atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
"Pamoja na watu kunisihi vile lakini bado nilikuwa siwasikii mwsho wa siku nikachagua kuishi na Mercy."Tuendeleee......
Baada ya wiki moja tena Recho akanambia anahitaj kuniona nikamuliza kuna shida gani akanambia anashida zake binafsi. Tukapanga tuonanae geto kwake huyu Recho, geto kwake sio mbali na kwa Mercy.
Siku hiyo nipo kwa Recho hata hatujaanza stor Mercy akafika akatusalimia pale akakaa.
Nilivomuona Mercy nilipatwa na hasira isiyo ya kifani. Nilikuwa nasubiri nini kitafuata, Mercy akaniita "DeMostAdmired naomba msamaha sana kwa yote nilokufanyia ninaweza kujielezea na naamini utanielewa, mimi nakupenda sana". Kwa wazoefu mtanielewa, nilijikuta napatwa na hasira sana nikafungua mlango nikasepa zangu sikuongea chochote nikamwambia Recho asirudie tena kunikutanisha na Mercy waniache kwanza.
Kwa kiasi flan nikapata ahueni kwasbb niliona Mercy Sasa yamemshinda huko alikokuwa na kaona kuwa mimi ni wamaana.
Baada ya pale ndugu zangu zilikuwa ni cm na texts mfululizo kutoka kwa Mercy. Nilijikaza kama kwa wiki moja hivi then baadae nikaona haina shida ngoja nianze kumpokelea cm zake na kujibu texts zake.
Mawasiliano yalirudi na Mercy kwakuwa nilikuwa bado nampenda nikaamua nirudiane naye. Kimbembe kilikuja kwa Merry, Mercy aligundua kuwa nipo na Merry, akaniambia niachane naye. Mimi naye sikuwa na hiana nikamuweka pembeni Merry japo siku moja moja nilikuwa namtafuta tunapasha viporo.
Ndugu zangu speed alorud nayo Mercy kwangu ilikuwa sio ya kawaida, yani nilikuwa napewa mapenz ya premium version.
Nilikuwa natolewa out za kustukiza, mazawad yakutosha hakika nikaanza kukaa sawa japo kumbe tyr Ile shida ya moyo ilikuwa ishakuwa kubwa yani furaha nilikuwa nayo ila Ile shida ya kutokwa na jasho sana iliendelea. Nilikuwa najiskia vbaya sometimes na hii nikajua tu ni kwasababu ya trauma alonisabbshia Mercy.
Kuna mkasa ulitokea, kifupi ulikuwa ni ugomv mkubwa kati ya Mercy na Merry, Mercy alimfata Merry akampiga bit na Merry naye akakaza asee ilikuwa ni tatizo lakini mimi niliona Mercy analeta wivu wa kinafiki kwasababu yeye ndo alisababsha mpka nikamtafuta Merry. Washkaji na madem wengine class wakawa wananisihi nisimuache Merry kwani Mercy tyr alionekana ni mtu wa kijinga. Pamoja na watu kunisihi vile lakini bado nilikuwa siwasikii mwsho wa siku nikachagua kuishi na Mercy.
Siku zilisogea tukawa tunakaribia UE, nikaanza kuona dalili mbaya kwa Mercy.
Kifupi nilianza kuona dalili za mimba kwa Mercy, niliona amekuwa mchovu, kutema tema mate. Nikaona kabisa huyu atakuwa na mimba, ikabidi nimuulize kwasababu mzunguko wa Mercy nilikuwa naujua na kwamuda ambao tulikuwa tumerudiana naye baada ya kutoka kwa Dokta niliona kabsa kama ni mimba basi sio yangu hundred percent.
Nilipomuliza akanambia ataenda kupima, alipoenda kupima kweli bhna alikuwa na mimba.
Nikamuliza mimba ya nani, Mercy hakutaka kunidanganya alinambia kwamba mimba anahisi ni ya Dokta sio yangu.
See you.......
Hapa ulifanya mistake ilitakiwa huyo Mercy ufanye kumgonga tuu lkn huna muda nae mpaka ajione mavi