Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Tuendeleee......

Baada ya wiki moja tena Recho akanambia anahitaj kuniona nikamuliza kuna shida gani akanambia anashida zake binafsi. Tukapanga tuonanae geto kwake huyu Recho, geto kwake sio mbali na kwa Mercy.

Siku hiyo nipo kwa Recho hata hatujaanza stor Mercy akafika akatusalimia pale akakaa.
Nilivomuona Mercy nilipatwa na hasira isiyo ya kifani. Nilikuwa nasubiri nini kitafuata, Mercy akaniita "DeMostAdmired naomba msamaha sana kwa yote nilokufanyia ninaweza kujielezea na naamini utanielewa, mimi nakupenda sana". Kwa wazoefu mtanielewa, nilijikuta napatwa na hasira sana nikafungua mlango nikasepa zangu sikuongea chochote nikamwambia Recho asirudie tena kunikutanisha na Mercy waniache kwanza.

Kwa kiasi flan nikapata ahueni kwasbb niliona Mercy Sasa yamemshinda huko alikokuwa na kaona kuwa mimi ni wamaana.
Baada ya pale ndugu zangu zilikuwa ni cm na texts mfululizo kutoka kwa Mercy. Nilijikaza kama kwa wiki moja hivi then baadae nikaona haina shida ngoja nianze kumpokelea cm zake na kujibu texts zake.

Mawasiliano yalirudi na Mercy kwakuwa nilikuwa bado nampenda nikaamua nirudiane naye. Kimbembe kilikuja kwa Merry, Mercy aligundua kuwa nipo na Merry, akaniambia niachane naye. Mimi naye sikuwa na hiana nikamuweka pembeni Merry japo siku moja moja nilikuwa namtafuta tunapasha viporo.

Ndugu zangu speed alorud nayo Mercy kwangu ilikuwa sio ya kawaida, yani nilikuwa napewa mapenz ya premium version.
Nilikuwa natolewa out za kustukiza, mazawad yakutosha hakika nikaanza kukaa sawa japo kumbe tyr Ile shida ya moyo ilikuwa ishakuwa kubwa yani furaha nilikuwa nayo ila Ile shida ya kutokwa na jasho sana iliendelea. Nilikuwa najiskia vbaya sometimes na hii nikajua tu ni kwasababu ya trauma alonisabbshia Mercy.

Kuna mkasa ulitokea, kifupi ulikuwa ni ugomv mkubwa kati ya Mercy na Merry, Mercy alimfata Merry akampiga bit na Merry naye akakaza asee ilikuwa ni tatizo lakini mimi niliona Mercy analeta wivu wa kinafiki kwasababu yeye ndo alisababsha mpka nikamtafuta Merry. Washkaji na madem wengine class wakawa wananisihi nisimuache Merry kwani Mercy tyr alionekana ni mtu wa kijinga. Pamoja na watu kunisihi vile lakini bado nilikuwa siwasikii mwsho wa siku nikachagua kuishi na Mercy.

Siku zilisogea tukawa tunakaribia UE, nikaanza kuona dalili mbaya kwa Mercy.
Kifupi nilianza kuona dalili za mimba kwa Mercy, niliona amekuwa mchovu, kutema tema mate. Nikaona kabisa huyu atakuwa na mimba, ikabidi nimuulize kwasababu mzunguko wa Mercy nilikuwa naujua na kwamuda ambao tulikuwa tumerudiana naye baada ya kutoka kwa Dokta niliona kabsa kama ni mimba basi sio yangu hundred percent.

Nilipomuliza akanambia ataenda kupima, alipoenda kupima kweli bhna alikuwa na mimba.

Nikamuliza mimba ya nani, Mercy hakutaka kunidanganya alinambia kwamba mimba anahisi ni ya Dokta sio yangu.

See you.......
"Pamoja na watu kunisihi vile lakini bado nilikuwa siwasikii mwsho wa siku nikachagua kuishi na Mercy."

