Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Watu wakishasoma au wanaosoma medicine wanajionaga kuwa wao dio kila kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Suala la kusoma miaka 5 halina tija,hata mbunifu majengo anasoma miaka 5,nijuavyo mimi MD huwa na masomo mengi kulinganisha na kozi nyingine ukiamua mtu asome masomo 18 kwa semester hata miaka 3 unamalizaHujui unachokiongea wewe..! Jiulize kwanini wanasoma 5yrs + 1yr Internship
Hata digrii ya kiswahili ni ngumu,ugumu wa kitu uko kwa mtu mwenyewe sio somo husikaKigezo ni muda wa darasani na ugumu wa kozi husika, mwalimu kozi yake sio ngumu na hakai darasani muda mrefu , kingine mtu kujua kitu au kusoma kuna mchango mkubwa WA mhusika mwenyewe
Madaktari bana,kwa kujiweka wa kipekee hahahahhaaHoja yako ulipoianza nimeipenda, ni kweli kumlipa Civil Engineer zaidi ya Daktari wa binadamu haiingii akilini. Labda aliyepanga ngazi za mishahara alikuwa Civil Engineer. Majukumu na uwajibikaji wao ni mbalimbàli lakini risk pia ni kubwa kwa Dokta kuliko Injinia. Hili ni tatizo lililoanzishwa na ukurupukaji na sasa waneshindwa kulitafutia dawa hata walipounda tume ya mishahara ambayo nayo imeshindwa kurekebisha tatizo zaidi ya kelele za "Tumefikia hatua nzuri".
Hata hivyo udhaifu huo hauwezi kuhalalisha uonezi wanaofanyiwa walimu. Ifike mahali tujue chanzo cha maarifa yote ni Mwalimu. Hata hiyo miaka 5 ya Daktari hawi peke yake, anakuwa na Mwalimu kwa muda huo wote. Daktari ni mwanafunzi kwa miaka 5-7 kama ulivyosema, lakini Mwalimu ni mwanafunzi muda wote wa maisha yake. Kazi yake ni kutotoa Madaktari, Mainjinia, Wachumi, na kuabort mbumbumbu ambao wengine wanageuka kupanga mshahara wake wakitokea kwenye siasa ambako ni Kokoro la waliomo na wasiokuwamo.
Mwalimu ni Kila kitu ingawaje anaonekana si kitu.
Hahahaha hii kichekesho cha mwaka , jiulize kwann waalimu WA arts ni wengi kuliko waalimu WA sayansiHata digrii ya kiswahili ni ngumu,ugumu wa kitu uko kwa mtu mwenyewe sio somo husika
Udaktari sio wito ni huduma kama huduma nyingine. Wito wake unakuja kwenye maamuzi tunayochukua kuokoa maisha bila kuangalia nan anapata msaada. Ila haki kupata mshahara unaoendana na kazi tunazofanyaUdaktari ni wito kama umesoma ili utajirike umepotea njia
Wingi au uchache haina maana kozi hii ni ngumu na nyingine ni nyepesi,ugumu wa kitu uko mtu mwenyeweHahahaha hii kichekesho cha mwaka , jiulize kwann waalimu WA arts ni wengi kuliko waalimu WA sayansi
Kwa Hoja yako hii imenifanya nione hata ulichokiandika hakina maanaWalimu kwa sasa wanalipwa vizuri kuliko awali,na ukiangalia ugumu na risks za kazi ualimu sio mgumu wala sio risk Kama daktari
Hiyo yako haina garantii.Mimi nayefuga kuku..sina hata diglii ninabeba 8m kwa mwezi
Kijana utapata laana acha kutukana wajenzi wa taifa shauri yakoEng wa bongo taka takaa tu... Yani mchina kaja Kaweka tu mabati pale Ubungo foleni kwisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Maeng wetu hakuna kitu ni mzigo tu kwa taifa..!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3]Swala sio kusomea,hoja ni kulipa mishahara kulingana na uzito wa kazi,mkija na unadhani kutoa uvimbe kwenye anus yako ni kazi rahisi?
Siku ukiota uvimbe kwenye anus utajua kama kukariri videsa kwa miaka mitano kuna maana au hakuna maanaHoja ya kipumbavu kabisa kwani ulikuwa unasomea mshahara au taaluma?? Na kama mshahara wa mhandisi ni mkubwa kwanini hukwenda kusomea hiyo fani ili uwe unalipwa kiwango hicho cha mshahara?? Alafu unakuja na hoja za kijinga kijinga hapa eti walimu hawana risk kwani madaktari wana risk gani au kukariri videsa kwa hivyo vi miaka vitano ndo risk?? Poor you
Hawajapewa nafasi ya kufanya hvyo.Eng wa bongo taka takaa tu... Yani mchina kaja Kaweka tu mabati pale Ubungo foleni kwisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Maeng wetu hakuna kitu ni mzigo tu kwa taifa..!
Kumbe umesomea u-witch doctor ndo unakuja kutusumbua hapa eti niote uvimbe kwenye anus..Kumbe kazi yako ni kuroga watuSiku ukiota uvimbe kwenye anus utajua kama kukariri videsa kwa miaka mitano kuna maana au hakuna maana
nina miaka 8 kwenye hii kazi.Hiyo yako haina garantii.
Hao kuku wakikumbwa na mdondo tu hakuna maisha Tena.
Ongeza na taaluma ya UALIMUUdaktari ni wito kama umesoma ili utajirike umepotea njia