Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Bro cha kufanya ungekata mawasiliano nae , trust me hii kuchat chat kila cku ipo siku utakubali ombi lake la kutaka kumuoa.. mtu tabia ya mtu unaipima kwa makosa yake.. ipo siku ukimuoa na atarudia kosa lile lile , wanawake viumbe vingine kabisa .. usiwaamini.. anaweza kuja anakulilia lilia ukamhurumia akishakupata au ukimsamehe , lazma akutende tena maana hawa viumbe hawajali na hua wanasahau mapema. so its better kukata mawasiliano nae , tambua hata siku moja mtu haachi asili yake MSALITI NI MSALITI TUU HATA AKIJIHURUMISHA KIASI GANI KAMWE USIKUBALI KUMRUDISHA. jiulize kwan umezaliwa nae , na usingeenda chuo kimoja ungemjua kwani ?

kinachosababisha na kinacholeta shida hua ni mazoea , sawa kuna muda utamiss moments mlivyokua pamoja , but let her go , na kata mawasiliano nae .. ipo siku atakuteka kiakili na utakubali kua nae trna na ilihari ana mtoto tayari.. So ushauri wangu kata mawasiliano nae
Nimekuelewa
 
😁😁😁
Imebidi nicheke sana ila imenikumbusha stori yangu ya kipindi nipo chuo. Mapenzi mabaya sana mimi ma lecturer ndio walikuwa wanamtaka aligoma kuwapa utamu mpaka Wakam discotisha, akanimind eti kisa mm ndio kafelishwa, akanikatia mawasiliano hapo nilishawahi wasiliana mpaka na mama ake, kwa sister ake nishaenda sana, I was so stressed almost ni drop out of Uni. Ila Mungu alinisaidia nikamaliza. And After so many years tumeonana mwaka jana November Goba pale Havana. She is doing good for herself na mimi pia niko vizuri. Ila till now sijawahi kumpa mwanamke moyo wangu wote nilishaacha kujipa stress za bure😁
 
Tuendeleee.......

Hapa nikaona kabisa Mercy hakuwa na mapenz na Dokta ila shida ni tamaa za pesa na Dokta alikuwa hana mpango wa kumuoa Mercy ila alihitaji kunikomoa tu. Nilihisi vile baadae baada ya siku moja Dokta kunitumia ujumbe "dogo wanaume tushafanya yetu ole wake hiyo mimba mkaitoe".

Hii text alinitumia siku moja kabla ya Mercy kufanya jaribio la kuitoa ile mimba. Hii text sikumuonesha Mercy niliona kama ntamchanganya tu na Haina maana.

DOKTA ALIMTIA MERCY MIMBA KWA MAKUSUDI NA ALIMLAGHAI KWA PESA ZAKE, HII KITU MERCY MWENYEWE NDO ALINAMBIA.

Niliwaza kama Mercy alikuwa hampendi Dokta ni kwanini alikubali kufanya nae tena kavu siku zake za hatari. Sikupata majibu sahihi nikaamua kuipotezea tu japo niliishia kuamini kuwa pesa ndo ilimshawishi Mercy mpka kubeba mimba.

Swala la Mercy kwenda namimi kwao akanitambulishe sikulikubali niliona Mercy hajafikiria kwa kutuliza akili na pia binafsi sikuwa tayar kuoa mwanamke mwenye mtoto.

SIKU YA KUAGANA NA MERCY ILIKUWA NI MAJONZI SANA.

Nilimsindikiza stand akapanda bus kuelekea kwao. Mimi naye nilibaki kwanza pale town kuna mambo yangu nilikuwa nayafatilia.

Nilikaa kama mwezi hivi ukizingatia hata kodi yangu bado ilikuwa inasoma. Kipindi kile nipo bado pale town niliamua nimtafute Merry, Merry alikuwa tayar kashaondoka kwenda Field alienda mkoa wa dodoma. Nilipomaliza mishe zangu nikapak vitu vyangu nikaondoka nyumbani namimi.

