ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #41
Zaidi ya 15,000 kwa sikuHapa ndo umeharibu kila kitu... kulipwa vizuri ndo kiwango gani!!
Risks zipi unazomaanisha?
Kila kazi ina umuhimu wake ila ualimu ni proffession inayoweza ibadili jamii kifikra na kuleta mageuzi katika nyanja zote ama kuleta taifa lisilokuwa na uelekeo.
Kwa wenye fikra fupi na kutegemea matokeo ya papo kwa papo hawawezi tambua hili.
Kwa zama hizi ambazo kila kitu lazima ugharamike maswala ya wito hayapo tena.
Waalimu kwa nyanja zote wapewe heshima na motisha kwa kazi hii..
Swala sio kusomea,hoja ni kulipa mishahara kulingana na uzito wa kazi,mkija na unadhani kutoa uvimbe kwenye anus yako ni kazi rahisi?Kasomee ubunge una pesa nzuri
Kinachozuia serikali kulipa kama hizo taasisi au mashirika ni nini?tatizo dr anaajiliwa na wizara na sio taasisi kama ilivyo kwa mhandisi wa TANROAD, laiti kungekuwa na shirika au taasisi inayojiendesha yenyewe upande wa afya wangekula ndefu sana. mishahara mikubwa katika mashirika makampuni na taasisi za serikali lakini serikali kuu nothing. mfano nenda shirika la Elimu Kibaha pale ml wa degree anaanza na 1M lakini wa wizara 700k even madaktari pale ni juu. yote ni kwa sababu hizi taasisi zinatoa salary inayopamgwa na board
Siasa sio kazi ya kuajiliwa na serikali bali nyie wapiga kula ndio mumewaajili kwa mshahara huoSasa unataka alipwe laki 2,mbona mbunge msukuma anapata zaidi ya milioni 8 kwa mwezi ulalamiki?acha wivu alafu sio taasisis zote mhandisi analipwa hivyo
kituko cha mwakaKawaida Mhandisi anatumia akili kubwa kwenye kazi kuliko Daktari.
Daktari anakuuliza dalili za tatizo na kujua ugonjwa lakini Mhandisi anatumia akili nyingi kuvumbua tatizo
Nenda jukwaa la biashara huku umeingia kujitapa tu huhusikiMimi nayefuga kuku..sina hata diglii ninabeba 8m kwa mwezi
Hufaham kitu kuhusu taaluma ya udaktari.Kawaida Mhandisi anatumia akili kubwa kwenye kazi kuliko Daktari.
Daktari anakuuliza dalili za tatizo na kujua ugonjwa lakini Mhandisi anatumia akili nyingi kuvumbua tatizo
......False!Kawaida Mhandisi anatumia akili kubwa kwenye kazi kuliko Daktari.
Daktari anakuuliza dalili za tatizo na kujua ugonjwa lakini Mhandisi anatumia akili nyingi kuvumbua tatizo
Kuomba rushwa ni tabia wala haihusiani na ulichokiandikaSiasa sio kazi ya kuajiliwa na serikali bali nyie wapiga kula ndio mumewaajili kwa mshahara huo
Mimi nazungumzia mwajiri wangu serikali,afu soma upya nani amesema hayo yaliyoandikwa?
Hatuna gloss bali tuna grossUdaktari tiba ni fani nyeti na ngumu sana lakini cha kushangaza daktari anapata salary ya Tsh.1,500,000 gloss hukuhandisi wa Civil pale TANROADS(case study) anapata 2,000,000
Clinical officer/tabibu =950,000 huku Civil Technician=1,118,000 per month
Kwa staili hii case za rushwa zitaisha huko hospitali na vituo vya afya?
Tafadhali serikali wapeni madaktari uzito unaostahili kwenye malipo,wanatumia kusoma na wanaumia kazini.