Hapa ulifanya mistake ilitakiwa huyo Mercy ufanye kumgonga tuu lkn huna muda nae mpaka ajione mavi
 
Tukupe angalizo tu:
  • Mercy hakupendi, wala usijifariji alifanya vile kwa tamaa ya pesa
  • Angekuwa anakupenda kamwe asingekusaliti, tena kwa dharau zote zile
  • Kuoa single mother ni sawa na kununua kiwanja chenye mgogoro, kamwe usithubutu
  • Mercy ni wa daktari, tayari kuna kiumbe kisichokuwa na hatia kinawaunganisha
  • Anaendelea kukutumia ili umpe faraja tu, kama wewe ungekuwa kwenye hali kama yake asingekupa nafasi
Mwisho; mkiachana halafu mkarudiana mapenzi hayawezi kuwa kama mwanzo na mara nyingi huishia kuachana tu tena.

Lightning never strikes the same place twice.

You can love again, you can do so much better without Mercy. Move on.

Thanks for an educative thread, and all the best in your endeavours.
Asante.
Umegusia sehemu ya kile nilichotaka kugusia.
Mercy ataendelea kuwa na muunganiko na Dokta siku zote za maisha yake kwa sababu tayari kuna kiumbe kinachowaunganisha. Hata kama hawatakuwa pamoja iwe kimawasiliano au kimahusiano, daima watabaki kuwa Wazazi wenza.

Ingekuwa vyema, endapo mtoa mada anagemchukulia Mercy kama mtu aliyempa funzo kubwa maishani hasa katika suala la mahusiano. Na alitumie funzo hilo kusonga mbele na maisha yake hasa kujiimarisha kiuchumi na kimaisha kwa ujumla.
Ni muhimu zaidi atumie akili kuliko hisia katika kuamua mustakabali wake yeye na Mercy. Kupitia maandishi yake namwona bado anampenda Mercy kupita kiasi, na ameshashindwa ku-move on bila Mercy.
 
Tuendeleee.......

Hapa nikaona kabisa Mercy hakuwa na mapenz na Dokta ila shida ni tamaa za pesa na Dokta alikuwa hana mpango wa kumuoa Mercy ila alihitaji kunikomoa tu. Nilihisi vile baadae baada ya siku moja Dokta kunitumia ujumbe "dogo wanaume tushafanya yetu ole wake hiyo mimba mkaitoe".

Hii text alinitumia siku moja kabla ya Mercy kufanya jaribio la kuitoa ile mimba. Hii text sikumuonesha Mercy niliona kama ntamchanganya tu na Haina maana.

DOKTA ALIMTIA MERCY MIMBA KWA MAKUSUDI NA ALIMLAGHAI KWA PESA ZAKE, HII KITU MERCY MWENYEWE NDO ALINAMBIA.

Niliwaza kama Mercy alikuwa hampendi Dokta ni kwanini alikubali kufanya nae tena kavu siku zake za hatari. Sikupata majibu sahihi nikaamua kuipotezea tu japo niliishia kuamini kuwa pesa ndo ilimshawishi Mercy mpka kubeba mimba.

Swala la Mercy kwenda namimi kwao akanitambulishe sikulikubali niliona Mercy hajafikiria kwa kutuliza akili na pia binafsi sikuwa tayar kuoa mwanamke mwenye mtoto.

SIKU YA KUAGANA NA MERCY ILIKUWA NI MAJONZI SANA.

Nilimsindikiza stand akapanda bus kuelekea kwao. Mimi naye nilibaki kwanza pale town kuna mambo yangu nilikuwa nayafatilia.

Nilikaa kama mwezi hivi ukizingatia hata kodi yangu bado ilikuwa inasoma. Kipindi kile nipo bado pale town niliamua nimtafute Merry, Merry alikuwa tayar kashaondoka kwenda Field alienda mkoa wa dodoma. Nilipomaliza mishe zangu nikapak vitu vyangu nikaondoka nyumbani namimi.