Mawasiliano na Mercy yaliendelea ila upande wangu nilianza kuona Haina tena haja ya kumtafuta mara kwa mara ila yeye alikuwa ananitafuta sana ananisihi nimuoe hata kama bado sijajipanga yeye kwao pesa so shida sana. Aliahidi ataomba pesa ya mtaji tuanze kuzichanga mdogo mdogo ila mimi nikaona kabisa Mercy nikimuoa na tayari kazaa na Dokta nitakua nimejitia kitanzi na kujibuturia kistuli mwenyewe.

Matokeo ya semester ya mwsho yalitoka na mimi na Mercy sote tulifaulu vizur hakukuwa na mtu mwenye kimeo.
Japo nilikuwa bado naumia kumkosa Mercy lawama zangu zote nilizielekezea kwa Dokta na niliahidi kutokuja kumsamehe yule jamaa.

Ilikuwa mwez wa1 mwaka jana Mercy alijifungua mtoto wa kiume na anamuita Johnson, still Mercy ananisisitizia nimuoe lakini bado sioni kama kumuoa Mercy nitakuwa nimefanya jambo la msingi.

Mimi naye hali yangu ya kiafya ilichange ghafla nakumbuka ilikuwa mwez wa 12, 2022 hata graduation sikufanya, nilipatwa na kama kistroke flan yani upande wa kushoto haukuwa sawa. Nilishindwa kutembea, nilipoteza uwezo wa kuongea kwa takriban wiki Moja yani mdomo ulikuwa mzito sana ila nilikuwa natumia maandishi nilipokuwa nahitaji kuongea na mtu.

Nilipelekwa hospital nashukuru Mungu pamoja na madaktari walifanikisha kunipa huduma nikarudi katika hali yangu ya kawaida.
Nilitumia madawa tofaut tofaut ila kuna hiyo moja siwez isahau. Najua kuna wataalam wa afya humu wanaijua vizuri inaitwa "Aten" sijajua kama ndo jina linaishia hapo au linakirefu chake. Hii dawa bhna nakumbuka siku hiyo nilikuwa bado siwez kuongea mtaalam akaagiza ikachukuliwe hii dawa, ni tu vidonge tudogo sana kiumbo, niliambiwa nimeze kamoja tu kwa siku ila mziki wake hii dawa sio wa kitoto.

Hii dawa ukiitumia inakufanya upate ham ya kuongea, inakufanya ujihisi raha yani sinywi na sijawahi kutumia pombe lakini nature ya hii dawa inataka ifanane na tabia ya pombe. Nilikuwa naambiwa nimeze kimoja kwa siku lakini nilikuwa nataman nipige hata tutatu kwasababu yani vilikuwa vinanichangamsha kwanzia kichwani mpka sehem zingine za mwili.

Nilipona kabisa na mpka sasa niko poa.
Mercy naye anaendelea vizuri na mtoto wake na kila siku ananitafuta (hata asubuhi hii kashanitumia text) tunaongea na kuchat saana. Kila siku ananikumbusha kuhusu swala la ndoa na anasisitiza sana nimuoe kwani ananipenda lakini mimi bado sipo tayar kwasababu Mercy tayar anamtoto na sio mtoto tu ila mtoto ni wa Dokta mtu mwenye ROHO mbaya.

NIKIONA KUNA HAJA YA KULETA MREJESHO JUU YA MIMI NA MERCY BASI NITARUDI KUWAPA MREJESHO JUU YA NINI KINAENDELEA LAKINI MIMI BADO SIONI KAMA NINAWEZA KUMUOA MERCY.

Naomba kufunga Uzi wangu kwa kuwashukuru nyote na nawatakia kila lakheri katika safari yenu hapa duniani hasa katika ulimwengu wa mapenzi.

