Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Nashukuru
 
Utuletee episode kadhaa za binti wa kitanga
 
Kilicho chako hakipotei, mercy hukupangiwa kuwa na wewe. Ulikuwa unalazimisha tu. Na dokta katumika kama catalyst tu ya kukuonyesha mercy ni mtu wa aina gani. Mercy angekuwa hamtaki dokta,angemla block mapema tu.

Umekaa na mwanamke miaka mitatu hajabeba mimba, ila kaenda kwa mwingine miezi kadhaa tu karudi na mimba.

And Nadhani wewe hukuwa karibu sana na mshua wako au hukupata malezi proper ya upande wa kiumeni.
 
Ungebold hapa aone vizuri.
 
🤣🤣🤣Sema tu unamjua Dr bwana mambo yasiwe mengi
 
Aiseee pole sana ,Nimeumia hapo ulipopata stroke kisa mapenzi,,,Mungu akupe Mtu sahihi,na usichukie madaktari ni watu muhimu sana kwenye jamii achana na huyo Mmoja mshenzy...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…