Ummayed
JF-Expert Member
- May 21, 2019
- 6,155
- 2,580
Wameboreshewa mkuu 950,000 c.o.
Kama ukimlipa clinical officer laki sita clinical assistant utamlipa shingapi?!
Kama ukimlipa clinical officer laki sita clinical assistant utamlipa shingapi?!
Mlinganisho wako sio sahihi kwa upande mmoja.
Umeongelea TANROADS ambayo ni Taasisi, zungumzia mshahara wa daktari katika Taasisi kama vile MUHIMBILI ndio utapata usawa.
Je,unafahamu mshahara wa Civil katika ngazi ya serikali ya mtaa ni kiasi gani na MD nae ni kiasi gani?!
Halafu kwenye Case ya CO umepotosha kidogo kwa kumzidishia kiasi fulani, yeye anapata 680,000 kwa mwezi na sio 980,000/.
Nawasilisha..!