Inavyosemekana alijiendeleza kwa elimu ya biashara mkuu.Bakharesa hajasoma lakin kaajiri wasomi. Hivi kweli hajajiendeleza kweli kielimu au kuhudhuria course fupi fupi?
Asee hukusoma comments za juu.Dogo inaonyesha bado upo shule..
Hzo stethoscope na thermometer zinatengenezwa na nani?.
Hizo amplicox zinazalishwa kwa fermentation, najua hayo huyajui unafikiri who run those fermenters?.
Halafu unasema upo kituo cha afya then et unalipwa 950k, serikali gani hiyo inalipa maco kiasi hicho?.
Hapo kwenye red nimegundua sasa wewe ni half cooked idiot
Na nyie ndio aina ya madaktari tulionao huku..Akija mgonjwa mwenye shule akiwachimbisha mnapaniki kuwa mnafundishwa kazi kumbe hakuna mjualo halafu mpo hapa kudai muongezewe pesa...Kuleni laki sita hiyo
Ni kweli tupu. Umeongea ukweli mtupuMkuu utamlaumu jamaa bure; mwili wa binadamu ni kitu ambacho haibadiliki badiliki. Inayo mfumo na principle inayofahamika kwamba ukitaka kufanya upasuaji wa moyo unatkiwa kuanza na hiki na hiki; ukitaka kufanya upasuaji wa kichwa unatakiwa uanze na hiki na hiki tofauti na hapo utakua siyo mtaalam.
Sasa turudi kwenye fani ya uhandisi wao wanashughulika na vitu ambavyo havina sheria maalum au principle timizi. Leo daktari atamwambia tunapata shida na madhara yatokanayo na kuchoma watu sindano tunapochukua vipimo hivyo tunaitaji vifaa ambavyo tutatumia kuchukua vipimo vya damu bila kuchoma mtu.sindano hapo ndo akili inaanza kutumika kuipata vipimo.
Kuna jengo lipo Pale kariakoo chini first floor imearibika ila floor za juu ni nzima hivyo afanye maarifa ili ya chini irekebishwe bila zingine kuleta madhara ujue hapo haina sheria maalum.
Kwenye tiba tunajiushisha na dalili.; hivyo miongoni mwa dalili hizi kuna kitu kati ya hizi mgonjwa atakua nazo.
Kuna matumizi makubwa sana ya akili kwa wahandisi zaidi ya koda zote; na wataalam walishaipigia kura mara nyingi sana.
Hoja yako ulipoianza nimeipenda, ni kweli kumlipa Civil Engineer zaidi ya Daktari wa binadamu haiingii akilini. Labda aliyepanga ngazi za mishahara alikuwa Civil Engineer. Majukumu na uwajibikaji wao ni mbalimbàli lakini risk pia ni kubwa kwa Dokta kuliko Injinia. Hili ni tatizo lililoanzishwa na ukurupukaji na sasa waneshindwa kulitafutia dawa hata walipounda tume ya mishahara ambayo nayo imeshindwa kurekebisha tatizo zaidi ya kelele za "Tumefikia hatua nzuri".
Hata hivyo udhaifu huo hauwezi kuhalalisha uonezi wanaofanyiwa walimu. Ifike mahali tujue chanzo cha maarifa yote ni Mwalimu. Hata hiyo miaka 5 ya Daktari hawi peke yake, anakuwa na Mwalimu kwa muda huo wote. Daktari ni mwanafunzi kwa miaka 5-7 kama ulivyosema, lakini Mwalimu ni mwanafunzi muda wote wa maisha yake. Kazi yake ni kutotoa Madaktari, Mainjinia, Wachumi, na kuabort mbumbumbu ambao wengine wanageuka kupanga mshahara wake wakitokea kwenye siasa ambako ni Kokoro la waliomo na wasiokuwamo.
Mwalimu ni Kila kitu ingawaje anaonekana si kitu.