AHSANTENI 🫶🫶🫶.
Kwaniaba ya wasomaji wote wa Uzi huu,tunashukuru kwa kujuhudu na muda wako bila kusahau upendo wa kushare nasi uliyopitia ili kujifunza,tunasema ahsante sana na Bado tunakiu ya kupata mrejesho,karibu sana mkuu.
 
Tukupe angalizo tu:
  • Mercy hakupendi, wala usijifariji alifanya vile kwa tamaa ya pesa
  • Angekuwa anakupenda kamwe asingekusaliti, tena kwa dharau zote zile
  • Kuoa single mother ni sawa na kununua kiwanja chenye mgogoro, kamwe usithubutu
  • Mercy ni wa daktari, tayari kuna kiumbe kisichokuwa na hatia kinawaunganisha
  • Anaendelea kukutumia ili umpe faraja tu, kama wewe ungekuwa kwenye hali kama yake asingekupa nafasi
Mwisho; mkiachana halafu mkarudiana mapenzi hayawezi kuwa kama mwanzo na mara nyingi huishia kuachana tu tena.

Lightning never strikes the same place twice.

You can love again, you can do so much better without Mercy. Move on.

Thanks for an educative thread, and all the best in your endeavours.
Nimekuelewa
 
Asante.
Umegusia sehemu ya kile nilichotaka kugusia.
Mercy ataendelea kuwa na muunganiko na Dokta siku zote za maisha yake kwa sababu tayari kuna kiumbe kinachowaunganisha. Hata kama hawatakuwa pamoja iwe kimawasiliano au kimahusiano, daima watabaki kuwa Wazazi wenza.

Ingekuwa vyema, endapo mtoa mada anagemchukulia Mercy kama mtu aliyempa funzo kubwa maishani hasa katika suala la mahusiano. Na alitumie funzo hilo kusonga mbele na maisha yake hasa kujiimarisha kiuchumi na kimaisha kwa ujumla.
Ni muhimu zaidi atumie akili kuliko hisia katika kuamua mustakabali wake yeye na Mercy. Kupitia maandishi yake namwona bado anampenda Mercy kupita kiasi, na ameshashindwa ku-move on bila Mercy.
Well said, mkuu.
 
Tuendeleee.......

Hapa nikaona kabisa Mercy hakuwa na mapenz na Dokta ila shida ni tamaa za pesa na Dokta alikuwa hana mpango wa kumuoa Mercy ila alihitaji kunikomoa tu. Nilihisi vile baadae baada ya siku moja Dokta kunitumia ujumbe "dogo wanaume tushafanya yetu ole wake hiyo mimba mkaitoe".

Hii text alinitumia siku moja kabla ya Mercy kufanya jaribio la kuitoa ile mimba. Hii text sikumuonesha Mercy niliona kama ntamchanganya tu na Haina maana.

DOKTA ALIMTIA MERCY MIMBA KWA MAKUSUDI NA ALIMLAGHAI KWA PESA ZAKE, HII KITU MERCY MWENYEWE NDO ALINAMBIA.

Niliwaza kama Mercy alikuwa hampendi Dokta ni kwanini alikubali kufanya nae tena kavu siku zake za hatari. Sikupata majibu sahihi nikaamua kuipotezea tu japo niliishia kuamini kuwa pesa ndo ilimshawishi Mercy mpka kubeba mimba.

Swala la Mercy kwenda namimi kwao akanitambulishe sikulikubali niliona Mercy hajafikiria kwa kutuliza akili na pia binafsi sikuwa tayar kuoa mwanamke mwenye mtoto.

SIKU YA KUAGANA NA MERCY ILIKUWA NI MAJONZI SANA.

Nilimsindikiza stand akapanda bus kuelekea kwao. Mimi naye nilibaki kwanza pale town kuna mambo yangu nilikuwa nayafatilia.

