Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

Unamdharau mhandisi wakati huwezi kutibu ukiwa chini ya mwembe unahitaji majengo mazuri kwa sjili ya kufanyia kazi,
Ambulance zinahitaji barabara rafiki ili ziweze kumuwahisha mgonjwa, umeme unahitajika ili kutoa huduma bora ya matibabu n.k
Hizo risk kila sehemu zipo wahandisi pia wanagusa maisha ya watu bila wao kuwa makini lundo la wagonjwa lingeongezeka. Ushafikiria mtu anayeoperate power plant, boiler, au hata anayejenga ghorofa na daraja akiwa careless kitu gani kitatokea?.
 
Kawaida Mhandisi anatumia akili kubwa kwenye kazi kuliko Daktari.

Daktari anakuuliza dalili za tatizo na kujua ugonjwa lakini Mhandisi anatumia akili nyingi kuvumbua tatizo
Siwezi kukulaumu kwa usichokijua. Kila mtu anafanya kazi yake kwa akili ya hali ya juu ili maisha ya mwenzake au ndugu yazid kuimarika. Kazi yetu ni ya weledi wa hali ya juu, iwapo unaona tunatua akili ndogo [emoji23][emoji23][emoji23] ukija tutakutibu kwa hali ya juu ili usipoteze maisha. Asante lakn kwa kutuundermine. Mie naheshimu mawazo yako.
 
Kawaida Mhandisi anatumia akili kubwa kwenye kazi kuliko Daktari.

Daktari anakuuliza dalili za tatizo na kujua ugonjwa lakini Mhandisi anatumia akili nyingi kuvumbua tatizo
Ktk comment uliyoboronga n hii mkuu....coz namba moja kwa ugumu duniani n MD...ugumu wa udaktar huwez kuujua wewe mgonjwa unless u attend medical school....yaan huu ulioandika n uharo
 
Ktk comment uliyoboronga n hii mkuu....coz namba moja kwa ugumu duniani n MD...ugumu wa udaktar huwez kuujua wewe mgonjwa unless u attend medical school....yaan huu ulioandika n uharo
mkuu kila taaluma ni muhimu sema walopanga scale ya mishahara labda walikosea wao, mie si mwalimu ila nadhani walimu wangepaswa kuangaliwa kwa jicho la pili pia na sekta nyingine ka za wahandisi,afya, na nyingine
 
Ktk comment uliyoboronga n hii mkuu....coz namba moja kwa ugumu duniani n MD...ugumu wa udaktar huwez kuujua wewe mgonjwa unless u attend medical school....yaan huu ulioandika n uharo
Ugumu unategemeana na mtu mwenyewe. Kama kichwa chako ni kizito lazima utaona kuna ugumu tu hata kama ni rahisi.
 
Siwezi kukulaumu kwa usichokijua. Kila mtu anafanya kazi yake kwa akili ya hali ya juu ili maisha ya mwenzake au ndugu yazid kuimarika. Kazi yetu ni ya weledi wa hali ya juu, iwapo unaona tunatua akili ndogo [emoji23][emoji23][emoji23] ukija tutakutibu kwa hali ya juu ili usipoteze maisha. Asante lakn kwa kutuundermine. Mie naheshimu mawazo yako.
Kifo ni mipango ya Mungu ikiwa siku yako imefika hakuna anaeweza kuzuia kwani wangapi mnatibu na bado wanaaga dunia??
 
Mkuu kuhuzu hili nowadays madaktar favor ipo kuzid hao mahandisi.Labda nikikosea unirekebishe
Ukimtoa clinical officer
Kwanzia medical doctor mpk madaktari bingwa wana zile posho za kuhudumia watu waliojiandikisha bima na clinic. Na pia wanaruhusiwa kufanya kaz hospital zaidi ya moja kwasababu wanaingia kwa shift.
Asa jumlisha million 1.5 ya hospital A na ya Hospital B jumla ana million 3.Jumlisha na zile posho za bima ya afya na watu wa clinic za hospital A na B atakuwa ana pesa ngapi.
Na kwa daktari bingwa analipwa hela nyingi sana kaka.
Muhandisi yeyoye usimfananishe na daktari bingwa.
Specialist analipwa million 5 Mpk 6 kwa hospital za serikali za mtu binafsi mpk 7.
Aya akikamilisha shift za hospital mbili ZOte alizoweka mkataba jumla mwisho wa mwez ni million kumi na kitu bado posho zile za clinic na bima ya afya.
Mm ninao ndugu madaktari na wamechukua muda mfupi kupata mafanikio.
Nina baba mdogo orthopaedic surgeon alisoma miaka 9 akijiwekaz tyuu kielimu.
Baada ya kumaliza tyu akaingia muhimbili moi.
Na anafanya kazi pia Agha khan with in 3 years anatembelea BMW X 5 na audi na ana bonge bungalow na ana pharmacy pamoja na zahanati zinazomuingizia pesa chafu hakuna.
Maana watu watapungua mahotelini Lakn husikii ktk vituo vya afya wamepungua.
Daktari anayeumia ni clinical officer kwasababu anafanya kaz masaa mengi kuliko wote na analipwa mshahara wa chini laki tisa na nusu.
Ila hao wengine hususan ma specialist usiwafananishe na wahandisi kaka watakutoa damu.
Udaktari tiba ni fani nyeti na ngumu sana lakini cha kushangaza daktari anapata salary ya Tsh.1,500,000 gloss hukuhandisi wa Civil pale TANROADS(case study) anapata 2,000,000
Clinical officer/tabibu =950,000 huku Civil Technician=1,118,000 per month

Kwa staili hii case za rushwa zitaisha huko hospitali na vituo vya afya?

Tafadhali serikali wapeni madaktari uzito unaostahili kwenye malipo,wanatumia kusoma na wanaumia kazini.

Hata kwenye stahiki za posho na benefits zingine daktari hamfikii mhandisi lakini pia mhandisi hasa wa civil wako kwenye industry ambayo possibility ya yeye kupata pesa ni kubwa kuliko watu wa afya hadi semina zije.

Chonde chonde serikali mnapopanga viwango mliangalie hili na ule mpango wa kuwianisha malipo ya wafanyakazi walio na elimu moja limeishia wapi?
 
Hufaham kitu kuhusu taaluma ya udaktari.

Kwa hiyo operation za moyo, mgongo, kichwa n.k huwa anakuja kuzifanya engineer
Jengo unalotumia kufanya operation hujui Engineer kahusika?
Ambulance inayotumika kuleta wagonjwa hujui kua injinia kahusika katika utengenezaji wake?
Barabara je?
 
Back
Top Bottom