Mawasiliano na Mercy yaliendelea ila upande wangu nilianza kuona Haina tena haja ya kumtafuta mara kwa mara ila yeye alikuwa ananitafuta sana ananisihi nimuoe hata kama bado sijajipanga yeye kwao pesa so shida sana. Aliahidi ataomba pesa ya mtaji tuanze kuzichanga mdogo mdogo ila mimi nikaona kabisa Mercy nikimuoa na tayari kazaa na Dokta nitakua nimejitia kitanzi na kujibuturia kistuli mwenyewe.

Matokeo ya semester ya mwsho yalitoka na mimi na Mercy sote tulifaulu vizur hakukuwa na mtu mwenye kimeo.
Japo nilikuwa bado naumia kumkosa Mercy lawama zangu zote nilizielekezea kwa Dokta na niliahidi kutokuja kumsamehe yule jamaa.

Ilikuwa mwez wa1 mwaka jana Mercy alijifungua mtoto wa kiume na anamuita Johnson, still Mercy ananisisitizia nimuoe lakini bado sioni kama kumuoa Mercy nitakuwa nimefanya jambo la msingi.

Mimi naye hali yangu ya kiafya ilichange ghafla nakumbuka ilikuwa mwez wa 12, 2022 hata graduation sikufanya, nilipatwa na kama kistroke flan yani upande wa kushoto haukuwa sawa. Nilishindwa kutembea, nilipoteza uwezo wa kuongea kwa takriban wiki Moja yani mdomo ulikuwa mzito sana ila nilikuwa natumia maandishi nilipokuwa nahitaji kuongea na mtu.

Nilipelekwa hospital nashukuru Mungu pamoja na madaktari walifanikisha kunipa huduma nikarudi katika hali yangu ya kawaida.
Nilitumia madawa tofaut tofaut ila kuna hiyo moja siwez isahau. Najua kuna wataalam wa afya humu wanaijua vizuri inaitwa "Aten" sijajua kama ndo jina linaishia hapo au linakirefu chake. Hii dawa bhna nakumbuka siku hiyo nilikuwa bado siwez kuongea mtaalam akaagiza ikachukuliwe hii dawa, ni tu vidonge tudogo sana kiumbo, niliambiwa nimeze kamoja tu kwa siku ila mziki wake hii dawa sio wa kitoto.

Hii dawa ukiitumia inakufanya upate ham ya kuongea, inakufanya ujihisi raha yani sinywi na sijawahi kutumia pombe lakini nature ya hii dawa inataka ifanane na tabia ya pombe. Nilikuwa naambiwa nimeze kimoja kwa siku lakini nilikuwa nataman nipige hata tutatu kwasababu yani vilikuwa vinanichangamsha kwanzia kichwani mpka sehem zingine za mwili.

Nilipona kabisa na mpka sasa niko poa.
Mercy naye anaendelea vizuri na mtoto wake na kila siku ananitafuta (hata asubuhi hii kashanitumia text) tunaongea na kuchat saana. Kila siku ananikumbusha kuhusu swala la ndoa na anasisitiza sana nimuoe kwani ananipenda lakini mimi bado sipo tayar kwasababu Mercy tayar anamtoto na sio mtoto tu ila mtoto ni wa Dokta mtu mwenye ROHO mbaya.

NIKIONA KUNA HAJA YA KULETA MREJESHO JUU YA MIMI NA MERCY BASI NITARUDI KUWAPA MREJESHO JUU YA NINI KINAENDELEA LAKINI MIMI BADO SIONI KAMA NINAWEZA KUMUOA MERCY.

Naomba kufunga Uzi wangu kwa kuwashukuru nyote na nawatakia kila lakheri katika safari yenu hapa duniani hasa katika ulimwengu wa mapenzi.

