DeMostAdmired
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 1,579
- 3,798
- Thread starter
- #1,601
Sawa ndugu zangu nitawaalika mm na Mage mambo yapo vzr tu mpk sasaPia nitachangia 0762038080 usiache kunishirikisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ndugu zangu nitawaalika mm na Mage mambo yapo vzr tu mpk sasaPia nitachangia 0762038080 usiache kunishirikisha
Nilipomaliza chuo kuna jamaa aliomba nimuuzie niliiuza tsh 70kHivi Ile baiskeli Yako bado unayo??
Ipo Mzee kile kiwanja pendwaHivi Ben bistro bado inafanya kazi? Nataka kuja na Mercy ukinipa namba
Nampenda sana Mage kwasas
Kwanini Reebok jamani nimechekaaa🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 Anitha, Anitha wangu.
Nimekumbuka kuna siku tulitoroka tukaenda show ya Matonya, sasa si mzuka ukapanda akajirusha ili wamdake!! Aiseeee watoto wa Moro jau!!! Walimdaka wakamvua cheni, viatu mpk jeans kisha wakamtupia jukwaani na pensi lake la reebok 🤣🤣🤣🤣🤣
Bff mambo ya brand ohhh 😂😂😂Kwanini Reebok jamani nimechekaaa🤣🤣🤣🤣
Hakuna kurudi nyuma. Kila la kheri!Nampenda sana Mage kwasas
Brand flani ukivaa unaonekana mnyamweziBff mambo ya brand ohhh 😂😂😂
Kwann Mercy asiblokiwe au bado unampendaNampenda sana Mage kwasas
Anatumiaga namba nyingi sanaKwann Mercy asiblokiwe au bado unampenda
Hakufai weweUnaona vile watu wanafiki? Mercy hafai lakin wewe unataka namba yake
Mage is very geniusHakuna kurudi nyuma. Kila la kheri!
Kwani unataka umuoe?Hakufai wewe
Nimesomo popatlal o level na a level. Viwanja vyetu vilikua ni bush tracker-mkonge hotel, meridian, limbachia, fourwqys, splendid mid 90s ikaja la casa chica.Ipo Mzee kile kiwanja pendwa
New balanceBrand flani ukivaa unaonekana mnyamwezi
Puma
Fila
Reebok
Phatpharm
Kwa Sasa upo wapi?Nimesomo popatlal o level na a level. Viwanja vyetu vilikua ni bush tracker-mkonge hotel, meridian, limbachia, fourwqys, splendid mid 90s ikaja la casa chica.
Ewaaa yaani ukipiga hizi brand unaonekana kabisa wa kishua 🤣🤣🤣New balance
Diadora
Kappa
Nina uraia pacha, dar na dodoma ila Tanga ni home town na huwa nakuja mara nyingi, hata ijumaa nilikuja but kuna mashetani yakanishawishi tukatumike korogweKwa Sasa upo wapi?
Kabisa bff ila ya tonya boy ilikuwa famba, mchina wa kkoo ule 😂😂😂Brand flani ukivaa unaonekana mnyamwezi
Puma
Fila
Reebok
Phatpharm