Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Mpaka sasa bado unampenda sana Mercy na huna uwezo wa kumuacha maana kama ungetaka kuachana nae ungelikuwa umeachana nae muda mrefu. Acha kujitesa we endelea kufurahia hiyo mbususu ya singo maza ila ukitaka kuteseka milele basi oa huyo singo mama
NB: NDOA NI UTAPELI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DAKTARI ALIFANYA NIKAMPOTEZA MCHUMBA WANGU MERCY

A necessary continuity

Kama jinsi tulivoishia, nilipona yale matatizo niliyotapata kutokana na sekeseke la Mercy na Dokta. Lakini pia Mercy aliendelea kulea mtoto wake huko kwao kaskazini.

Mimi nilipata issue nikaja Tanga na kama tunavojua Tanga ni karibu na mikoa ya Kilimanjaro na Arusha.
Mawasiliano yaliendelea na Mercy alionyesha kunijali na kufanya kila njia ili niweze kusahau na kumsamehe kabisa kwa yale alonifanyia. Alikuwa mtu wa kujilaumu na kujistukia sana kifupi alikuwa na guilty na alikuwa ana regret sana.

Mercy aliendelea kuniplease kwa kunifanyia vitu mbali mbali lakini pia alijikeep sana close to me kupitia mawasiliano ya cm.

Mwezi wa 7 mwaka jana(2023) nilikuwa tyr nipo huku Tanga na alipofaham kwamba nipo Tanga alifurahi sana akawa anajisemesha "alipangalo Mungu binadam ni ngumu kulipangua" nilimuliza alikuwa anamaanisha nini lakini alinizuga zuga hakumambia alikuwa anamaanisha nini.

Mimi ni mtu mzima na nauwezo wa kung'amua mambo nikawa nishamuelewa japo nilipatwa na hofu kidogo maana mapenz hayana adabu na nilifikiria na kushauri nilopata kutoka kwa wadau hapa jamvini nazidi kujiona kwamba nina kibarua cha kukaa chini na kufanya maamuzi sahihi zaidi juu ya hii ishu.

MERCY alianza kuforce yeye kuja huku Tanga anione akidai kanimiss sana. Mimi kumkwepa nikawa namwambia atulie kwanza mtoto angalau achangamke maana kilikuwa bado kichanga.

Akawa ananilalamikia sana akidai sina tena mapenzi naye kwasababu amezaa na mtu mwingine, akawa anasema namchukia sana kwasabb amenifanyia unyama sana. Haya yote nikawa naona ni kama alikuwa anajutia kwa alinifanyia na nilimuona ni kama alikuwa na depression kiasi flan maana malalamiko yalikuwa hayakati, alituma text nikachelewa kujibu basi ntaandikiwa essay ya malalamiko mpka nikome.

Bro wangu ambaye pia alinisimamia mwanzo mwisho wakati naumwa mpka nikapona alikuwa ashanionya kuhusu Mercy akanambia kamwe nisiruhusu moyo wangu umrudishe tena Mercy katika maisha yangu. Hii ni kwasababu alitoboka sana mfuko na kiukweli kama angepiga mahesabu ya pesa ilotumika kunitibia basi ingepatikana pesa ya kutosha tu na ukizingatia chanzo ni mapenz basi watu huwa wanachukulia kama ni upuuzi na kuwachukulia victims kama ni wapumbavu na ma bongolala sana.

Nilikazia hapo hapo kwamba Mercy asije Tanga hiyo ilikuwa mwez wa 7 mwaka jana.....

See you ndugu zangu.......
Hivi bado mna hangaika kumshauri uyu dogo ? amna mtu hapa
 
Tuendeleee.......

Mercy aliendelea kunisumbua ili aje Tanga lakini namimi nikakaza sana na kumuomba Mungu nisiingie kwenye mitego yake tena.
Nilifanya kila mbinu ili kumkatisha tamaa Mercy asitishe kutaka kuja Tanga kuniona.
Nilipata wazo la kutafuta sababu ili tugombane kila mtu aendelee na mambo yake lakini mwisho wa siku anakaa kimya week weeks mbili ananitafuta tena.
Nisipojibu mesej wala kupokea cm zake anatumia namba nyengine kunitafuta.

