Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Ulianza kufeli Hapa.Vita ya Kugombea Mwanamke huwa ni vita ya HISIA zaidi na SIO Physical
 
Condition yake aliyosimulia lazima tujue ilikuwa ni Artane.

Mara nyingi side effects za dawa nyingi hufanana ila hutofautishwa na side effects chache
Mkuu napenda tuelimishane ili namimi nipate uelewa..

Kwanini unafikiri Ni artane?
Alikuwa na Any condition suggestive kwako kupewa artane kama Parkinson au any stiffness?
Alikuwa na Tremors? Alikuwa Tonic Au ,Clonic?

Probably kwangu mimi ningewaza Atenolol..Kwanini?

Atenolol ni Beta Brocker na Probably Inatibu Pressure na Inareduce kama sio Kuprevent Further Effects and complication ya stroke..
 
Uko maeneo gani Tanga kiongoz? Kama ni hapa town basi nicheck inbox tukutane forodhani kupunguza machungu ya hawa jinsia nyingine
 
TANGA-KOROGWE
Kuna msemo sikio la kufa halisikii dawa, but kama unataka kuishi maisha ya amani hapa duniani mpaka siku Muumba wako atakapokuita, ACHANA NA MERCY, MSAHAU MERCY, ACHA UKARIBU WA AINA YOYOTE NA MERCY, HESABU HAKUWA FUNGU LAKO. Lakini if you ever, ever marry her atakuwa kaburi lako. You knw why? ameshaujua udhaifu wako, so she knws how to manupulate you and how to control you. Na sisi wanawake tukishajua kuvitumia hivyo vitu kwa mwanaume AMEISHA.
 
Nimekupata nashukuru
 
Pia kusikia kwa kenge mpaka sikio litoke damu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Rafiki yangu Mbwambo alinigundua kwamba naenda kuharibikiwa, kuna siku alinifata akanambia anahitaji kuongea namimi nakumbuka ilikuwa tupo chuo kwahiyo tukapanga baada ya vipindi tutaongea wakat tunarud kitaa maana Mbwambo pia alihamia kitaa.
Dada kazingua ikabidi Bwashee aku save maana ulikuwa unaangamia.
 
Nilichokiona mimi kwenye somo hili bwana Admired bado anampenda Mercy kutoka moyoni kikwazo ni mtoto tu kulingana na maandishi yake na pia nadhani amekutana na wasichana kadha wa kadha lkn wengi hawajafit kwenye vigezo vya jamaa ikiwemo huyo Marry yaani ilotokea emergence lkn hafit kwenye cretaria za msela

Sasa nini kitatokea mbeleni!!!?

Hapa kuna mambo wawili ambayo yataendelea kumtafuna jamaa mpk aje mwanamke wa vigezo vya Mercy na si suala la rahisi kufanikisha japo inawezekana akiwa mvumilivu

Pili jamaa akimuoa Mercy hakika mateso hayatakoma kwake labda Dr afe maana yeye ( dr ) yupo kwa ajili ya kumkomoa jamaa yetu na anajiona mshindi na hana mpango hata na huyo Mercy wa kumuoa hata mke wa pili

Tatu ,kama inawezekana mshauri Mercy aolewe na mtu mwingine kabisa asiyejua background ya nyie wawili ( dr na wewe) hiyo itamleta amani ya kudumu

Nne, kwa kuwa binti alijigeuza mwili wake kuwa chombo cha starehe na hakujali hasara aliyokuletea ikiwemo ya afya yako nadhani ni vzr uendelee kumpelekea moto pasipo kumshtua kama jinsi alivyopretend kuwa hamna kinachoendelea ili hali alijua nini anafanya pasipo kujali utaumia kiasi gani

Kwa wewe usijali dr anamla au hamli ,anawasiliana nae au laa ,anahudumia au vp wewe mpige pu...mbu tu siku akili ikimwijia ajue anatumika kote kote basi atachagua njia sahihi kwake
 
Nmemuonea huruma sana
Ila dokta Ana ujinga mwingi kaamua kumkomoa dogo
Mercy nako kajinga sana yaani kameingia Mtegoni kwa vipesa vya lunch na lift za chuo
Hafai kabisa usimuoe atakuja kukupiga tukio huko mbeleni
Unajua zile akili za kichuochuo hiyo x-trail akipandishwa alikuwa anaona kama ya kwake vile
 
Dr achana na Hizo dawa,tunataka mwendekezo wa series baada ya Mercy kujifungua unampa Matunzo mtoto?au ndio anakula ugali wa Babu yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…