Sawa kaka lakini ukizungumzia ktk kutumia akili hata madaktari hutumia tena sana.Mkuu utamlaumu jamaa bure; mwili wa binadamu ni kitu ambacho haibadiliki badiliki. Inayo mfumo na principle inayofahamika kwamba ukitaka kufanya upasuaji wa moyo unatkiwa kuanza na hiki na hiki; ukitaka kufanya upasuaji wa kichwa unatakiwa uanze na hiki na hiki tofauti na hapo utakua siyo mtaalam.
Sasa turudi kwenye fani ya uhandisi wao wanashughulika na vitu ambavyo havina sheria maalum au principle timizi. Leo daktari atamwambia tunapata shida na madhara yatokanayo na kuchoma watu sindano tunapochukua vipimo hivyo tunaitaji vifaa ambavyo tutatumia kuchukua vipimo vya damu bila kuchoma mtu.sindano hapo ndo akili inaanza kutumika kuipata vipimo.
Kuna jengo lipo Pale kariakoo chini first floor imearibika ila floor za juu ni nzima hivyo afanye maarifa ili ya chini irekebishwe bila zingine kuleta madhara ujue hapo haina sheria maalum.
Kwenye tiba tunajiushisha na dalili.; hivyo miongoni mwa dalili hizi kuna kitu kati ya hizi mgonjwa atakua nazo.
Kuna matumizi makubwa sana ya akili kwa wahandisi zaidi ya koda zote; na wataalam walishaipigia kura mara nyingi sana.
Mkuu hongera sana umetowa jibu zuri mno. Sisi wahandisi tunafanya mazingira kuwa rahisi kuishi bila kero.Mkuu utamlaumu jamaa bure; mwili wa binadamu ni kitu ambacho haibadiliki badiliki. Inayo mfumo na principle inayofahamika kwamba ukitaka kufanya upasuaji wa moyo unatkiwa kuanza na hiki na hiki; ukitaka kufanya upasuaji wa kichwa unatakiwa uanze na hiki na hiki tofauti na hapo utakua siyo mtaalam.
Sasa turudi kwenye fani ya uhandisi wao wanashughulika na vitu ambavyo havina sheria maalum au principle timizi. Leo daktari atamwambia tunapata shida na madhara yatokanayo na kuchoma watu sindano tunapochukua vipimo hivyo tunaitaji vifaa ambavyo tutatumia kuchukua vipimo vya damu bila kuchoma mtu.sindano hapo ndo akili inaanza kutumika kuipata vipimo.
Kuna jengo lipo Pale kariakoo chini first floor imearibika ila floor za juu ni nzima hivyo afanye maarifa ili ya chini irekebishwe bila zingine kuleta madhara ujue hapo haina sheria maalum.
Kwenye tiba tunajiushisha na dalili.; hivyo miongoni mwa dalili hizi kuna kitu kati ya hizi mgonjwa atakua nazo.
Kuna matumizi makubwa sana ya akili kwa wahandisi zaidi ya koda zote; na wataalam walishaipigia kura mara nyingi sana.
Dogo inaonyesha bado upo shule..
Hzo stethoscope na thermometer zinatengenezwa na nani?.
Hizo amplicox zinazalishwa kwa fermentation, najua hayo huyajui unafikiri who run those fermenters?.
Halafu unasema upo kituo cha afya then et unalipwa 950k, serikali gani hiyo inalipa maco kiasi hicho?.
Hakuna wanataaluma wanayojitosheleza hapa tanzania kulinganisha na wanataaluma wa ulaya.Hao ni Maeng wa Mbelee.. Eng wa bongo michosho tu!
Sasa si bora hao wanapata hiyo, huyo aliyewawezesha mpaka wakajua kusoma na kuandika analipwa sh ngapi!?