Sasa mwezi wa tisa mwaka jana alinambia kwamba ananiona simpendi tena kwasababu tayar anamtoto. Akanambia yeye kuwa na mtoto ambaye siyo wangu siyo tatizo na kuna wanaume wengi ambao wanamtaka vilevile alivo na mtoto.

Alivonambia vile nikamjibu kwamba kama kapata wa kuolewa naye basi aolewe aachane namimi.
Hii kauli ni kama niliuchochea moto nilishushiwa ma sms mixer ma cm ya kutosha akilalamika kwamba simpend mpka namruhusu aolewe na wengine basi nikawa cmjibu na ilifika hatua nikawa sipokei tena sm zake.

Hakuchoka akawa anatumia namba mpya kunitafuta na kuendelea kulalamika mpk nikaanza kuwa nakwazika kutokana na malalamiko yake.

Sasa hapa mpka nabaki dilemma hivi mwanamke anaweza kupretend vyote hivi na bado akawa hakupendi?

Sio kwamba maumivu alonisababshia kipindi tupo chuo nimeyasahau hapana ila ananichanganya kwahiyo Nia na nguvu alokuja nayo kipindi hiki.


See you later.......
 
Tuendeleee.......

Mercy aliendelea kunisumbua ili aje Tanga lakini namimi nikakaza sana na kumuomba Mungu nisiingie kwenye mitego yake tena.
Nilifanya kila mbinu ili kumkatisha tamaa Mercy asitishe kutaka kuja Tanga kuniona.
Nilipata wazo la kutafuta sababu ili tugombane kila mtu aendelee na mambo yake lakini mwisho wa siku anakaa kimya week weeks mbili ananitafuta tena.
Nisipojibu mesej wala kupokea cm zake anatumia namba nyengine kunitafuta.

Sasa mwezi wa tisa mwaka jana alinambia kwamba ananiona simpendi tena kwasababu tayar anamtoto. Akanambia yeye kuwa na mtoto ambaye siyo wangu siyo tatizo na kuna wanaume wengi ambao wanamtaka vilevile alivo na mtoto.

Alivonambia vile nikamjibu kwamba kama kapata wa kuolewa naye basi aolewe aachane namimi.
Hii kauli ni kama niliuchochea moto nilishushiwa ma sms mixer ma cm ya kutosha akilalamika kwamba simpend mpka namruhusu aolewe na wengine basi nikawa cmjibu na ilifika hatua nikawa sipokei tena sm zake.

Hakuchoka akawa anatumia namba mpya kunitafuta na kuendelea kulalamika mpk nikaanza kuwa nakwazika kutokana na malalamiko yake.

Sasa hapa mpka nabaki dilemma hivi mwanamke anaweza kupretend vyote hivi na bado akawa hakupendi?

Sio kwamba maumivu alonisababshia kipindi tupo chuo nimeyasahau hapana ila ananichanganya kwahiyo Nia na nguvu alokuja nayo kipindi hiki.


See you later.......
Isee mtihani huo kiukwel bado anakupenda,uamuz upo kwako kurudiana nae au kumpotezea
 
Tuendeleee.......

Mercy aliendelea kunisumbua ili aje Tanga lakini namimi nikakaza sana na kumuomba Mungu nisiingie kwenye mitego yake tena.
Nilifanya kila mbinu ili kumkatisha tamaa Mercy asitishe kutaka kuja Tanga kuniona.
Nilipata wazo la kutafuta sababu ili tugombane kila mtu aendelee na mambo yake lakini mwisho wa siku anakaa kimya week weeks mbili ananitafuta tena.
Nisipojibu mesej wala kupokea cm zake anatumia namba nyengine kunitafuta.