AHSANTENI 🫶🫶🫶.
Stori tamu
 
Inatutokea wengi tu... Probably hata mdogo wako. Huwa ni mara moja. Ikikutokea tena basi una matatizo. 😄
Screenshot_20240226_095438_X.jpg
 
Tuendeleee.......

Hapa nikaona kabisa Mercy hakuwa na mapenz na Dokta ila shida ni tamaa za pesa na Dokta alikuwa hana mpango wa kumuoa Mercy ila alihitaji kunikomoa tu. Nilihisi vile baadae baada ya siku moja Dokta kunitumia ujumbe "dogo wanaume tushafanya yetu ole wake hiyo mimba mkaitoe".

Hii text alinitumia siku moja kabla ya Mercy kufanya jaribio la kuitoa ile mimba. Hii text sikumuonesha Mercy niliona kama ntamchanganya tu na Haina maana.

DOKTA ALIMTIA MERCY MIMBA KWA MAKUSUDI NA ALIMLAGHAI KWA PESA ZAKE, HII KITU MERCY MWENYEWE NDO ALINAMBIA.

Niliwaza kama Mercy alikuwa hampendi Dokta ni kwanini alikubali kufanya nae tena kavu siku zake za hatari. Sikupata majibu sahihi nikaamua kuipotezea tu japo niliishia kuamini kuwa pesa ndo ilimshawishi Mercy mpka kubeba mimba.

Swala la Mercy kwenda namimi kwao akanitambulishe sikulikubali niliona Mercy hajafikiria kwa kutuliza akili na pia binafsi sikuwa tayar kuoa mwanamke mwenye mtoto.

SIKU YA KUAGANA NA MERCY ILIKUWA NI MAJONZI SANA.

Nilimsindikiza stand akapanda bus kuelekea kwao. Mimi naye nilibaki kwanza pale town kuna mambo yangu nilikuwa nayafatilia.

Nilikaa kama mwezi hivi ukizingatia hata kodi yangu bado ilikuwa inasoma. Kipindi kile nipo bado pale town niliamua nimtafute Merry, Merry alikuwa tayar kashaondoka kwenda Field alienda mkoa wa dodoma. Nilipomaliza mishe zangu nikapak vitu vyangu nikaondoka nyumbani namimi.

Mawasiliano na Mercy yaliendelea ila upande wangu nilianza kuona Haina tena haja ya kumtafuta mara kwa mara ila yeye alikuwa ananitafuta sana ananisihi nimuoe hata kama bado sijajipanga yeye kwao pesa so shida sana. Aliahidi ataomba pesa ya mtaji tuanze kuzichanga mdogo mdogo ila mimi nikaona kabisa Mercy nikimuoa na tayari kazaa na Dokta nitakua nimejitia kitanzi na kujibuturia kistuli mwenyewe.

Matokeo ya semester ya mwsho yalitoka na mimi na Mercy sote tulifaulu vizur hakukuwa na mtu mwenye kimeo.
Japo nilikuwa bado naumia kumkosa Mercy lawama zangu zote nilizielekezea kwa Dokta na niliahidi kutokuja kumsamehe yule jamaa.

Ilikuwa mwez wa1 mwaka jana Mercy alijifungua mtoto wa kiume na anamuita Johnson, still Mercy ananisisitizia nimuoe lakini bado sioni kama kumuoa Mercy nitakuwa nimefanya jambo la msingi.

Mimi naye hali yangu ya kiafya ilichange ghafla nakumbuka ilikuwa mwez wa 12, 2022 hata graduation sikufanya, nilipatwa na kama kistroke flan yani upande wa kushoto haukuwa sawa. Nilishindwa kutembea, nilipoteza uwezo wa kuongea kwa takriban wiki Moja yani mdomo ulikuwa mzito sana ila nilikuwa natumia maandishi nilipokuwa nahitaji kuongea na mtu.