Nilikaa kama mwezi hivi ukizingatia hata kodi yangu bado ilikuwa inasoma. Kipindi kile nipo bado pale town niliamua nimtafute Merry, Merry alikuwa tayar kashaondoka kwenda Field alienda mkoa wa dodoma. Nilipomaliza mishe zangu nikapak vitu vyangu nikaondoka nyumbani namimi.

Mawasiliano na Mercy yaliendelea ila upande wangu nilianza kuona Haina tena haja ya kumtafuta mara kwa mara ila yeye alikuwa ananitafuta sana ananisihi nimuoe hata kama bado sijajipanga yeye kwao pesa so shida sana. Aliahidi ataomba pesa ya mtaji tuanze kuzichanga mdogo mdogo ila mimi nikaona kabisa Mercy nikimuoa na tayari kazaa na Dokta nitakua nimejitia kitanzi na kujibuturia kistuli mwenyewe.

Matokeo ya semester ya mwsho yalitoka na mimi na Mercy sote tulifaulu vizur hakukuwa na mtu mwenye kimeo.
Japo nilikuwa bado naumia kumkosa Mercy lawama zangu zote nilizielekezea kwa Dokta na niliahidi kutokuja kumsamehe yule jamaa.

Ilikuwa mwez wa1 mwaka jana Mercy alijifungua mtoto wa kiume na anamuita Johnson, still Mercy ananisisitizia nimuoe lakini bado sioni kama kumuoa Mercy nitakuwa nimefanya jambo la msingi.

Mimi naye hali yangu ya kiafya ilichange ghafla nakumbuka ilikuwa mwez wa 12, 2022 hata graduation sikufanya, nilipatwa na kama kistroke flan yani upande wa kushoto haukuwa sawa. Nilishindwa kutembea, nilipoteza uwezo wa kuongea kwa takriban wiki Moja yani mdomo ulikuwa mzito sana ila nilikuwa natumia maandishi nilipokuwa nahitaji kuongea na mtu.

Nilipelekwa hospital nashukuru Mungu pamoja na madaktari walifanikisha kunipa huduma nikarudi katika hali yangu ya kawaida.
Nilitumia madawa tofaut tofaut ila kuna hiyo moja siwez isahau. Najua kuna wataalam wa afya humu wanaijua vizuri inaitwa "Aten" sijajua kama ndo jina linaishia hapo au linakirefu chake. Hii dawa bhna nakumbuka siku hiyo nilikuwa bado siwez kuongea mtaalam akaagiza ikachukuliwe hii dawa, ni tu vidonge tudogo sana kiumbo, niliambiwa nimeze kamoja tu kwa siku ila mziki wake hii dawa sio wa kitoto.

Hii dawa ukiitumia inakufanya upate ham ya kuongea, inakufanya ujihisi raha yani sinywi na sijawahi kutumia pombe lakini nature ya hii dawa inataka ifanane na tabia ya pombe. Nilikuwa naambiwa nimeze kimoja kwa siku lakini nilikuwa nataman nipige hata tutatu kwasababu yani vilikuwa vinanichangamsha kwanzia kichwani mpka sehem zingine za mwili.

Nilipona kabisa na mpka sasa niko poa.
Mercy naye anaendelea vizuri na mtoto wake na kila siku ananitafuta (hata asubuhi hii kashanitumia text) tunaongea na kuchat saana. Kila siku ananikumbusha kuhusu swala la ndoa na anasisitiza sana nimuoe kwani ananipenda lakini mimi bado sipo tayar kwasababu Mercy tayar anamtoto na sio mtoto tu ila mtoto ni wa Dokta mtu mwenye ROHO mbaya.

NIKIONA KUNA HAJA YA KULETA MREJESHO JUU YA MIMI NA MERCY BASI NITARUDI KUWAPA MREJESHO JUU YA NINI KINAENDELEA LAKINI MIMI BADO SIONI KAMA NINAWEZA KUMUOA MERCY.

Naomba kufunga Uzi wangu kwa kuwashukuru nyote na nawatakia kila lakheri katika safari yenu hapa duniani hasa katika ulimwengu wa mapenzi.

