Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Mimi kuna umbwa ilinifanyiaga demu wangu tena ..........aliniwahi akaitoa bikra yake......qumqmqke sijawai kumsamehe yule jamaa mpaka leo ........na imepita miaka mingi sana yaani hata tu niikute picha yake Facebook damu yangu inakuwa inachemka sana na hata sijui kwa nini.......kuhusu binti alishaomba msamaha sana lakini ikabaki kira mtu aishi kivyake vyake kwanza nilikuwa sijamla lakini vitu vyote muhimu nishamfanyia mpaka kupiga finga kunyonya chuchu ila tu dudu la yuyu ndio lilikuwa alijaingia kwenye chiu yake.........najutia sana hiki kitu labda leo ndio angekuwa mke wangu.........maaana leo hii mimi nimeoa na nina mtoto mmoja mrembo balaa naonaga ana view status zangu ig kira nikimpost mwanangu........ila mapenzi yahacheni hivyo hivyo nilikaa miezi mitatu sisikii ladha ya chakula baadaya ya kuachwa na hiki kidemu......nilikonda sitosahau na hajaolewa mpaka leo na sasa umri wake utakuwa umefika 30 something hivi.....ni kweli mrembo bado ila wahuni wamemuonesha hii dunia.......
Pole sana
 
Kwaniaba ya wasomaji wote wa Uzi huu,tunashukuru kwa kujuhudu na muda wako bila kusahau upendo wa kushare nasi uliyopitia ili kujifunza,tunasema ahsante sana na Bado tunakiu ya kupata mrejesho,karibu sana mkuu.

NITAWAPA MREJESHO PINDI NITAKAPOONA KUNA HAJA YA KUFANYA HIVO KWANI SAIZI TUNAWASILIANA NA MERCY MAWASILIANO YA KAWAIDA TU.
 
Tuendeleee......

Baada ya wiki moja tena Recho akanambia anahitaj kuniona nikamuliza kuna shida gani akanambia anashida zake binafsi. Tukapanga tuonanae geto kwake huyu Recho, geto kwake sio mbali na kwa Mercy.

Siku hiyo nipo kwa Recho hata hatujaanza stor Mercy akafika akatusalimia pale akakaa.
Nilivomuona Mercy nilipatwa na hasira isiyo ya kifani. Nilikuwa nasubiri nini kitafuata, Mercy akaniita "DeMostAdmired naomba msamaha sana kwa yote nilokufanyia ninaweza kujielezea na naamini utanielewa, mimi nakupenda sana". Kwa wazoefu mtanielewa, nilijikuta napatwa na hasira sana nikafungua mlango nikasepa zangu sikuongea chochote nikamwambia Recho asirudie tena kunikutanisha na Mercy waniache kwanza.

Kwa kiasi flan nikapata ahueni kwasbb niliona Mercy Sasa yamemshinda huko alikokuwa na kaona kuwa mimi ni wamaana.
Baada ya pale ndugu zangu zilikuwa ni cm na texts mfululizo kutoka kwa Mercy. Nilijikaza kama kwa wiki moja hivi then baadae nikaona haina shida ngoja nianze kumpokelea cm zake na kujibu texts zake.

Mawasiliano yalirudi na Mercy kwakuwa nilikuwa bado nampenda nikaamua nirudiane naye. Kimbembe kilikuja kwa Merry, Mercy aligundua kuwa nipo na Merry, akaniambia niachane naye. Mimi naye sikuwa na hiana nikamuweka pembeni Merry japo siku moja moja nilikuwa namtafuta tunapasha viporo.

Ndugu zangu speed alorud nayo Mercy kwangu ilikuwa sio ya kawaida, yani nilikuwa napewa mapenz ya premium version.
Nilikuwa natolewa out za kustukiza, mazawad yakutosha hakika nikaanza kukaa sawa japo kumbe tyr Ile shida ya moyo ilikuwa ishakuwa kubwa yani furaha nilikuwa nayo ila Ile shida ya kutokwa na jasho sana iliendelea. Nilikuwa najiskia vbaya sometimes na hii nikajua tu ni kwasababu ya trauma alonisabbshia Mercy.