Nilipelekwa hospital nashukuru Mungu pamoja na madaktari walifanikisha kunipa huduma nikarudi katika hali yangu ya kawaida.
Nilitumia madawa tofaut tofaut ila kuna hiyo moja siwez isahau. Najua kuna wataalam wa afya humu wanaijua vizuri inaitwa "Aten" sijajua kama ndo jina linaishia hapo au linakirefu chake. Hii dawa bhna nakumbuka siku hiyo nilikuwa bado siwez kuongea mtaalam akaagiza ikachukuliwe hii dawa, ni tu vidonge tudogo sana kiumbo, niliambiwa nimeze kamoja tu kwa siku ila mziki wake hii dawa sio wa kitoto.

Hii dawa ukiitumia inakufanya upate ham ya kuongea, inakufanya ujihisi raha yani sinywi na sijawahi kutumia pombe lakini nature ya hii dawa inataka ifanane na tabia ya pombe. Nilikuwa naambiwa nimeze kimoja kwa siku lakini nilikuwa nataman nipige hata tutatu kwasababu yani vilikuwa vinanichangamsha kwanzia kichwani mpka sehem zingine za mwili.

Nilipona kabisa na mpka sasa niko poa.
Mercy naye anaendelea vizuri na mtoto wake na kila siku ananitafuta (hata asubuhi hii kashanitumia text) tunaongea na kuchat saana. Kila siku ananikumbusha kuhusu swala la ndoa na anasisitiza sana nimuoe kwani ananipenda lakini mimi bado sipo tayar kwasababu Mercy tayar anamtoto na sio mtoto tu ila mtoto ni wa Dokta mtu mwenye ROHO mbaya.

NIKIONA KUNA HAJA YA KULETA MREJESHO JUU YA MIMI NA MERCY BASI NITARUDI KUWAPA MREJESHO JUU YA NINI KINAENDELEA LAKINI MIMI BADO SIONI KAMA NINAWEZA KUMUOA MERCY.

Naomba kufunga Uzi wangu kwa kuwashukuru nyote na nawatakia kila lakheri katika safari yenu hapa duniani hasa katika ulimwengu wa mapenzi.

AHSANTENI 🫶🫶🫶.
Mbona hujamaliza story unatuacha na masual

Toka Muda huo upo single ama umekutana na mwengne

Umepata kaz au hujapata na mercy kazi amepata

Km una demu kwann uendelee kuwasiliana na mercy km huna je hujapata ama umedecide ku cool off kwnza au ndio umechukizwa

Na je mahitaj ya mtoto doctor anatoa au ni mercy na kwao

Kwann usimwambie Mercy huez kua nae tena afocus na issue zake

Washkaji zako na mercy fake mlimalza chuo salama wote

Je doctor mahusiano yake na mke wake yako Poa ama hamkupata nafac ya kujua hilo

Mercy fake alkua na uezo wa kupiga picha chats za Mercy wako kwa simu ya doctor why from the beginning hamkufkiria kuchkua namba ya wife wa doctor ili kumchafua doctor kwa mke wake mkatuma texts alzokua anakutumia doctor kua namla mercy na ushahid ni texts zako na za kwa doctor mercy fake alzopga picha naamin kwa mke wa doctor kingenuka pengne angepunguz mawasiliano JE HILI WAZO HAMKULIPATA?

Mercy hakuwahi kukutambulisha kwa ndugu zake mama baba kaka dada uncle au mmoja wao kati ya hao?
 
Tuendeleee.......

Hapa nikaona kabisa Mercy hakuwa na mapenz na Dokta ila shida ni tamaa za pesa na Dokta alikuwa hana mpango wa kumuoa Mercy ila alihitaji kunikomoa tu. Nilihisi vile baadae baada ya siku moja Dokta kunitumia ujumbe "dogo wanaume tushafanya yetu ole wake hiyo mimba mkaitoe".

Hii text alinitumia siku moja kabla ya Mercy kufanya jaribio la kuitoa ile mimba. Hii text sikumuonesha Mercy niliona kama ntamchanganya tu na Haina maana.

