Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Nina uraia pacha, dar na dodoma ila Tanga ni home town na huwa nakuja mara nyingi, hata ijumaa nilikuja but kuna mashetani yakanishawishi tukatumike korogwe
Ukija Tanga nichek basi Mkuu tuonane tubadirishane mawazo nikutambulishe na Mage
 
Nilifatilia kisa chako....kiukweli inaonyesha Bado unapenda ...ila ki mtizamo hakufai ....kua na msimamo mwambie afanye maisha yasonge akuche amekutumikisha sana inatosha
 
Ndio hapo sasa
 
Kuna siku mama mdogo wake Mercy ndo alinipigia ila nahisi tu wazaz wale pia wanamoa backup Mercy wakidhani labda mm ndo mzaz wa yule mtoto
Wewe kwanini usiwaambie wazazi wa mercy kwaba humuhitaji tena binti yao coz alikusaliti hadi kuzaa na mwanaume mwingine? Kwa kifupi tu dogo huna msimamo, bado unampenda mercy, sitashangaa kusikia umerudiana na mercy, nakushauri muache mage usije ukamuumiza dada wa watu, namuonea huruma kujiingiza kwenye mapenzi na mwanaume asijielewa asiyejua yeye ni mwanaume kwamba akisema No ni No, Yes ni Yes......Mercy Mercy mfyuuuuuuuuuuuu......siku si nyingi utarudishwa hospital na ugonjwa wako na ndio itakuwa nitolee hiyo
 
Nime heal and nampenda sana Mage mwez wa 7 Mungu akipenda nitawatumia picha nipo na mke wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…