Kuna mkasa ulitokea, kifupi ulikuwa ni ugomv mkubwa kati ya Mercy na Merry, Mercy alimfata Merry akampiga bit na Merry naye akakaza asee ilikuwa ni tatizo lakini mimi niliona Mercy analeta wivu wa kinafiki kwasababu yeye ndo alisababsha mpka nikamtafuta Merry. Washkaji na madem wengine class wakawa wananisihi nisimuache Merry kwani Mercy tyr alionekana ni mtu wa kijinga. Pamoja na watu kunisihi vile lakini bado nilikuwa siwasikii mwsho wa siku nikachagua kuishi na Mercy.

Siku zilisogea tukawa tunakaribia UE, nikaanza kuona dalili mbaya kwa Mercy.
Kifupi nilianza kuona dalili za mimba kwa Mercy, niliona amekuwa mchovu, kutema tema mate. Nikaona kabisa huyu atakuwa na mimba, ikabidi nimuulize kwasababu mzunguko wa Mercy nilikuwa naujua na kwamuda ambao tulikuwa tumerudiana naye baada ya kutoka kwa Dokta niliona kabsa kama ni mimba basi sio yangu hundred percent.

Nilipomuliza akanambia ataenda kupima, alipoenda kupima kweli bhna alikuwa na mimba.

Nikamuliza mimba ya nani, Mercy hakutaka kunidanganya alinambia kwamba mimba anahisi ni ya Dokta sio yangu.

See you.......
Apo ndo ulipozingua kurudi kwa mercy
 
Chats na Mercy asubuhi ya Leo 26/02/024
 

Attachments

  • Screenshot_20240226-103616~3.png
    Screenshot_20240226-103616~3.png
    166.4 KB · Views: 28
Tuendeleee........

Maisha yalisonga nikiwa nipo kwa Mbwambo lakini nilikuwa narud magetoni kufata nguo na vitu vingine incase. NAMSHUKURU SANA Mbwambo alinisaidia sana.

Ngoja nimwambie kitu, Mbwambo kuna kipindi mwaka wa pili aliandamwa sana na sup ilibak kidogo adisco, Sasa aliniomba wakat wa kusapua ukifika basi niwe naye around ili niwe nampiga piga msasa. Baada ya field niliahirisha kwenda home kwaajili pia ya Mbwambo, tulikuwa tunakesha wote nampiga msasa na hatimaye akachomoa zote hii mwenyewe sikuamini yani jamaa alifuta sap zote alikuwa nazo tano ( sem2+sem3).

Nahisi hiki kitu ndo kilimfanya nayeye anisaidie na kuniona wa maana kwake. MERCY kuletwa na Dokta chuoni ikawa ni kawaida. Mimi huku hali ilizidi kuwa mbaya wanafunzi wenzangu walikua wote lakini Mercy hakujali hili.

Mbwambo alinishauri nitafute dem angalau wa kuniliwaza, nilimuona kama anaongea ujinga nikawa namjibu "kama Mercy wangu kabadirika kawa hivi basi hakuna dem mwingine nitakuja kumuamini".
Mbwambo akanambia "huyu dem naye kushauri umtafute sio kwa ajili ya kumpenda awe mpenz wako bali unasukuma naye time tu semester ikate tumalizie chuo". Haya maneno yalinifundisha kitu.

Baadae nikaja kumsikiliza Mbwambo lakini nikawa bado naathiriwa na ujinga wa Mercy, hakika nilikonda sana, nilikuwa natokwa na jasho sio polepole.

Nikaanza kufikiria ni nani nimvute awe bebe yangu kwa muda, nikawaza Mercy fek nikaona hapana ataniona kama mtu ninayetanga tanga baada ya kuachwa na Mercy kwasababu ni mtu aliyekuwa anajua kilichokuwa kikiendelea mwanzo mwsho.

