Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Baiskeli niliendesha kitambo utotoni huko, kwanza chuo gani hiko wanapakizana kwenye phonex kwenda kwenye vipindi!! 🤣🤣🤣🤣Mahaba ya mkoani haya baiskeli wanaiona kama rangeee ya Mobeto🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baiskeli niliendesha kitambo utotoni huko, kwanza chuo gani hiko wanapakizana kwenye phonex kwenda kwenye vipindi!! 🤣🤣🤣🤣Mahaba ya mkoani haya baiskeli wanaiona kama rangeee ya Mobeto🤣🤣
Imeendelea 😂😂😂
Kwahiyo upo kutafuta vitumbua?? Mbona hivo hata binamu zako wanavyo tena vilivyoungua we jisevie kwenu mkuu!Kutoa si unatoa tu kwani naondoka nayo, yaani kitumbua nacho ni kitu cha kumnyima mtu kweli, nahuku raha tunapata wote, tena mwanamke ndo anapata raha zaidi ya mwanaume. Halafu PM yako umeifunga dah
Kama sio SUA ni TEKU unaanzaje kupakizwa kwenye phonex pale UDSM🤣🤣🤣Baiskeli niliendesha kitambo utotoni huko, kwanza chuo gani hiko wanapakizana kwenye phonex kwenda kwenye vipindi!! 🤣🤣🤣🤣
Penzi lilininogea sitaki kusikia la muazini wala mnadi swala 🤣🤣🤣🤣🤣Anazingua, story ilivyokuwa ya moto yeye alikuwa anakatakata vitunguu🤣
SUA nawatetea hawana ujinga huo, hii Teofilo ni walimu ndio wana ujinga huu wa kushona mpk vitenge sare 🤣🤣🤣🤣🤣Kama sio SUA ni TEKU
Alikuwa kwenye kwaresima madai yakeAnazingua, story ilivyokuwa ya moto yeye alikuwa anakatakata vitunguu🤣
Si wenzie ilitunogeaa😋😋😋Alikuwa kwenye kwaresima madai yake
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimelia sanaSUA nawatetea hawana ujinga huo, hii Teofilo ni walimu ndio wana ujinga huu wa kushona mpk vitenge sare 🤣🤣🤣🤣🤣
Umeshasoma muendelezo...bi dada anataka amfate TangaSi wenzie ilitunogeaa😋😋😋
Heee Kuna muendelezo kumbe?Umeshasoma muendelezo...bi dada anataka amfate Tanga
Pita hapo comment za juu kawekaHeee Kuna muendelezo kumbe?
😂😂😂😂😂 Anitha, Anitha wangu.🤣🤣🤣Eti Anitha una kumbuka vitu vya kijinga sana
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimelia sana
🤣🤣🤣🤣🤣Enzi unasoma Forest?mna roho mbaya sana😂😂😂😂😂 Anitha, Anitha wangu.
Nimekumbuka kuna siku tulitoroka tukaenda show ya Matonya, sasa si mzuka ukapanda akajirusha ili wamdake!! Aiseeee watoto wa Moro jau!!! Walimdaka wakamvua cheni, viatu mpk jeans kisha wakamtupia jukwaani na pensi lake la reebok 🤣🤣🤣🤣🤣
PoaPita hapo comment za juu kaweka
🤣🤣🤣🤣 vibaka wa sabasaba na chamwino sio mchezo mchezo..!!! Moro napamiss sana!!🤣🤣🤣🤣🤣Enzi unasoma Forest?mna roho mbaya sana
Mungu ni mkubwa sanaMbona umechelewa mage ulikuwa wapii😂