DOKTA ALIMTIA MERCY MIMBA KWA MAKUSUDI NA ALIMLAGHAI KWA PESA ZAKE, HII KITU MERCY MWENYEWE NDO ALINAMBIA.

Niliwaza kama Mercy alikuwa hampendi Dokta ni kwanini alikubali kufanya nae tena kavu siku zake za hatari. Sikupata majibu sahihi nikaamua kuipotezea tu japo niliishia kuamini kuwa pesa ndo ilimshawishi Mercy mpka kubeba mimba.

Swala la Mercy kwenda namimi kwao akanitambulishe sikulikubali niliona Mercy hajafikiria kwa kutuliza akili na pia binafsi sikuwa tayar kuoa mwanamke mwenye mtoto.

SIKU YA KUAGANA NA MERCY ILIKUWA NI MAJONZI SANA.

Nilimsindikiza stand akapanda bus kuelekea kwao. Mimi naye nilibaki kwanza pale town kuna mambo yangu nilikuwa nayafatilia.

Nilikaa kama mwezi hivi ukizingatia hata kodi yangu bado ilikuwa inasoma. Kipindi kile nipo bado pale town niliamua nimtafute Merry, Merry alikuwa tayar kashaondoka kwenda Field alienda mkoa wa dodoma. Nilipomaliza mishe zangu nikapak vitu vyangu nikaondoka nyumbani namimi.

Mawasiliano na Mercy yaliendelea ila upande wangu nilianza kuona Haina tena haja ya kumtafuta mara kwa mara ila yeye alikuwa ananitafuta sana ananisihi nimuoe hata kama bado sijajipanga yeye kwao pesa so shida sana. Aliahidi ataomba pesa ya mtaji tuanze kuzichanga mdogo mdogo ila mimi nikaona kabisa Mercy nikimuoa na tayari kazaa na Dokta nitakua nimejitia kitanzi na kujibuturia kistuli mwenyewe.

Matokeo ya semester ya mwsho yalitoka na mimi na Mercy sote tulifaulu vizur hakukuwa na mtu mwenye kimeo.
Japo nilikuwa bado naumia kumkosa Mercy lawama zangu zote nilizielekezea kwa Dokta na niliahidi kutokuja kumsamehe yule jamaa.

Ilikuwa mwez wa1 mwaka jana Mercy alijifungua mtoto wa kiume na anamuita Johnson, still Mercy ananisisitizia nimuoe lakini bado sioni kama kumuoa Mercy nitakuwa nimefanya jambo la msingi.

Mimi naye hali yangu ya kiafya ilichange ghafla nakumbuka ilikuwa mwez wa 12, 2022 hata graduation sikufanya, nilipatwa na kama kistroke flan yani upande wa kushoto haukuwa sawa. Nilishindwa kutembea, nilipoteza uwezo wa kuongea kwa takriban wiki Moja yani mdomo ulikuwa mzito sana ila nilikuwa natumia maandishi nilipokuwa nahitaji kuongea na mtu.

Nilipelekwa hospital nashukuru Mungu pamoja na madaktari walifanikisha kunipa huduma nikarudi katika hali yangu ya kawaida.
Nilitumia madawa tofaut tofaut ila kuna hiyo moja siwez isahau. Najua kuna wataalam wa afya humu wanaijua vizuri inaitwa "Aten" sijajua kama ndo jina linaishia hapo au linakirefu chake. Hii dawa bhna nakumbuka siku hiyo nilikuwa bado siwez kuongea mtaalam akaagiza ikachukuliwe hii dawa, ni tu vidonge tudogo sana kiumbo, niliambiwa nimeze kamoja tu kwa siku ila mziki wake hii dawa sio wa kitoto.