AHSANTENI 🫶🫶🫶.
Ushauri wangu tafuta mwanamke mwingine uoe achana na Mercy kabisa
 
Huyu dogo atakua alimfata Dr kibabe, kwamba achana na kumfatilia demu wangu, huwezi kumpata, demu ananizimia sana Mimi, utapoteza tu muda wako ila angeenda Kwa adabu. Akamwambia bro najua wewe una Hela na unaweza kufanya lolote Kwa Mercy ila mdogo wako nampenda Mercy na Nina mpango wa kumuoa, naomba niachie bro. Angemuelewa Kwan sisi wanaume ni waelewa sana hasa kama ndo unaanza tu kumfatilia demu Bado hujapiga. Naamini approach yake Kwa Dr haikua Nzuri na ndio maana Dr alipofanikiwa akaanza kumtumia sms za dharau maana alitaka kumuonesha dogo hakuna kinachoshindikana
Inategemea na itategemea na mood na hulka ya ntu na ntu. Mwingine ukimfuata kistaarabu anakuchapa kelbu ili ku instill fear kwamba humuwezi yeye mbavu nene[emoji42]halafu sasa ndo anakwenda kuichapa mbususu unayoipambania.
 
Pole kwa maswaiba yote yaliyokupata,nina uhakika umepata relief baada ya kusimulia(umetua mzigo hii ni nzuri sana kwa afya yako).
Ushauri wangu tu unahitaji kusonga mbele wewe bado ni kijana mdogo acha kujitwisha misalaba,naona ingekuwa bora ukafuta namba ya huyo mama.Chukua namba za watu muhimu badili namba,anza maisha upya.Sioni cha muhimu cha kuwafanya muendelee kuwasiliana.
Una mambo mengi ya kufanya kuliko kuendelea kugota upande mmoja wa mapenzi.
Kweli
 
Tuendeleee.......

Hapa nikaona kabisa Mercy hakuwa na mapenz na Dokta ila shida ni tamaa za pesa na Dokta alikuwa hana mpango wa kumuoa Mercy ila alihitaji kunikomoa tu. Nilihisi vile baadae baada ya siku moja Dokta kunitumia ujumbe "dogo wanaume tushafanya yetu ole wake hiyo mimba mkaitoe".

Hii text alinitumia siku moja kabla ya Mercy kufanya jaribio la kuitoa ile mimba. Hii text sikumuonesha Mercy niliona kama ntamchanganya tu na Haina maana.

DOKTA ALIMTIA MERCY MIMBA KWA MAKUSUDI NA ALIMLAGHAI KWA PESA ZAKE, HII KITU MERCY MWENYEWE NDO ALINAMBIA.

Niliwaza kama Mercy alikuwa hampendi Dokta ni kwanini alikubali kufanya nae tena kavu siku zake za hatari. Sikupata majibu sahihi nikaamua kuipotezea tu japo niliishia kuamini kuwa pesa ndo ilimshawishi Mercy mpka kubeba mimba.

Swala la Mercy kwenda namimi kwao akanitambulishe sikulikubali niliona Mercy hajafikiria kwa kutuliza akili na pia binafsi sikuwa tayar kuoa mwanamke mwenye mtoto.

SIKU YA KUAGANA NA MERCY ILIKUWA NI MAJONZI SANA.

Nilimsindikiza stand akapanda bus kuelekea kwao. Mimi naye nilibaki kwanza pale town kuna mambo yangu nilikuwa nayafatilia.

Nilikaa kama mwezi hivi ukizingatia hata kodi yangu bado ilikuwa inasoma. Kipindi kile nipo bado pale town niliamua nimtafute Merry, Merry alikuwa tayar kashaondoka kwenda Field alienda mkoa wa dodoma. Nilipomaliza mishe zangu nikapak vitu vyangu nikaondoka nyumbani namimi.

