Mkuu kuhuzu hili nowadays madaktar favor ipo kuzid hao mahandisi.Labda nikikosea unirekebishe
Ukimtoa clinical officer
Kwanzia medical doctor mpk madaktari bingwa wana zile posho za kuhudumia watu waliojiandikisha bima na clinic. Na pia wanaruhusiwa kufanya kaz hospital zaidi ya moja kwasababu wanaingia kwa shift.
Asa jumlisha million 1.5 ya hospital A na ya Hospital B jumla ana million 3.Jumlisha na zile posho za bima ya afya na watu wa clinic za hospital A na B atakuwa ana pesa ngapi.
Na kwa daktari bingwa analipwa hela nyingi sana kaka.
Muhandisi yeyoye usimfananishe na daktari bingwa.
Specialist analipwa million 5 Mpk 6 kwa hospital za serikali za mtu binafsi mpk 7.
Aya akikamilisha shift za hospital mbili ZOte alizoweka mkataba jumla mwisho wa mwez ni million kumi na kitu bado posho zile za clinic na bima ya afya.
Mm ninao ndugu madaktari na wamechukua muda mfupi kupata mafanikio.
Nina baba mdogo orthopaedic surgeon alisoma miaka 9 akijiwekaz tyuu kielimu.
Baada ya kumaliza tyu akaingia muhimbili moi.
Na anafanya kazi pia Agha khan with in 3 years anatembelea BMW X 5 na audi na ana bonge bungalow na ana pharmacy pamoja na zahanati zinazomuingizia pesa chafu hakuna.
Maana watu watapungua mahotelini Lakn husikii ktk vituo vya afya wamepungua.
Daktari anayeumia ni clinical officer kwasababu anafanya kaz masaa mengi kuliko wote na analipwa mshahara wa chini laki tisa na nusu.
Ila hao wengine hususan ma specialist usiwafananishe na wahandisi kaka watakutoa damu.
Udaktari tiba ni fani nyeti na ngumu sana lakini cha kushangaza daktari anapata salary ya Tsh.1,500,000 gloss hukuhandisi wa Civil pale TANROADS(case study) anapata 2,000,000
Clinical officer/tabibu =950,000 huku Civil Technician=1,118,000 per month
Kwa staili hii case za rushwa zitaisha huko hospitali na vituo vya afya?
Tafadhali serikali wapeni madaktari uzito unaostahili kwenye malipo,wanatumia kusoma na wanaumia kazini.
Hata kwenye stahiki za posho na benefits zingine daktari hamfikii mhandisi lakini pia mhandisi hasa wa civil wako kwenye industry ambayo possibility ya yeye kupata pesa ni kubwa kuliko watu wa afya hadi semina zije.
Chonde chonde serikali mnapopanga viwango mliangalie hili na ule mpango wa kuwianisha malipo ya wafanyakazi walio na elimu moja limeishia wapi?