Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Baada ya hapa ..nikafuatilie tena uongo wa INSIDER MAN MZEE WA KUTOA MADEM OUT.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kijana umeona Uzi uliopita tumekupiga spana ukaona utunge kwamba unamuoa mwanamke mwingine ili tukupe sifa ya uanaume kumbe pengine unataka kumuoa mercy?
 
Kijana umeona Uzi uliopita tumekupiga spana ukaona utunge kwamba unamuoa mwanamke mwingine ili tukupe sifa ya uanaume kumbe pengine unataka kumuoa mercy?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hapana Mkuu nitawagea picha nikisha muweka ndani Mage
 
Mercy anachekesha kweli yupo kama kapagawa na pepo yaniπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… kulinda utu na heshima yake alitakiwa kujituliza tu sio hizo drama alizoanzisha anajidhalilisha bure tu na asipokuwa makini atapata ukichaa

Karma imemtafuna kwa haraka sana km ni kweli lakini manake nyie vivulana huwa ni viongo viongo
 
Anateseka kiukweli kila siku ni kuomba msamaha tu
 
Subir Tu kufollow
 
Daah pole sana Lakini kamwe usije ukadhubutu rudiana na hyo takataka that is my take.
Tafuta kazi ya kufanya,kula,Pendeza, jipende tafuta mwingine atakayekupenda kwa dhati na mtakayeanza naye life, Pia usiache sana Kusali.
 
Nilikuomba namba ya Mercy umeninyima, wallah vile asingekusumbua tena. Inaonekana unasikilizia sana PUSSIE
 
Naomba nikuulize mleta mada mwanzoni ulipoanza kumzungunzia Mage ulisema amekuzidi miaka kama miwili hivo kama anakupa mtihani kwenye suala ya kumuweka ndani ,ingawa sifa anazo au nimekunukuuu vibaya
 
Sasa, wazazi wa mercy wakikupigia wasimulie yote pia waambie kuwa mtoto siyo wako, kisha namba badilisha na harusi usifunge mkoa huo, shetani mercy atakuja kukuharibia kwenye harusi.
Mercy anaenda kufeli
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
ushasalitiwa na mtu akapiga hapo chata kabisa mkuu au kwa sababu imetokea kwa mwenzako unaichukulia poa? unachukulia poa kutombewa na ukajua si ndio.
 
Swala la kuwabakiza ma ex kwa lengo la emergence eti ikitokea amebadilika mkaachana uwe na pakuanzia hilo sio sawa kaka mkubwa,hapo unatengeneza mazingira ya usaliti,maana hata ikitokea mmeachana c unatafuta mwengine mnaanza upya sioni ulazima wa ex
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…