Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Ndio maana huwa nasema mwanaume anaanza kufikiri vizuri akiwa na umri kuanzia 30+
 
Comment bora sana kwenye uzi huu!
👊
 
Uko sawa kabisa, me nimemwambia bwana mdogo kwamba kama bado anaumia, kisasi ni haki yake. Asogee tu handeni tumalize shughuli, huyo dokta anayejiona ana hela, akazimalizie kujitibia sasa ili akili imkae vizuri. Dawa ya moto ni moto tu.
Amchafue Dokta akili itakuwa sawa na mercy akiona Dokta ametapakaa Mitandaoni ndo atajua yupo upande gani kwako au kwa Dokta ukiona kamaindi ujue bado yupo kwa Dokta, Tumia Mercy fake kupata namba za mke wake alafu aje amtumie Whatssapp na zingine kwa Mercy utaona matokeo Hata kutafuta tena , alafu ujue mtoto ndo atakonet yote hayo ata filings zitaludi kwa dokta kwa sababu ya dokta
 
Huu uz
 
Katika wote we ndo umeongea sasa, hadi natamani nikutumie bando, yaani hilo dogo likimuoa mercy, litakuwa ni lipumbavu kuliko mipumbavu yote ulinwenguni.

Kwanza hasemi kama kapata demu au hajapata, pia kama kapata kazi/kajiajiri na kujipata au la.
 
Unamshauri mtoto upumbavu kishenzi mwanangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…