Nilikuja kumpata dem mmoja anayeitwa "Merry" hii ni real name.
Huyu alikuwa ni mtu wa singida. Marry alikuwa ni first year, niliamua kwenda first year ili iwe ngum kwa dem wangu mpya kufaham story yangu na hata kama atakuja kuifaham basi iwe tyr nishamuweka under utawala wangu kwahyo haitakuwa na shida sana.

Nilikuwa na huyu Merry lakini nikawa najisemea kama Mercy atarudi Merry anaoigwa chini fasta tu maana Mercy alikuwa ananafasi ya kioekee katika moyo wangu.

Ndugu zangu huyu Merry ni binti mwembama, mrefu, mweupe na nywere zake zakiaina flan nadhani ni mtu wa singida lakini kamix na wairaq.
Merry alikuwa ananipa penzi as if alikuja kwangu kwa lengo la kunitibia yake maumivu kutoka kwa Mercy.

Merry alikuwa ananipa mapenz ya moto na ya dhat yani kama dozi hakunibania kama Mercy alivokuwa ananifanyia. Namimi nikaenda na tempo yake ikawa ni mwendobwa show tu yani nilikuwa nikimwambia nipo geto dakika chache tu namuona huyu hapa, nilianza kupata afadhar lakini ile hali ya kutokwa na jasho ilikuwa bado inaendelea na kukonda kukawa palepale kumbe nilikuwa nimepata shida mpka kwenye moyo sikuwa najua.

Ile semester ya mwisho ilikuwa ngum sana lakini nafikiri ingekuwa ngumu Zaid kama ningekuwa sina akina Mbwambo na Merry dem wangu wa first year.

Merry alikuwa ananijali sana na nikaanza kumpenda lakini bado Mercy still alikuwa anarotate katika mind yangu na muda wote nilikuwa namuwaza kwakweli.
Siku zilienda maisha yakasogea semester ikawa inakaribia mwishoni. Hapo Sasa mawasiliano na Mercy hayakuwepo kabisa na nikawa namuona tu venue, kitaa basi.

Kuna siku niliumia sana, ilikuwa ni weekend nimeenda town, nilikuwa alone nlienda crdb town kutoa pesa maana ATM ya kule chuoni ilipata shida kidogo kwahyo ikanibid niende town. Nilivokuwa navuka barabara ili niingie bank nikamuona Mercy na Dokta wanatoka kwenye duka la vipodoz lilikuwa mkabala na bank. Wao hawakuniona, ile kitu iliniuma sana nikatamani nimchek kwenye cm japo nimwambie nimemmiss lakini nikaona ni upuuzi nitampa point tatu za bure.

Kidume nikajikaza hilo jambo likapita nikazoea, kuna siku tena nikawaona wanatoka alipokuwa anakaa Mercy walikuwa katika gari wanaishirizia zao mtaani. Nikiona mengi nilivumilia lakini baadae nikaja kuoma nguvu ya kukaa kimya.

Ulikuwa imebak kama mwez hivi tuingie UE ya mwisho tumalize chuo, siku hiyo nikaona mesej ya Recho rafkiake Mercy. Alinichek akanambia Mercy ni kama hayupo sawa anaonekana kazinguana na Dokta wake.

Nikamwambia asante kwa taarifa lakin asiwe ananambia habari za Mercy kwasbb nilikuwa nikisikia jina lake moyo ulikuwa unalipuka kama nimepigwa na shot ya umeme wa grid ya taifa.
Sio kusikia jina tu hata nilipokiwa nikimuona nilikuwa nalipukwa sana na moyo. Hii hali ilikuwa inanisababisha natokwa sana na jasho na nakuwa na hasira sana zisizo na maana.

See you......
Pole sana Mzee Baba. Dunia siyo mbaya ila sisi waja . . .
 
Kumchafua Dokta kwa mke wake ndo ningeuwasha moto zaidi.

Mercy fek alimaliza chuo pia.

Nipo kazini Tanga saizi.

Mercy yupo kwao huko kaskazini.

Madogo zake Mercy (Beata na Kiano) wananifaham na mimi nawafaham ila wazaz hapana.

Nipo na mpenzi flani wa kitanga ameajiriwa ni mwalim.

