Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Tuendeleee........

Ilifika saa saba na nusu tupo kiwanja na bro, nikamwambia siwez kuendelea kustay macho yani usingizi ulikuwa ushaanza kuniandama.
Bro alinambia kwamba leo haturud home tutalal hukuhuku. Nikamuliza kwanini ameamua vile si nikuharibu pesa tu wakati home ni karibu.
Alinijibu kwamba "dogo pesa ipo, ukiwa na pesa hayo mawazo ya kimaskini hayawezi kuja akilini mwako. Sometimes unatakiwa kubadirisha mazingira kulingana na mood ulonayo, akamalizia kwa kusema wewe enjoy na utafute pesa".

Yale maneno ya bro yalinivunja nguvu, nilikonekt na maneno ya Dokta siku Ile basi nikaona kama dunia ni uwanja wa mapambanno yani ili upate hitaji lako ni lazima ukomae.
Nikaitazama cm yangu hakuwa hata na dalili ay Mercy kunitafuta.
Nikaamua kufungua chats zangu za normal texts na Mercy nikazisoma zote nikamaliza nikarud za Whatsapp nikamaliza nazo nikabak nimejiinamia. Bro alinichukuwa kumbe alikuwa kashabook vyumba kitambo akanishika mkono akanielekeza chumba changu nikaenda kupumzika.

Mule room usingizi niliupata kwa mafungu mafungu yani nalala lisaa nashtuka, nalala tena dakika 45 nashtuka mpka ilafika asubuhi.
Kwakuwa kipindi cha kwanza chuoni kilikuwa ni saa4 na dk15 asubuh basi nilizuga room mpk saa 2 hivi then nikaanza kujiandaa. Nilienda pia room kwa bro kumbe alikuwa na manzi nilpishana naye mlangoni nilivomuona nikajuta kabisa huyu sio mpenz wake bali ni wale wa lipia kamata twende.

Tulipiga chama na mayai tukapanda kigari chetu tukasepa. Njiani nikamwambia bro kwamba alichokifanya ni kikubwa sana kwasababu kwa ule usiku wa jana endapo ningekuwa pekeangu room basi kuna hatihat ningejimaliza kabisa au ningehangaika sana room pekeangu.
Tulivofika geton bro alinambi nijiandae anipeleke chuo na gari.
Ilikuwa kama saa tatu na 40 kwahyo kudavulikuwa bado tukaamua kuzuga magetoni kwanza.
Muda ilipofika nilichukuwa vidaftar vyangu tukaanza safar mpka chuo. Bro alikuwa na kidem chake mwaka wa pili alikipitia mageton kwake tukaenda nacho. Nakumbuka tulifika tukakuta wanafunzi tyr wapo class. Ali-drive mpka karibu na venue, mimi na yule manzi wa bro tulishuka kila mmoja kaenda venue kwake.

Nilipoingia class wasera wakaanza kunizingua oya naona umeshuka na mtoto mkali mwanangu Mercy umepiga chini au sio, jamaa alivotaja jina la Mercy moyo wangu ulipasuka hakujua tu nini kilikuwa kinaendelea.
Kumbe Mercy naye aliniona wakat nashuka.
Gari anaijua na mwenye gari anamjua lakini yule binti ndo alikuwa hamjui.
Nilitaka kwenda kumsalimia Mercy mahali pale amekaa lakini moyo ukanizuia nikavunga na kujikaza kiume.
Katikati ya kipindi nikasikia kama mesej imeingia katika cm yangu. Nikaona kwanza Mungu kwamba Ile mesej tafadhari iwe ya Mercy maana nipo hoi sina nguvu zakuemdelea kukomaa.

Kutoa cm Bwana kweli Ile mesej ilikuwa ni ya Mercy ilisomeka "yani tayari umepata kidem kweli wewe mwanaume ni Malaya"
Nilikuta kwanini bro alimpitia yule dem wake japo yeye ndo kafaya Mercy kanitafuta.
Nikimjibu "tusome kwanza kama utahitaji maelezo kuhusu huyo dem utanambia baadae nikueleze" Mercy hakujibubtena.

Kipindi kikaisha nikatoka nikaenda pembeni kulikuwa na vimbeeta nikakata nachezea cm yangu. Nilistukia namuona Mercy kafika kimbwetani nilipo, akanisalimia kisha akakaa.
Mercy ni mschana mwenye akili na mwenye huruma sana na nitampenda mpka naingia kaburini sijawahi kukutana na mwanamke wa vile.