Mawasiliano na Mercy yaliendelea ila upande wangu nilianza kuona Haina tena haja ya kumtafuta mara kwa mara ila yeye alikuwa ananitafuta sana ananisihi nimuoe hata kama bado sijajipanga yeye kwao pesa so shida sana. Aliahidi ataomba pesa ya mtaji tuanze kuzichanga mdogo mdogo ila mimi nikaona kabisa Mercy nikimuoa na tayari kazaa na Dokta nitakua nimejitia kitanzi na kujibuturia kistuli mwenyewe.

Matokeo ya semester ya mwsho yalitoka na mimi na Mercy sote tulifaulu vizur hakukuwa na mtu mwenye kimeo.
Japo nilikuwa bado naumia kumkosa Mercy lawama zangu zote nilizielekezea kwa Dokta na niliahidi kutokuja kumsamehe yule jamaa.

Ilikuwa mwez wa1 mwaka jana Mercy alijifungua mtoto wa kiume na anamuita Johnson, still Mercy ananisisitizia nimuoe lakini bado sioni kama kumuoa Mercy nitakuwa nimefanya jambo la msingi.

Mimi naye hali yangu ya kiafya ilichange ghafla nakumbuka ilikuwa mwez wa 12, 2022 hata graduation sikufanya, nilipatwa na kama kistroke flan yani upande wa kushoto haukuwa sawa. Nilishindwa kutembea, nilipoteza uwezo wa kuongea kwa takriban wiki Moja yani mdomo ulikuwa mzito sana ila nilikuwa natumia maandishi nilipokuwa nahitaji kuongea na mtu.

Nilipelekwa hospital nashukuru Mungu pamoja na madaktari walifanikisha kunipa huduma nikarudi katika hali yangu ya kawaida.
Nilitumia madawa tofaut tofaut ila kuna hiyo moja siwez isahau. Najua kuna wataalam wa afya humu wanaijua vizuri inaitwa "Aten" sijajua kama ndo jina linaishia hapo au linakirefu chake. Hii dawa bhna nakumbuka siku hiyo nilikuwa bado siwez kuongea mtaalam akaagiza ikachukuliwe hii dawa, ni tu vidonge tudogo sana kiumbo, niliambiwa nimeze kamoja tu kwa siku ila mziki wake hii dawa sio wa kitoto.

Hii dawa ukiitumia inakufanya upate ham ya kuongea, inakufanya ujihisi raha yani sinywi na sijawahi kutumia pombe lakini nature ya hii dawa inataka ifanane na tabia ya pombe. Nilikuwa naambiwa nimeze kimoja kwa siku lakini nilikuwa nataman nipige hata tutatu kwasababu yani vilikuwa vinanichangamsha kwanzia kichwani mpka sehem zingine za mwili.

Nilipona kabisa na mpka sasa niko poa.
Mercy naye anaendelea vizuri na mtoto wake na kila siku ananitafuta (hata asubuhi hii kashanitumia text) tunaongea na kuchat saana. Kila siku ananikumbusha kuhusu swala la ndoa na anasisitiza sana nimuoe kwani ananipenda lakini mimi bado sipo tayar kwasababu Mercy tayar anamtoto na sio mtoto tu ila mtoto ni wa Dokta mtu mwenye ROHO mbaya.

NIKIONA KUNA HAJA YA KULETA MREJESHO JUU YA MIMI NA MERCY BASI NITARUDI KUWAPA MREJESHO JUU YA NINI KINAENDELEA LAKINI MIMI BADO SIONI KAMA NINAWEZA KUMUOA MERCY.

Naomba kufunga Uzi wangu kwa kuwashukuru nyote na nawatakia kila lakheri katika safari yenu hapa duniani hasa katika ulimwengu wa mapenzi.