Sasa mwezi wa tisa mwaka jana alinambia kwamba ananiona simpendi tena kwasababu tayar anamtoto. Akanambia yeye kuwa na mtoto ambaye siyo wangu siyo tatizo na kuna wanaume wengi ambao wanamtaka vilevile alivo na mtoto.

Alivonambia vile nikamjibu kwamba kama kapata wa kuolewa naye basi aolewe aachane namimi.
Hii kauli ni kama niliuchochea moto nilishushiwa ma sms mixer ma cm ya kutosha akilalamika kwamba simpend mpka namruhusu aolewe na wengine basi nikawa cmjibu na ilifika hatua nikawa sipokei tena sm zake.

Hakuchoka akawa anatumia namba mpya kunitafuta na kuendelea kulalamika mpk nikaanza kuwa nakwazika kutokana na malalamiko yake.

Sasa hapa mpka nabaki dilemma hivi mwanamke anaweza kupretend vyote hivi na bado akawa hakupendi?

Sio kwamba maumivu alonisababshia kipindi tupo chuo nimeyasahau hapana ila ananichanganya kwahiyo Nia na nguvu alokuja nayo kipindi hiki.


See you later.......
Nakukumbusha tu singo maza wengi wanatafunwa na kuachwa hivyo kwako kang'ang'ania tu kwasababu anajua udhaifu wako juu yake na anauhakika wa ndoa kwako.
NB: singo mama huwa haachani na baba mtoto wake hata kama ameolewa, weka hili akilini kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuendeleee.......

Mercy aliendelea kunisumbua ili aje Tanga lakini namimi nikakaza sana na kumuomba Mungu nisiingie kwenye mitego yake tena.
Nilifanya kila mbinu ili kumkatisha tamaa Mercy asitishe kutaka kuja Tanga kuniona.
Nilipata wazo la kutafuta sababu ili tugombane kila mtu aendelee na mambo yake lakini mwisho wa siku anakaa kimya week weeks mbili ananitafuta tena.
Nisipojibu mesej wala kupokea cm zake anatumia namba nyengine kunitafuta.

Sasa mwezi wa tisa mwaka jana alinambia kwamba ananiona simpendi tena kwasababu tayar anamtoto. Akanambia yeye kuwa na mtoto ambaye siyo wangu siyo tatizo na kuna wanaume wengi ambao wanamtaka vilevile alivo na mtoto.

Alivonambia vile nikamjibu kwamba kama kapata wa kuolewa naye basi aolewe aachane namimi.
Hii kauli ni kama niliuchochea moto nilishushiwa ma sms mixer ma cm ya kutosha akilalamika kwamba simpend mpka namruhusu aolewe na wengine basi nikawa cmjibu na ilifika hatua nikawa sipokei tena sm zake.

Hakuchoka akawa anatumia namba mpya kunitafuta na kuendelea kulalamika mpk nikaanza kuwa nakwazika kutokana na malalamiko yake.

Sasa hapa mpka nabaki dilemma hivi mwanamke anaweza kupretend vyote hivi na bado akawa hakupendi?

Sio kwamba maumivu alonisababshia kipindi tupo chuo nimeyasahau hapana ila ananichanganya kwahiyo Nia na nguvu alokuja nayo kipindi hiki.


See you later.......
Unatunyima Utamu wengi Ukiweka Muendelezo humu..
Fungua Uzi kabisa mwingine utupe mrejesho vizuri tuufatilie..
Ukiweka humu wengi tutaona ni story ile ile iloisha na Watu wanachat tu..
 
Tunajua mwisho wa siku ulimpa mimba, katika kujifungua akapoteza maisha....

Sisi tunachotaka kujua, ni kwa namna gani huyo daktari alihusika ktk kusababisha kifo cha mchuchu wako?

Hayo maelezo ya namna mlivyopeana mimba, sijui ukamuweka popo kanyea mbingu, sijui ukamzamia chumvini mpaka aka squirt sisi hayatusaidiii..
😂😂😂😂 nchi ngumu hii
 
Back
Top Bottom