Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

"Pamoja na watu kunisihi vile lakini bado nilikuwa siwasikii mwsho wa siku nikachagua kuishi na Mercy."

Hapa ulifanya mistake ilitakiwa huyo Mercy ufanye kumgonga tuu lkn huna muda nae mpaka ajione mavi
 
Asante.
Umegusia sehemu ya kile nilichotaka kugusia.
Mercy ataendelea kuwa na muunganiko na Dokta siku zote za maisha yake kwa sababu tayari kuna kiumbe kinachowaunganisha. Hata kama hawatakuwa pamoja iwe kimawasiliano au kimahusiano, daima watabaki kuwa Wazazi wenza.

Ingekuwa vyema, endapo mtoa mada anagemchukulia Mercy kama mtu aliyempa funzo kubwa maishani hasa katika suala la mahusiano. Na alitumie funzo hilo kusonga mbele na maisha yake hasa kujiimarisha kiuchumi na kimaisha kwa ujumla.
Ni muhimu zaidi atumie akili kuliko hisia katika kuamua mustakabali wake yeye na Mercy. Kupitia maandishi yake namwona bado anampenda Mercy kupita kiasi, na ameshashindwa ku-move on bila Mercy.
 
Stori tamu
 
Mbona hujamaliza story unatuacha na masual

Toka Muda huo upo single ama umekutana na mwengne

Umepata kaz au hujapata na mercy kazi amepata

Km una demu kwann uendelee kuwasiliana na mercy km huna je hujapata ama umedecide ku cool off kwnza au ndio umechukizwa

Na je mahitaj ya mtoto doctor anatoa au ni mercy na kwao

Kwann usimwambie Mercy huez kua nae tena afocus na issue zake

Washkaji zako na mercy fake mlimalza chuo salama wote

Je doctor mahusiano yake na mke wake yako Poa ama hamkupata nafac ya kujua hilo

Mercy fake alkua na uezo wa kupiga picha chats za Mercy wako kwa simu ya doctor why from the beginning hamkufkiria kuchkua namba ya wife wa doctor ili kumchafua doctor kwa mke wake mkatuma texts alzokua anakutumia doctor kua namla mercy na ushahid ni texts zako na za kwa doctor mercy fake alzopga picha naamin kwa mke wa doctor kingenuka pengne angepunguz mawasiliano JE HILI WAZO HAMKULIPATA?

Mercy hakuwahi kukutambulisha kwa ndugu zake mama baba kaka dada uncle au mmoja wao kati ya hao?
 
Mimi nakushukuru kwa uzi mzuri, nimeona makosa mawili umeyafanya, moja ni kumuacha Merry, la pili ambalo ndo kubwa kuliko makosa yote duniani ni kurudiana na mwananke aliyekusaliti (Mercy), hapo mpaka sasa Mercy kakuona kolo kabisa. Nakushauri muoe Merry, huyo shetani mweusi aitwaye Mercy muache dunia imfunze ili malaya wengine nao waache ukahaba wao.

Ukiona Nyoka anapambana na mwananke Malaya, msaidie Nyoka aisee.
 
Mimi kuna umbwa ilinifanyiaga demu wangu tena ..........aliniwahi akaitoa bikra yake......qumqmqke sijawai kumsamehe yule jamaa mpaka leo ........na imepita miaka mingi sana yaani hata tu niikute picha yake Facebook damu yangu inakuwa inachemka sana na hata sijui kwa nini.......kuhusu binti alishaomba msamaha sana lakini ikabaki kira mtu aishi kivyake vyake kwanza nilikuwa sijamla lakini vitu vyote muhimu nishamfanyia mpaka kupiga finga kunyonya chuchu ila tu dudu la yuyu ndio lilikuwa alijaingia kwenye chiu yake.........najutia sana hiki kitu labda leo ndio angekuwa mke wangu.........maaana leo hii mimi nimeoa na nina mtoto mmoja mrembo balaa naonaga ana view status zangu ig kira nikimpost mwanangu........ila mapenzi yahacheni hivyo hivyo nilikaa miezi mitatu sisikii ladha ya chakula baadaya ya kuachwa na hiki kidemu......nilikonda sitosahau na hajaolewa mpaka leo na sasa umri wake utakuwa umefika 30 something hivi.....ni kweli mrembo bado ila wahuni wamemuonesha hii dunia.......
 
Walizingua sana kaka yake wa TANAPA aisee ...mi mwenyewe ukiniambia muache huyu mi ni mwanamme wangu and blah blah ndio simuachi Sasa tukomoane
 
Hawa vijana wa stress, wamepelekwa JKT waahidiwa ajira Polisi na uamiaji.
Polisi wamechukua wenye divisison four, waliofaulu vizui wameachwa.
 
Huu nao ni uzi mwengine mwe mwe mweeeee[emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…