Sijui kama Dokta anahudumia au lah na sijawahi kumuuliza Mercy juu ya hili.

Kumchafua Dokta kwa mke wake ndo ningeuwasha moto zaidi.

Mercy fek alimaliza chuo pia.

Nipo kazini Tanga saizi.

Mercy yupo kwao huko kaskazini.

Madogo zake Mercy (Beata na Kiano) wananifaham na mimi nawafaham ila wazaz hapana.

Nipo na mpenzi flani wa kitanga ameajiriwa ni mwalim.

Sijui kama Dokta anahudumia au lah na sijawahi kumuuliza Mercy juu ya hili.
Shukran na pole kwa yote pia kwa Ushaur kata mawasiliano na mercy ufanye umsahau ili usonge mbele

Chengine nifundshe kutumia hii version mpya ya JF kiukwel inanisumbua sana ingawa mimi ni mpenz tu msomaji wa JF sio mchangiaji sanaaa ila nowadays napata shida nikiclick quote sion option ya type mpk ni click reply ambayo unakuta naqoute sentence ambayo ni refu nagive up tu mana ntamchomsha msomaj nimeqoute aya refu nilchotype ni kiduchu ama hakuna option ya ku qoute ni hii reply tu

Chengne mbona sioni back nikitaka ku back naclick wapi kurudsha page yani ni hadi niclici new post ama niclick pemben nirud tena upya kwenye forums niitafute hio thread

Kiukwel app inanisumbua now kama unaweza kunielkzea na yyte anaweza niambie anfanyaje
 

Attachments

  • IMG_0902.png
    IMG_0902.png
    322.4 KB · Views: 24
Tuendeleee.......

Hapa nikaona kabisa Mercy hakuwa na mapenz na Dokta ila shida ni tamaa za pesa na Dokta alikuwa hana mpango wa kumuoa Mercy ila alihitaji kunikomoa tu. Nilihisi vile baadae baada ya siku moja Dokta kunitumia ujumbe "dogo wanaume tushafanya yetu ole wake hiyo mimba mkaitoe".

Hii text alinitumia siku moja kabla ya Mercy kufanya jaribio la kuitoa ile mimba. Hii text sikumuonesha Mercy niliona kama ntamchanganya tu na Haina maana.

DOKTA ALIMTIA MERCY MIMBA KWA MAKUSUDI NA ALIMLAGHAI KWA PESA ZAKE, HII KITU MERCY MWENYEWE NDO ALINAMBIA.

Niliwaza kama Mercy alikuwa hampendi Dokta ni kwanini alikubali kufanya nae tena kavu siku zake za hatari. Sikupata majibu sahihi nikaamua kuipotezea tu japo niliishia kuamini kuwa pesa ndo ilimshawishi Mercy mpka kubeba mimba.

Swala la Mercy kwenda namimi kwao akanitambulishe sikulikubali niliona Mercy hajafikiria kwa kutuliza akili na pia binafsi sikuwa tayar kuoa mwanamke mwenye mtoto.

SIKU YA KUAGANA NA MERCY ILIKUWA NI MAJONZI SANA.

Nilimsindikiza stand akapanda bus kuelekea kwao. Mimi naye nilibaki kwanza pale town kuna mambo yangu nilikuwa nayafatilia.

Nilikaa kama mwezi hivi ukizingatia hata kodi yangu bado ilikuwa inasoma. Kipindi kile nipo bado pale town niliamua nimtafute Merry, Merry alikuwa tayar kashaondoka kwenda Field alienda mkoa wa dodoma. Nilipomaliza mishe zangu nikapak vitu vyangu nikaondoka nyumbani namimi.

Mawasiliano na Mercy yaliendelea ila upande wangu nilianza kuona Haina tena haja ya kumtafuta mara kwa mara ila yeye alikuwa ananitafuta sana ananisihi nimuoe hata kama bado sijajipanga yeye kwao pesa so shida sana. Aliahidi ataomba pesa ya mtaji tuanze kuzichanga mdogo mdogo ila mimi nikaona kabisa Mercy nikimuoa na tayari kazaa na Dokta nitakua nimejitia kitanzi na kujibuturia kistuli mwenyewe.