AHSANTENI 🫶🫶🫶.
Screenshot_20240226_095438_X.jpg
 
Hivi wewe DeMostAdmired na huyo dakatari mnapata wapi nguvu ya kugombania mwanamke mmoja, yaan mimi ni huu uvivu wangu wa kutongoza wanawake, nianze kugombania mwanamke mmoja aisee naona kama ni kazi ngumu kupita maelezo.
Kutongoza tuu mwanamke nahic kama ni tiresome process, sembuse kugombania.

Kwanza nikiona tuu mwanamke ana mtu mwingine interest yote inapotea, pia nikiona mwanamke niliyokuwa nae ana interest na wanaume wengine interest huondoka(hapa nazungumzia ku-reply message za wanaume ambao anajua kabisa wanamtaka), sasa nyie wanang mkoje????

Ningekuwa wewe baada ya kupata ushahidi wa usaliti, ningeenda kwake kiroho safi tuu, ningechukua vitu vyangu vyote, ningehakikisha na yeye hajaacha kitu kwangu, then ningekata mawasiliano, sio kum-block wala sio kutopokea simu zake, ni kukaa tuu kimya, simpigii na sijibu text zake, akipiga napokea namsikiliza, akituma message sijibu, akiniuliza shida nn namjibu "Niko sawa".

Najua inauma lakini if a woman doesn't want to be what you want her to be, don't force or cry about it, just move on, yes it's going to hurt but that's life, life is not supposed to be easy, especially when dealing with emotions, kuna muda ndio utam-miss na uta tamani umpigie lakini utakapo fanya hivo utashusha dhamani yako, wanaume tuelewe kwamba mwanamke aliyekusaliti ukamsamehe hatakuona una upendo au mvumilivu atakuona mpumbavu na huna uanaume kwasababu mwanaume wa kweli hasamei usaliti, unapomsamehe au kumchekea au kumkalia kimya mwanamke aliyekusaliti ni kama vile unamwambia "Mimi sio mwanaume" na hio kitu naona wanaume wengi wanafanya.

Mwanamke aliekusaliti ukaachana nae pamoja na yeye kuomba msamaha hata kutoa machozi yote atabaki anakuheshimu milele, lakini mwanamke aliyekusaliti na ukamsamehe atabaki anakudharau milele.
You are walking the talk[emoji871]
 
Mbona hujamaliza story unatuacha na masual

Toka Muda huo upo single ama umekutana na mwengne

Umepata kaz au hujapata na mercy kazi amepata

Km una demu kwann uendelee kuwasiliana na mercy km huna je hujapata ama umedecide ku cool off kwnza au ndio umechukizwa

Na je mahitaj ya mtoto doctor anatoa au ni mercy na kwao

Kwann usimwambie Mercy huez kua nae tena afocus na issue zake

Washkaji zako na mercy fake mlimalza chuo salama wote

Je doctor mahusiano yake na mke wake yako Poa ama hamkupata nafac ya kujua hilo

Mercy fake alkua na uezo wa kupiga picha chats za Mercy wako kwa simu ya doctor why from the beginning hamkufkiria kuchkua namba ya wife wa doctor ili kumchafua doctor kwa mke wake mkatuma texts alzokua anakutumia doctor kua namla mercy na ushahid ni texts zako na za kwa doctor mercy fake alzopga picha naamin kwa mke wa doctor kingenuka pengne angepunguz mawasiliano JE HILI WAZO HAMKULIPATA?

Mercy hakuwahi kukutambulisha kwa ndugu zake mama baba kaka dada uncle au mmoja wao kati ya hao?

Kumchafua Dokta kwa mke wake ndo ningeuwasha moto zaidi.

Mercy fek alimaliza chuo pia.

Nipo kazini Tanga saizi.

Mercy yupo kwao huko kaskazini.

Madogo zake Mercy (Beata na Kiano) wananifaham na mimi nawafaham ila wazaz hapana.

Nipo na mpenzi flani wa kitanga ameajiriwa ni mwalim.

Sijui kama Dokta anahudumia au lah na sijawahi kumuuliza Mercy juu ya hili.
 
Back
Top Bottom