Mercy alinishika mkono mmoja huku akiniangalia hakuwaza watu walokuwa wanapita kando yetu.
Aliniomba msamaha kwa kumfukuza na akasema kwamba alikuwa a hasira juu ya Tecra na wala si Dokta ndo aliyemoa ujasiri ule.
Ndugu zangu machozi yalinilenga kidume mzima lakini nikajikaza nikaona Mercy angeniona mimi kavu kulia lia kama mzungu.
Hatujakaa sawa cm ya Mercy ikaita kuangalia ni Dokta, ebana sisi wanaume ni ving'ang'anizi ila Dokta alizi na jeuri ya pesa ikanifanya nimuone mwenye ROHO mbaya sana. MERCY alivoona ni Dokta ndo anapiga aliikata na kusonya kabisa. Sasa nikamwambia so bora tumblock tu ili asizngue tena, Mercy alikubali tukamblock pale pale.

Tulienda kunywa juice na chapati cafe tukarudi venue kwa ajili ya kipindi.
This time tulikaa sehem moja na Mercy hii ni kawaida yetu toka first year.
Basi mambo yangu na Mercy yalirudi kuwa poa tukawa tunaishi vzr tu kama mwanzo.

Niliwambia yule Dokta ana ROHO mbaya. Ilikuwa hivi....
Ilikuwa ni week imepita baada ya kumblock. Tulikuwa week ya mwsho ya kuingia darasani then iingie week ya maandalizi ya UE. Nilimwambia Mercy achunge tusivurugane tukafeli akanihakikishia yeye yupo serious na nisiwe na wasiwasi.

Mwisho wa hii wiki tulikuwa nayo nakumbuka tulikuwa tunasomea kimbwetani. Ghafla cm ya Mercy ikaita kuchek namba ngeni akapokea na kuweka loud speaker. Kuskia saut nibya Dokta yani niliishiwa nguvu ndugu zangu. Nikajiuliza hivi huyu Dokta hajaona madem wengine ila ni Mercy wangu tu au ni shetan anaingilia mapenz na masomo yangu ili nifeli. Mercy akamuliza yeye nani akajibu Dokta, Mercy akamwambia shida nini, Dokta kasema ameamua kumchek amsalimia na akasema ni ushamba alivomblock basi Mercy alikasirika akakata cm.

Hatujakaa sawa mesej ikaingia kwa Mercy kuchek ni muamala wa tigopesa tsh 110k. Hafu ikaingia nyingine kaandika, mchukue huyo dogo mkanunue mahitaji yenu ya magetoni mwenu mnapojifichia.
Kweli pesa ni kitu cha ajabu sana, niliwaza nikasema inamaana mule magetoni sisi tunajificha sio nyumba za kuishi zile, nikawaza tena kwahiyo mimi naitwa dogo mbele ya mpenzi wangu.
Nikasubiri Mercy aseme nini juu ya ile pesa hafu mimi ndo niongee. Mercy alikuwa kimya nikamuliza what is next juu ya hii pesa kajibu niseme mimi.
Mimi kwa Ile hasira nikasema hii pesa mrudishie mbele yangu naona irudishe hapahapa nashuhudia.

See you there..........
Mwamba wewe ni mabataksi kama bado upo hivyo
 
Duh hii ni ya kibabe zaidi.....sie tunatumiaga mbinu ya kublock tu,unajua Mtu akigundua kapigwa block stimu zinamkata bila kujua aliyeblock sio mhusika,Sasa na muhisika nae Ili asiwashwe unaipindua number halafu unaicha vilevile alivyosave...hapo wataongea lugha kama ule mnara wa babeli
Duh! We Joannah ntakufwata PM mimi, mbona mtundu hivyo? 🤣 🤣 🤣
 
Kaka,

Hadhira ya JF inapenda kusikia vitu wanavyovitaka. Upo uzi wa Ukahaba na Umalaya wa Kishua kule jukwaa la burudani. Jamaa kmtoa bikra dada yake na usiku huohuo kapiga bao kibao. Hakuna hata mmoja aliyempinga kwa kuwa WAPINGAJI wote WALIDINDISHA 😬 Ile story ni watu wanakula ganja, kashata za kikojozi, mitungi na mirungi na kutiana siku nzima. Hakuna hata mmoja anayepinga vitu vya ajabu vinavyosimuliwa, jinsi mama anavyoshuhudia binti yake akinyanduliwa na mumewe; jinsi mkwe anavyoliwa na Baba mkwe na mkwe anavyomsaga mama mkwe! Ule uzi kwa kweli, unalowanisha chupi za wadada na CHAPUTA wamepata msererekooooooo

Wewe uswasikilize kwa kuwa stress zao ndo chanzo cha yote haya. Endelea hadi mwisho. Hata InsiderMan walishampinga sana na hatimaye walikuja kumkubali tuuu
Poa poa
 
Les goo...........

Maneno ya Mercy yalinifanya nione kama vile ananinyanyasa yani ananiona mnyonge sana.

Nikajikaza nikawa mpole nikamwambia ajitahidi kuwa na subira asiamini juu ya anayoyadhania juu yangu.
Nilijishusha kwa makusud, na hii kitu ilinipa maana Mercy alipoa tukarudi kuwa sawa.
Zilikuwa zimebaki siku chache twende UE, basi tukajipiga brush final touches ili tukafanye vizur katika UE.
Course works zilikuwa nzuri tu kwahiyo tulikuwa na uhakika UE tunaenda kubonda vizur.
Kesho yake nilimchek Mercy fek nikamuomba tukutane sehem flan sikutaka iwe rum kwangu wala kwake. Nilikuwa nimepanga kwenda kumpa somo aache kushindana na Mercy kwani Mercy hajui chochote kuhusu mission yetu ndomana anavoona tunawasiliana anahisi kunamchezo mbaya unaendeleaj kati yetu.

Tulikutana sehem flan kulikuwa na juice point hukohuko mtaani kwetu.
Nilimueleza kinagaubaga na akanielewa akaniahid kupunguza mashambulizi kwa Mercy lakini alisisitiza sana kwamba anahitaj penz langu.
Nilimsihi sanaaache hayo mawazo na niliona endapo kama nitampiga mashine basi kuna uwezekano akaja kuanza kumvimbia Mercy kwa dhana ya kwamba anashea naye penzi. Nikaona nitajaribu mission kwahiyo nilijikaza sana, alizid kunikumbusha kuhusu hili swala la kumnyandua lakini nikawa nampa ahadi zisizoisha na mwisho wa siku ili kumtuliza nikamwambia wakati wa likizo fupi baada ya kumaliza UE Mercy ataondoka kwao kwahiyo tutabaki na uhuru zaidi.
Huu mchoro nilompa ulimuingia na akatulia kabisa.

Nirudi kwa Dokta na Mercy fek, mpka siku ile naongea na Mercy fek pale juice point alinambia kwamba mission inaendelea vizur lakini Dokta kaomba anitoe out.
Basi kwasbb tulikuwa tunakaribia UE nikamwambia amsubirishe mpka UE iishe then tutatafuta uongo mwingine huko mbele. Tukapiga stor zingine kidogo then tukaachana. Lakini wakati nasepa Mercy fek akapitisha mkono wake kwenye mjegeje wangu madai yake et ni bahat mbaya na niliona alifanya makusud ila sikushangaa sana kwasbb namfaham ni mtu wa aina gani. Tuliachana pale kila mtu akala 50 zake.

Nilirud geto na nikamchek Mercy katika cm ili niende tukajisomee hii ilikuwa ishafika weekend ambayo j 3 yake ndo UE inaanza.
Nilienda kwa Mercy akapika tukale then tukaaza discussion.
Ambacho nilikuwa nafurah pia ni kwamba mimi na Mercy wakati wa kujisomea au discussion tulikuwa tunajikuta kama dada na kaka yani kulikuwa na userious wa uhakika na ilitusaidia sana kwenye masomo kiukweli.
Hatukuwa tunatumia mda mwingi sana kudiscuss kitu kimoja kwasbb tulikuwa tunafocus sana kwenye jambo ambalo tulikuwa tunalidiscuss.

Wakati tunasoma iliingia text katika cm yangu na cm yangu alikuwa nayo Mercy kwasabb alikuwa anaitumia kusoma maswali kwenye past papers ambazo nilizipiga picha kwa cm yangu.
Mesej ilikuwa ni ya Mercy fek ilisomeka "we fala hilo rungu lako limekaa utamu sana, Mercy anafaid"
Ndugu zangu Wana JF hii text ilikuwa chanzo cha mambo yote kuharibika kwani Mercy aligeuka mbogo na akasisitiza niondoke kwake na nisimpigie wala kumtext.

Nilijaribu kujitetea lakini Mercy hakunipa hiyo nafasi nikaamua nijikusanye nisepe.

Njiani nilimpigia cm yule malaya nikamuomba tuonane, safar hii nilienda kwake nikiwa ninahasira sana. Nilipofika nikamkuta kama alivozaliwa na najua alifanya makusud baada ya kujua nilikuwa namfata kwake.
Nilipomkuta vile nikamsihi avae nguo kwani sikwenda kwa ajili ya ule upuuzi. Alianza kunisogelea huku ananiangalia aliponikaribia nikarudi nyuma akanyoosha mikono yake anivute nikaipunch kwa nguvu.

Kitendo cha mimi kumpunch kikamtisha kidogo akarud nyuma nayeye. Akauliza kwani kuna shida gani, nikamjibu hiyo mesej uloituma Mercy kaiona na hapa nimekuja kwako nikiwa nahasira sana nawew kwani Mercy kunifukuza kwa hasira sana na sidhani kama nitaweza kumrudisha awe katika hali nzur na ukizingatia j3 UE. Nilimlaumu sana na yeye alijuta akajitetea kwamba hakutegemea kama Mercy angeweza kuiona mesej akaniomba msamaha akavaa nguo zake chap kwasbb aliona kabisa kwamba kaniudhi sana na nipo out of mood to the maximum.

Basi nikarud home nikiwa katika dimbwi la mawazo nikaona kama vile sina bahat katika ulimwengu wa mapenz kwasababu ugomvi na Mercy ilikuwa almost kila week. Na hii yote ilianza baada ya Mercy kukutana na yule Dokta mshenz kule hospital.

Kwasabb asingekuwa Dokta nisingekuwa close na Mercy fek.

Kesho yake ilikuwa jpil nilienda church na ukizingatia j3 ilikuwa ni UE basi nilienda pia kumuomba Mungu atutangulie katika mtihani. Baada ya kutoka church nikampitia kwa Mercy sikumkuta nikajua kabisa atakuwa bafo hajatoka church. (Mimi na Mercy tulikuwa tunaabudu madhehebu tofauti mimi fpct Mercy kkt)
Basi nikaka nje kulikuwa na tumiti twa michungwa nikakaa pia kulikuwa na vibench vimesimikiwa palepale chini ya miti.

Baada ya dakika 15 hivi nikamuona Mercy kaingia getini. Alikuwa kavaa gauni la rangi ya brown na viatu vyeusi nichwani alikuwa kasuka na ki handbag chake kilikuwa cha rangi ya pink.
Wazee Mercy alijua kupendeza siku hii.

Alipofika nilipokuwa nimekaa akanisalimia kisha akaingia ndani namimi nikamuwahi kabla hajafunga mlango.
Nilipoingia ndani akaniuliza nimefata nini nikamjibu apunguze hasira kwani yote anayodhania ni uongo hakuna la kweli hata moja.
Kabla sijaanza kumuelezea cm yake iliita kuitoa ilikuwa ni namba ngeni.

See you.............

===
Muendelezo soma Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy
 
Les goo...........

Maneno ya Mercy yalinifanya nione kama vile ananinyanyasa yani ananiona mnyonge sana.

Nikajikaza nikawa mpole nikamwambia ajitahidi kuwa na subira asiamini juu ya anayoyadhania juu yangu.
Nilijishusha kwa makusud, na hii kitu ilinipa maana Mercy alipoa tukarudi kuwa sawa.
Zilikuwa zimebaki siku chache twende UE, basi tukajipiga brush final touches ili tukafanye vizur katika UE.
Course works zilikuwa nzuri tu kwahiyo tulikuwa na uhakika UE tunaenda kubonda vizur.
Kesho yake nilimchek Mercy fek nikamuomba tukutane sehem flan sikutaka iwe rum kwangu wala kwake. Nilikuwa nimepanga kwenda kumpa somo aache kushindana na Mercy kwani Mercy hajui chochote kuhusu mission yetu ndomana anavoona tunawasiliana anahisi kunamchezo mbaya unaendeleaj kati yetu.

Tulikutana sehem flan kulikuwa na juice point hukohuko mtaani kwetu.
Nilimueleza kinagaubaga na akanielewa akaniahid kupunguza mashambulizi kwa Mercy lakini alisisitiza sana kwamba anahitaj penz langu.
Nilimsihi sanaaache hayo mawazo na niliona endapo kama nitampiga mashine basi kuna uwezekano akaja kuanza kumvimbia Mercy kwa dhana ya kwamba anashea naye penzi. Nikaona nitajaribu mission kwahiyo nilijikaza sana, alizid kunikumbusha kuhusu hili swala la kumnyandua lakini nikawa nampa ahadi zisizoisha na mwisho wa siku ili kumtuliza nikamwambia wakati wa likizo fupi baada ya kumaliza UE Mercy ataondoka kwao kwahiyo tutabaki na uhuru zaidi.
Huu mchoro nilompa ulimuingia na akatulia kabisa.

Nirudi kwa Dokta na Mercy fek, mpka siku ile naongea na Mercy fek pale juice point alinambia kwamba mission inaendelea vizur lakini Dokta kaomba anitoe out.
Basi kwasbb tulikuwa tunakaribia UE nikamwambia amsubirishe mpka UE iishe then tutatafuta uongo mwingine huko mbele. Tukapiga stor zingine kidogo then tukaachana. Lakini wakati nasepa Mercy fek akapitisha mkono wake kwenye mjegeje wangu madai yake et ni bahat mbaya na niliona alifanya makusud ila sikushangaa sana kwasbb namfaham ni mtu wa aina gani. Tuliachana pale kila mtu akala 50 zake.

Nilirud geto na nikamchek Mercy katika cm ili niende tukajisomee hii ilikuwa ishafika weekend ambayo j 3 yake ndo UE inaanza.
Nilienda kwa Mercy akapika tukale then tukaaza discussion.
Ambacho nilikuwa nafurah pia ni kwamba mimi na Mercy wakati wa kujisomea au discussion tulikuwa tunajikuta kama dada na kaka yani kulikuwa na userious wa uhakika na ilitusaidia sana kwenye masomo kiukweli.
Hatukuwa tunatumia mda mwingi sana kudiscuss kitu kimoja kwasbb tulikuwa tunafocus sana kwenye jambo ambalo tulikuwa tunalidiscuss.

Wakati tunasoma iliingia text katika cm yangu na cm yangu alikuwa nayo Mercy kwasabb alikuwa anaitumia kusoma maswali kwenye past papers ambazo nilizipiga picha kwa cm yangu.
Mesej ilikuwa ni ya Mercy fek ilisomeka "we fala hilo rungu lako limekaa utamu sana, Mercy anafaid"
Ndugu zangu Wana JF hii text ilikuwa chanzo cha mambo yote kuharibika kwani Mercy aligeuka mbogo na akasisitiza niondoke kwake na nisimpigie wala kumtext.

Nilijaribu kujitetea lakini Mercy hakunipa hiyo nafasi nikaamua nijikusanye nisepe.

Njiani nilimpigia cm yule malaya nikamuomba tuonane, safar hii nilienda kwake nikiwa ninahasira sana. Nilipofika nikamkuta kama alivozaliwa na najua alifanya makusud baada ya kujua nilikuwa namfata kwake.
Nilipomkuta vile nikamsihi avae nguo kwani sikwenda kwa ajili ya ule upuuzi. Alianza kunisogelea huku ananiangalia aliponikaribia nikarudi nyuma akanyoosha mikono yake anivute nikaipunch kwa nguvu.

Kitendo cha mimi kumpunch kikamtisha kidogo akarud nyuma nayeye. Akauliza kwani kuna shida gani, nikamjibu hiyo mesej uloituma Mercy kaiona na hapa nimekuja kwako nikiwa nahasira sana nawew kwani Mercy kunifukuza kwa hasira sana na sidhani kama nitaweza kumrudisha awe katika hali nzur na ukizingatia j3 UE. Nilimlaumu sana na yeye alijuta akajitetea kwamba hakutegemea kama Mercy angeweza kuiona mesej akaniomba msamaha akavaa nguo zake chap kwasbb aliona kabisa kwamba kaniudhi sana na nipo out of mood to the maximum.