Hii dawa ukiitumia inakufanya upate ham ya kuongea, inakufanya ujihisi raha yani sinywi na sijawahi kutumia pombe lakini nature ya hii dawa inataka ifanane na tabia ya pombe. Nilikuwa naambiwa nimeze kimoja kwa siku lakini nilikuwa nataman nipige hata tutatu kwasababu yani vilikuwa vinanichangamsha kwanzia kichwani mpka sehem zingine za mwili.

Nilipona kabisa na mpka sasa niko poa.
Mercy naye anaendelea vizuri na mtoto wake na kila siku ananitafuta (hata asubuhi hii kashanitumia text) tunaongea na kuchat saana. Kila siku ananikumbusha kuhusu swala la ndoa na anasisitiza sana nimuoe kwani ananipenda lakini mimi bado sipo tayar kwasababu Mercy tayar anamtoto na sio mtoto tu ila mtoto ni wa Dokta mtu mwenye ROHO mbaya.

NIKIONA KUNA HAJA YA KULETA MREJESHO JUU YA MIMI NA MERCY BASI NITARUDI KUWAPA MREJESHO JUU YA NINI KINAENDELEA LAKINI MIMI BADO SIONI KAMA NINAWEZA KUMUOA MERCY.

Naomba kufunga Uzi wangu kwa kuwashukuru nyote na nawatakia kila lakheri katika safari yenu hapa duniani hasa katika ulimwengu wa mapenzi.

AHSANTENI 🫶🫶🫶.
Mimi nakushukuru kwa uzi mzuri, nimeona makosa mawili umeyafanya, moja ni kumuacha Merry, la pili ambalo ndo kubwa kuliko makosa yote duniani ni kurudiana na mwananke aliyekusaliti (Mercy), hapo mpaka sasa Mercy kakuona kolo kabisa. Nakushauri muoe Merry, huyo shetani mweusi aitwaye Mercy muache dunia imfunze ili malaya wengine nao waache ukahaba wao.

Ukiona Nyoka anapambana na mwananke Malaya, msaidie Nyoka aisee.
 
Mimi kuna umbwa ilinifanyiaga demu wangu tena ..........aliniwahi akaitoa bikra yake......qumqmqke sijawai kumsamehe yule jamaa mpaka leo ........na imepita miaka mingi sana yaani hata tu niikute picha yake Facebook damu yangu inakuwa inachemka sana na hata sijui kwa nini.......kuhusu binti alishaomba msamaha sana lakini ikabaki kira mtu aishi kivyake vyake kwanza nilikuwa sijamla lakini vitu vyote muhimu nishamfanyia mpaka kupiga finga kunyonya chuchu ila tu dudu la yuyu ndio lilikuwa alijaingia kwenye chiu yake.........najutia sana hiki kitu labda leo ndio angekuwa mke wangu.........maaana leo hii mimi nimeoa na nina mtoto mmoja mrembo balaa naonaga ana view status zangu ig kira nikimpost mwanangu........ila mapenzi yahacheni hivyo hivyo nilikaa miezi mitatu sisikii ladha ya chakula baadaya ya kuachwa na hiki kidemu......nilikonda sitosahau na hajaolewa mpaka leo na sasa umri wake utakuwa umefika 30 something hivi.....ni kweli mrembo bado ila wahuni wamemuonesha hii dunia.......
 
NAhisi kwa sababu wao walimfata kumwambia aachane na mercy..

Na hilo ni kosa kubwa sana Alilofanya DeMostAdmired kama Mwanaume..

Mwanaume yoyote ukimfata kumshurutisha kitu ambacho hajakifanya ni kama unamtilia Petroli kwenye Moto na kumwambia.."Lets Race" yaani walivyomfata siku ile ni kama Dr alikuwa anasikia "Are you ready for Ruuuumbbleeee"

Na ndo maana alifanya kila njia achape hiyo kitu na Nakuhakikishia kuwa akishachapaa mara kadhaa akiona kaishinda mecho anamtema
Walizingua sana kaka yake wa TANAPA aisee ...mi mwenyewe ukiniambia muache huyu mi ni mwanamme wangu and blah blah ndio simuachi Sasa tukomoane
 
Tunajua mwisho wa siku ulimpa mimba, katika kujifungua akapoteza maisha....