Hata kwenye stahiki za posho na benefits zingine daktari hamfikii mhandisi lakini pia mhandisi hasa wa civil wako kwenye industry ambayo possibility ya yeye kupata pesa ni kubwa kuliko watu wa afya hadi semina zije.
Chonde chonde serikali mnapopanga viwango mliangalie hili na ule mpango wa kuwianisha malipo ya wafanyakazi walio na elimu moja limeishia wapi?
Acha kutetea tetea pasipo logic, huwezi kumlinganisha mtu anaeokoa maisha ya watu na Mwalimu anaefundisha kutoka kwenye kitabu Kazi Ya Mwalimu ni nyepesi mno Na isingekuwa nyepesi watu hawangekuwa wanaenda kurundikana huko, wewe huoni wavivu wooote wa darasani hukimbilia ualimu? Mtu anaenda kupasua kichwa cha mtu amtoe uvimbe Halafu amshone than unamlinganisha Mwalimu kweli? Acha kulinganisha udaktari na ualimu Kwanzaa inatakiwa Mwalimu apate asilimia 20 ya mshahara wa daktari
Kama haikidhi mahitaji yako acha kazi wekeza muda wako kwenye kitu unachoona kina manufaa kwako,kumbuka mshahara haujawahi kutosha matumiziAngalia muda wanaokaa darasani na kumbuka hizo ni gloss salary take home hapo ni 800,000 yaani hiyo ndio ya kuitafuta kwa miaka 5 university?
Eng wa bongo taka takaa tu... Yani mchina kaja Kaweka tu mabati pale Ubungo foleni kwisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Maeng wetu hakuna kitu ni mzigo tu kwa taifa..!Hii imekaa kwa kukariri kidogo.
Sidhani kama unazijua vizuri kazi za hao wataalamu.
Engineer wa bongo anafanys uvumbuzi?
Daktari MD anatumia akili sana kukuandikia vipimo sahihi baada ya kukusikiliza na kukuona kwa macho.
Ujue dalili za magonjwa mengi zinafanana sana kiasi kwamba dokta hasipotumia akili kibwa anaweza asikuandike vipimo sahihi na mwisho unakosa tiba sahihi ya tatizo la na kusababisha ukumbwe na mauti au ulemavu.
Ukimzungumzia daktri tunazungumzia kati ya kifo na kuishi(maisha).
Nawaheshimu wote wanatumis akili kubwa sana hongera zao. I wish I could be one of them. I mean either a doctor or an engineer.
yameanzishwa na kanuni za bunge mf TANROAD hajanzisha waziri wala rais bali kanuni zake zimetungwa bungeni even namna ya mishahara kuwa hupangwa na board hujawahi sikia kamishna wa TRA kulipwa 35M kwa mwezi. zimepewa meno na bunge sio kama wewe uliopo wizaraniKinachozuia serikali kulipa kama hizo taasisi au mashirika ni nini?
Kwa nini hizi agency au taasisi au mashirika wajipangie mshahara alafu hazina ilipe tu bila kujali maslahi ya wengine?
Sina hakika kama mtoa mada analijua hili,huenda kaanzisha mada pasipo tafiti za kutosha kutetea hoja yakeMlinganisho wako sio sahihi kwa upande mmoja.
Umeongelea TANROADS ambayo ni Taasisi, zungumzia mshahara wa daktari katika Taasisi kama vile MUHIMBILI ndio utapata usawa.
Je,unafahamu mshahara wa Civil katika ngazi ya serikali ya mtaa ni kiasi gani na MD nae ni kiasi gani?!
Halafu kwenye Case ya CO umepotosha kidogo kwa kumzidishia kiasi fulani, yeye anapata 680,000 kwa mwezi na sio 980,000/.
Nawasilisha..!
Ungeweza kuiandikwa kwa namna nzuri tu umemdhihaki usiwe kama wale au ndo kundi lile mm ni mdau wa afya naweka wazi na siifanyi kama wito na nimetoboa kwa kiasi flaniUdaktari ni wito kama umesoma ili utajirike umepotea njia