Afadhali ya hiyo darasa la saba mwanasiasa RC anapata 6M au mbunge anapata mamilioni
Naomba nikupe heshima yako [emoji108]Hoja yako ulipoianza nimeipenda, ni kweli kumlipa Civil Engineer zaidi ya Daktari wa binadamu haiingii akilini. Labda aliyepanga ngazi za mishahara alikuwa Civil Engineer. Majukumu na uwajibikaji wao ni mbalimbàli lakini risk pia ni kubwa kwa Dokta kuliko Injinia. Hili ni tatizo lililoanzishwa na ukurupukaji na sasa waneshindwa kulitafutia dawa hata walipounda tume ya mishahara ambayo nayo imeshindwa kurekebisha tatizo zaidi ya kelele za "Tumefikia hatua nzuri".
Hata hivyo udhaifu huo hauwezi kuhalalisha uonezi wanaofanyiwa walimu. Ifike mahali tujue chanzo cha maarifa yote ni Mwalimu. Hata hiyo miaka 5 ya Daktari hawi peke yake, anakuwa na Mwalimu kwa muda huo wote. Daktari ni mwanafunzi kwa miaka 5-7 kama ulivyosema, lakini Mwalimu ni mwanafunzi muda wote wa maisha yake. Kazi yake ni kutotoa Madaktari, Mainjinia, Wachumi, na kuabort mbumbumbu ambao wengine wanageuka kupanga mshahara wake wakitokea kwenye siasa ambako ni Kokoro la waliomo na wasiokuwamo.
Mwalimu ni Kila kitu ingawaje anaonekana si kitu.
kama hakutoshi njoo tulinde geti la kanjibahi hapa Upanga mwisho wa mwezi napokea Tsh 120,000/ na tukufundishe kunywa maji ya kandoro unayosemaga yanaumiza matumbo na tunalala kwenye mabox wakati huo kanjibahi anatengeneza watoto
gloss = grossAngalia muda wanaokaa darasani na kumbuka hizo ni gloss salary take home hapo ni 800,000 yaani hiyo ndio ya kuitafuta kwa miaka 5 university?
Siyo kweli serikali kuu mishahara ni sawa na wa halmashauriAchana na hao wa taasisi nazungumzia watu wa serikali kuu,Tanroads hapo ni case study tu lakini wahandisi wanaolipwa kidogo ni wa halmashauri lakini wa serikali kuu ukiacha hao wa Tanroads na Tarura wako vizuri sana kuliko madaktari
Mkuu mwalimu anaefundisha watu udaktarii analipwa bei gani...?Hoja yako ulipoianza nimeipenda, ni kweli kumlipa Civil Engineer zaidi ya Daktari wa binadamu haiingii akilini. Labda aliyepanga ngazi za mishahara alikuwa Civil Engineer. Majukumu na uwajibikaji wao ni mbalimbàli lakini risk pia ni kubwa kwa Dokta kuliko Injinia. Hili ni tatizo lililoanzishwa na ukurupukaji na sasa waneshindwa kulitafutia dawa hata walipounda tume ya mishahara ambayo nayo imeshindwa kurekebisha tatizo zaidi ya kelele za "Tumefikia hatua nzuri".
Hata hivyo udhaifu huo hauwezi kuhalalisha uonezi wanaofanyiwa walimu. Ifike mahali tujue chanzo cha maarifa yote ni Mwalimu. Hata hiyo miaka 5 ya Daktari hawi peke yake, anakuwa na Mwalimu kwa muda huo wote. Daktari ni mwanafunzi kwa miaka 5-7 kama ulivyosema, lakini Mwalimu ni mwanafunzi muda wote wa maisha yake. Kazi yake ni kutotoa Madaktari, Mainjinia, Wachumi, na kuabort mbumbumbu ambao wengine wanageuka kupanga mshahara wake wakitokea kwenye siasa ambako ni Kokoro la waliomo na wasiokuwamo.
Mwalimu ni Kila kitu ingawaje anaonekana si kitu.