona alipenda kwahiyo tukaenda kwangu kusanya vya Mercy tukahamishia kwake.

Maisha ya nje ya chuo yakaaanza...........
Mmmh kweli wanawake tunapenda vitu vya kijinga lakini sio kupanda baiskeli😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom