Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Bro cha kufanya ungekata mawasiliano nae , trust me hii kuchat chat kila cku ipo siku utakubali ombi lake la kutaka kumuoa.. mtu tabia ya mtu unaipima kwa makosa yake.. ipo siku ukimuoa na atarudia kosa lile lile , wanawake viumbe vingine kabisa .. usiwaamini.. anaweza kuja anakulilia lilia ukamhurumia akishakupata au ukimsamehe , lazma akutende tena maana hawa viumbe hawajali na hua wanasahau mapema. so its better kukata mawasiliano nae , tambua hata siku moja mtu haachi asili yake MSALITI NI MSALITI TUU HATA AKIJIHURUMISHA KIASI GANI KAMWE USIKUBALI KUMRUDISHA. jiulize kwan umezaliwa nae , na usingeenda chuo kimoja ungemjua kwani ?

kinachosababisha na kinacholeta shida hua ni mazoea , sawa kuna muda utamiss moments mlivyokua pamoja , but let her go , na kata mawasiliano nae .. ipo siku atakuteka kiakili na utakubali kua nae trna na ilihari ana mtoto tayari.. So ushauri wangu kata mawasiliano nae
 
Tukupe angalizo tu:
  • Mercy hakupendi, wala usijifariji alifanya vile kwa tamaa ya pesa
  • Angekuwa anakupenda kamwe asingekusaliti, tena kwa dharau zote zile
  • Kuoa single mother ni sawa na kununua kiwanja chenye mgogoro, kamwe usithubutu
  • Mercy ni wa daktari, tayari kuna kiumbe kisichokuwa na hatia kinawaunganisha
  • Anaendelea kukutumia ili umpe faraja tu, kama wewe ungekuwa kwenye hali kama yake asingekupa nafasi
Mwisho; mkiachana halafu mkarudiana mapenzi hayawezi kuwa kama mwanzo na mara nyingi huishia kuachana tu tena.

Lightning never strikes the same place twice.

You can love again, you can do so much better without Mercy. Move on.

Thanks for an educative thread, and all the best in your endeavours.
 
Ndo maana nimemwambia watakuja kuoana. Hii stori ina Part II ni suala la muda tu.
 
Msimkatishe tamaa huyu chalii wetu. Kwani hamtaki kupata Part II ya hii stori?
 
Pole kwa maswaiba yote yaliyokupata,nina uhakika umepata relief baada ya kusimulia(umetua mzigo hii ni nzuri sana kwa afya yako).
Ushauri wangu tu unahitaji kusonga mbele wewe bado ni kijana mdogo acha kujitwisha misalaba,naona ingekuwa bora ukafuta namba ya huyo mama.Chukua namba za watu muhimu badili namba,anza maisha upya.Sioni cha muhimu cha kuwafanya muendelee kuwasiliana.
Una mambo mengi ya kufanya kuliko kuendelea kugota upande mmoja wa mapenzi.
 
Hahahaha[emoji23] kweli mapenzi ni upofu, brother don't try again kufall in love hivyo, utakuja kujinyonga ndani ya ndoa pale utakapogundua unachapiwa.
Hata simshangai kwa sababu hizi.

Kuna kipindi nilipiga chini demu wangu kwa sababu ya usaliti wa aina hii, nikaja kudate na demu flani kichwa panzi, Muhuni na hajatulia mara 6 ya demu nilie muacha.

Itoshe kusema ikiwa bado hamjatambulishana, hamuishi pamoja nyie ni marafiki tu. Kila mtu ana cheza na chance zake za kuoa/Kuolewa
 
Dokta hawezi kumwacha dogo akaoshi kwa amani,vinginevyo anafuta kifo cha lazima.Ni ujinga kufa kwa sababu ya mapenzi
ajiulize tuu , kwani saiz Dokta hamtafuti huyo mercy? na unazani hawaongei vizuri ? na unazani matumizi ya mtoto hamtumii? akijijibu haya maswali naamini atakata mawasiliano nae. huyo mercy anakutaka tena sababu kazalishwa na mtu ambae anafamilia yake na hawezi kumuoa.
 
sipo tayar kwasababu Mercy tayar anamtoto na sio mtoto tu ila mtoto ni wa Dokta mtu mwenye ROHO mbaya.
😂😂😂 Jamaa yangu Mimi nilishajua Mwisho wa story ulikuaje yaan story yako ilikua very open Ila hongera kwa kusimulia, hii ina wakuta wengi tu wengine wanapita hapa mda huu wanagongewa watu wao wanaowapenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…