Basi nikarud home nikiwa katika dimbwi la mawazo nikaona kama vile sina bahat katika ulimwengu wa mapenz kwasababu ugomvi na Mercy ilikuwa almost kila week. Na hii yote ilianza baada ya Mercy kukutana na yule Dokta mshenz kule hospital.

Kwasabb asingekuwa Dokta nisingekuwa close na Mercy fek.

Kesho yake ilikuwa jpil nilienda church na ukizingatia j3 ilikuwa ni UE basi nilienda pia kumuomba Mungu atutangulie katika mtihani. Baada ya kutoka church nikampitia kwa Mercy sikumkuta nikajua kabisa atakuwa bafo hajatoka church. (Mimi na Mercy tulikuwa tunaabudu madhehebu tofauti mimi fpct Mercy kkt)
Basi nikaka nje kulikuwa na tumiti twa michungwa nikakaa pia kulikuwa na vibench vimesimikiwa palepale chini ya miti.

Baada ya dakika 15 hivi nikamuona Mercy kaingia getini. Alikuwa kavaa gauni la rangi ya brown na viatu vyeusi nichwani alikuwa kasuka na ki handbag chake kilikuwa cha rangi ya pink.
Wazee Mercy alijua kupendeza siku hii.

Alipofika nilipokuwa nimekaa akanisalimia kisha akaingia ndani namimi nikamuwahi kabla hajafunga mlango.
Nilipoingia ndani akaniuliza nimefata nini nikamjibu apunguze hasira kwani yote anayodhania ni uongo hakuna la kweli hata moja.
Kabla sijaanza kumuelezea cm yake iliita kuitoa ilikuwa ni namba ngeni.

See you.............
Les goo...........

Maneno ya Mercy yalinifanya nione kama vile ananinyanyasa yani ananiona mnyonge sana.

Nikajikaza nikawa mpole nikamwambia ajitahidi kuwa na subira asiamini juu ya anayoyadhania juu yangu.
Nilijishusha kwa makusud, na hii kitu ilinipa maana Mercy alipoa tukarudi kuwa sawa.
Zilikuwa zimebaki siku chache twende UE, basi tukajipiga brush final touches ili tukafanye vizur katika UE.
Course works zilikuwa nzuri tu kwahiyo tulikuwa na uhakika UE tunaenda kubonda vizur.
Kesho yake nilimchek Mercy fek nikamuomba tukutane sehem flan sikutaka iwe rum kwangu wala kwake. Nilikuwa nimepanga kwenda kumpa somo aache kushindana na Mercy kwani Mercy hajui chochote kuhusu mission yetu ndomana anavoona tunawasiliana anahisi kunamchezo mbaya unaendeleaj kati yetu.

Tulikutana sehem flan kulikuwa na juice point hukohuko mtaani kwetu.
Nilimueleza kinagaubaga na akanielewa akaniahid kupunguza mashambulizi kwa Mercy lakini alisisitiza sana kwamba anahitaj penz langu.
Nilimsihi sanaaache hayo mawazo na niliona endapo kama nitampiga mashine basi kuna uwezekano akaja kuanza kumvimbia Mercy kwa dhana ya kwamba anashea naye penzi. Nikaona nitajaribu mission kwahiyo nilijikaza sana, alizid kunikumbusha kuhusu hili swala la kumnyandua lakini nikawa nampa ahadi zisizoisha na mwisho wa siku ili kumtuliza nikamwambia wakati wa likizo fupi baada ya kumaliza UE Mercy ataondoka kwao kwahiyo tutabaki na uhuru zaidi.
Huu mchoro nilompa ulimuingia na akatulia kabisa.

Nirudi kwa Dokta na Mercy fek, mpka siku ile naongea na Mercy fek pale juice point alinambia kwamba mission inaendelea vizur lakini Dokta kaomba anitoe out.
Basi kwasbb tulikuwa tunakaribia UE nikamwambia amsubirishe mpka UE iishe then tutatafuta uongo mwingine huko mbele. Tukapiga stor zingine kidogo then tukaachana. Lakini wakati nasepa Mercy fek akapitisha mkono wake kwenye mjegeje wangu madai yake et ni bahat mbaya na niliona alifanya makusud ila sikushangaa sana kwasbb namfaham ni mtu wa aina gani. Tuliachana pale kila mtu akala 50 zake.