Matokeo ya semester ya mwsho yalitoka na mimi na Mercy sote tulifaulu vizur hakukuwa na mtu mwenye kimeo.
Japo nilikuwa bado naumia kumkosa Mercy lawama zangu zote nilizielekezea kwa Dokta na niliahidi kutokuja kumsamehe yule jamaa.

Ilikuwa mwez wa1 mwaka jana Mercy alijifungua mtoto wa kiume na anamuita Johnson, still Mercy ananisisitizia nimuoe lakini bado sioni kama kumuoa Mercy nitakuwa nimefanya jambo la msingi.

Mimi naye hali yangu ya kiafya ilichange ghafla nakumbuka ilikuwa mwez wa 12, 2022 hata graduation sikufanya, nilipatwa na kama kistroke flan yani upande wa kushoto haukuwa sawa. Nilishindwa kutembea, nilipoteza uwezo wa kuongea kwa takriban wiki Moja yani mdomo ulikuwa mzito sana ila nilikuwa natumia maandishi nilipokuwa nahitaji kuongea na mtu.

Nilipelekwa hospital nashukuru Mungu pamoja na madaktari walifanikisha kunipa huduma nikarudi katika hali yangu ya kawaida.
Nilitumia madawa tofaut tofaut ila kuna hiyo moja siwez isahau. Najua kuna wataalam wa afya humu wanaijua vizuri inaitwa "Aten" sijajua kama ndo jina linaishia hapo au linakirefu chake. Hii dawa bhna nakumbuka siku hiyo nilikuwa bado siwez kuongea mtaalam akaagiza ikachukuliwe hii dawa, ni tu vidonge tudogo sana kiumbo, niliambiwa nimeze kamoja tu kwa siku ila mziki wake hii dawa sio wa kitoto.

Hii dawa ukiitumia inakufanya upate ham ya kuongea, inakufanya ujihisi raha yani sinywi na sijawahi kutumia pombe lakini nature ya hii dawa inataka ifanane na tabia ya pombe. Nilikuwa naambiwa nimeze kimoja kwa siku lakini nilikuwa nataman nipige hata tutatu kwasababu yani vilikuwa vinanichangamsha kwanzia kichwani mpka sehem zingine za mwili.

Nilipona kabisa na mpka sasa niko poa.
Mercy naye anaendelea vizuri na mtoto wake na kila siku ananitafuta (hata asubuhi hii kashanitumia text) tunaongea na kuchat saana. Kila siku ananikumbusha kuhusu swala la ndoa na anasisitiza sana nimuoe kwani ananipenda lakini mimi bado sipo tayar kwasababu Mercy tayar anamtoto na sio mtoto tu ila mtoto ni wa Dokta mtu mwenye ROHO mbaya.

NIKIONA KUNA HAJA YA KULETA MREJESHO JUU YA MIMI NA MERCY BASI NITARUDI KUWAPA MREJESHO JUU YA NINI KINAENDELEA LAKINI MIMI BADO SIONI KAMA NINAWEZA KUMUOA MERCY.

Naomba kufunga Uzi wangu kwa kuwashukuru nyote na nawatakia kila lakheri katika safari yenu hapa duniani hasa katika ulimwengu wa mapenzi.

AHSANTENI 🫶🫶🫶.
Hakuna aliyemkamilifu Duniani,
Ungemsamehe,,,,,
Kaa tulia na ujitakari kwa upya
 
Pole na hongera kwa maswahibu.
Ila jua tu kua wanawake tunapenda sana attention kutoka kwa wanaume. Mtu wa kukukeep busy with good mornings, umekula etc.
Sasa huyo mercy saiv anasumbuliwa na upweke na anatafuta attention. Mahali pa kupata attention ni kwako. Akipata tu mwanaume wa kumpa attention utaona amepunguza message au kuacha kabisa. Kaa naye mbali sana.
 
Back
Top Bottom