Sisi tunachotaka kujua, ni kwa namna gani huyo daktari alihusika ktk kusababisha kifo cha mchuchu wako?

Hayo maelezo ya namna mlivyopeana mimba, sijui ukamuweka popo kanyea mbingu, sijui ukamzamia chumvini mpaka aka squirt sisi hayatusaidiii..
Hawa vijana wa stress, wamepelekwa JKT waahidiwa ajira Polisi na uamiaji.
Polisi wamechukua wenye divisison four, waliofaulu vizui wameachwa.
 
Ningekuwa mm ni wewe ningemtafutia siku moja mercy nimgonge vizur kwa mara ya mwisho then ndo tuachane, ningemgonga kama malaya, ningemfanyia vitu ambavyo hapo mwanzo sikuwahi kumfanyia, ningempakia mkongo, ningetumia viagra, ningetumia na paracetamol pia, ningekunywa Monster au Red Bull, ningekunywa maji ya kutosha, ningepiga na nyeto ili nichelewe kumwaga, ningepiga mazoezi kwanza kabla ya game ili kuwe na blood circulation kweny essential muscles zinazotumika during sex, ningejiandaa kisaikolojia kwa kufanya meditation, ningehakikisha namkomoa, ningehakikisha nampiga mashine hadi uke wake utoe moshi, amwage maji lita tano, ang'ate shuka hadi lichanike, avute shuka hadi kitanda kivurugike, anifinye na makucha yake hata anitoe damu, miguu kutetemeka, akili kusisimka, maji kumwagika hadi kupiga makelele ya utamu simwachi, bila mafuta, bila condom, usiku kucha mchana kutwa, kutoka sakafu ya jikoni hadi chooni, kutoka chumbani hadi meza kulia, kutoka kweny kochi hadi kweny kibaraza, style zote kifo cha mende, popo Kanye mbingu, airtel wezi wa bando, chochea moto huku akipata pumzi kwa shida sana, ntaendelea nae hadi ukutani, nje, kwenye gari moshi, kwenye ndege, juu ya pikipiki, kwenye staha ya upakiaji wa lori, kwenye trampoline, katika ngome ya bouncy iliyoinama, kweny bwawa, kwenye ghorofa ya chini, na dirishani....kutetemeka kwa mwili, miguu ikitetemeka, ngumi akinipiga, mdomo unaoteleza, pua iliyobanwa, kupiga chafya hawez, macho ya kutokwa na machozi, Kiuno kikitetemeka, kupasuka kwa kifundo cha mguu, kulegea kidevu, kung'oa nywele, meno kusagika, kuiba roho, kusisimua kupita kiasi, karaha, uzembe, kuvunja moyo, kupasuka kwa mgongo, kuchukiza, kububujika, creamy, kama wanyama, midomo kuuma, kukaidi nguvu ya uvutano, kutafuna kucha, kutokwa na jasho, kurusha miguu, kustaajabisha, kutetemeka kwa mashavu, kilele, kuvunja mifupa, mwisho wa dunia, kuunda shimo jeusi(black hole), linaloharibu ulimwengu, ladha ya siri, ya kushangaza, tukufu, ladha, ya ajabu, ya mwili, angepigwa na butwaa, hatoweza kutembea, wala kutikisa kichwa, roho kuchukiza, volcano inatoka, jasho linatiririka, sauti inakatika, kutetemeka, shuka zimelowa, nywele zimenyofolewa kwa kuvutana, kuchubuka ngozi, kope kunyofolewa, Macho yatastaajabu, pussy kuharibiwa.
Huu nao ni uzi mwengine mwe mwe mweeeee[emoji28]
 
Back
Top Bottom