Nilirud geto na nikamchek Mercy katika cm ili niende tukajisomee hii ilikuwa ishafika weekend ambayo j 3 yake ndo UE inaanza.
Nilienda kwa Mercy akapika tukale then tukaaza discussion.
Ambacho nilikuwa nafurah pia ni kwamba mimi na Mercy wakati wa kujisomea au discussion tulikuwa tunajikuta kama dada na kaka yani kulikuwa na userious wa uhakika na ilitusaidia sana kwenye masomo kiukweli.
Hatukuwa tunatumia mda mwingi sana kudiscuss kitu kimoja kwasbb tulikuwa tunafocus sana kwenye jambo ambalo tulikuwa tunalidiscuss.

Wakati tunasoma iliingia text katika cm yangu na cm yangu alikuwa nayo Mercy kwasabb alikuwa anaitumia kusoma maswali kwenye past papers ambazo nilizipiga picha kwa cm yangu.
Mesej ilikuwa ni ya Mercy fek ilisomeka "we fala hilo rungu lako limekaa utamu sana, Mercy anafaid"
Ndugu zangu Wana JF hii text ilikuwa chanzo cha mambo yote kuharibika kwani Mercy aligeuka mbogo na akasisitiza niondoke kwake na nisimpigie wala kumtext.

Nilijaribu kujitetea lakini Mercy hakunipa hiyo nafasi nikaamua nijikusanye nisepe.

Njiani nilimpigia cm yule malaya nikamuomba tuonane, safar hii nilienda kwake nikiwa ninahasira sana. Nilipofika nikamkuta kama alivozaliwa na najua alifanya makusud baada ya kujua nilikuwa namfata kwake.
Nilipomkuta vile nikamsihi avae nguo kwani sikwenda kwa ajili ya ule upuuzi. Alianza kunisogelea huku ananiangalia aliponikaribia nikarudi nyuma akanyoosha mikono yake anivute nikaipunch kwa nguvu.

Kitendo cha mimi kumpunch kikamtisha kidogo akarud nyuma nayeye. Akauliza kwani kuna shida gani, nikamjibu hiyo mesej uloituma Mercy kaiona na hapa nimekuja kwako nikiwa nahasira sana nawew kwani Mercy kunifukuza kwa hasira sana na sidhani kama nitaweza kumrudisha awe katika hali nzur na ukizingatia j3 UE. Nilimlaumu sana na yeye alijuta akajitetea kwamba hakutegemea kama Mercy angeweza kuiona mesej akaniomba msamaha akavaa nguo zake chap kwasbb aliona kabisa kwamba kaniudhi sana na nipo out of mood to the maximum.

Basi nikarud home nikiwa katika dimbwi la mawazo nikaona kama vile sina bahat katika ulimwengu wa mapenz kwasababu ugomvi na Mercy ilikuwa almost kila week. Na hii yote ilianza baada ya Mercy kukutana na yule Dokta mshenz kule hospital.

Kwasabb asingekuwa Dokta nisingekuwa close na Mercy fek.

Kesho yake ilikuwa jpil nilienda church na ukizingatia j3 ilikuwa ni UE basi nilienda pia kumuomba Mungu atutangulie katika mtihani. Baada ya kutoka church nikampitia kwa Mercy sikumkuta nikajua kabisa atakuwa bafo hajatoka church. (Mimi na Mercy tulikuwa tunaabudu madhehebu tofauti mimi fpct Mercy kkt)
Basi nikaka nje kulikuwa na tumiti twa michungwa nikakaa pia kulikuwa na vibench vimesimikiwa palepale chini ya miti.

Baada ya dakika 15 hivi nikamuona Mercy kaingia getini. Alikuwa kavaa gauni la rangi ya brown na viatu vyeusi nichwani alikuwa kasuka na ki handbag chake kilikuwa cha rangi ya pink.
Wazee Mercy alijua kupendeza siku hii.

Alipofika nilipokuwa nimekaa akanisalimia kisha akaingia ndani namimi nikamuwahi kabla hajafunga mlango.
Nilipoingia ndani akaniuliza nimefata nini nikamjibu apunguze hasira kwani yote anayodhania ni uongo hakuna la kweli hata moja.
Kabla sijaanza kumuelezea cm yake iliita kuitoa ilikuwa ni namba ngeni.

See you.............
Unanifurahisha sana uzi unautendea haki kwa kushusha episodes chap chap.
 
Back
Top Bottom