Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

Hoja yako ulipoianza nimeipenda, ni kweli kumlipa Civil Engineer zaidi ya Daktari wa binadamu haiingii akilini. Labda aliyepanga ngazi za mishahara alikuwa Civil Engineer. Majukumu na uwajibikaji wao ni mbalimbàli lakini risk pia ni kubwa kwa Dokta kuliko Injinia. Hili ni tatizo lililoanzishwa na ukurupukaji na sasa waneshindwa kulitafutia dawa hata walipounda tume ya mishahara ambayo nayo imeshindwa kurekebisha tatizo zaidi ya kelele za "Tumefikia hatua nzuri".
Hata hivyo udhaifu huo hauwezi kuhalalisha uonezi wanaofanyiwa walimu. Ifike mahali tujue chanzo cha maarifa yote ni Mwalimu. Hata hiyo miaka 5 ya Daktari hawi peke yake, anakuwa na Mwalimu kwa muda huo wote. Daktari ni mwanafunzi kwa miaka 5-7 kama ulivyosema, lakini Mwalimu ni mwanafunzi muda wote wa maisha yake. Kazi yake ni kutotoa Madaktari, Mainjinia, Wachumi, na kuabort mbumbumbu ambao wengine wanageuka kupanga mshahara wake wakitokea kwenye siasa ambako ni Kokoro la waliomo na wasiokuwamo.
Mwalimu ni Kila kitu ingawaje anaonekana si kitu.
Madaktari bana,kwa kujiweka wa kipekee hahahahhaa
 
Hahahaha hii kichekesho cha mwaka , jiulize kwann waalimu WA arts ni wengi kuliko waalimu WA sayansi
Wingi au uchache haina maana kozi hii ni ngumu na nyingine ni nyepesi,ugumu wa kitu uko mtu mwenyewe
 
Umekosea kucompare na Engineer anayesoma miaka mi4 na kuwasahau wabunge wanapiga porojo ya nusu mwaka na kuingia mjengoni kula mema ya nchi.
 
Eng wa bongo taka takaa tu... Yani mchina kaja Kaweka tu mabati pale Ubungo foleni kwisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Maeng wetu hakuna kitu ni mzigo tu kwa taifa..!
Kijana utapata laana acha kutukana wajenzi wa taifa shauri yako
 
Hoja ya kipumbavu kabisa kwani ulikuwa unasomea mshahara au taaluma?? Na kama mshahara wa mhandisi ni mkubwa kwanini hukwenda kusomea hiyo fani ili uwe unalipwa kiwango hicho cha mshahara?? Alafu unakuja na hoja za kijinga kijinga hapa eti walimu hawana risk kwani madaktari wana risk gani au kukariri videsa kwa hivyo vi miaka vitano ndo risk?? Poor you
 
Swala sio kusomea,hoja ni kulipa mishahara kulingana na uzito wa kazi,mkija na unadhani kutoa uvimbe kwenye anus yako ni kazi rahisi?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3]
Hapo sina ubishi Tena.
Kweli nimeamini ni kazi nzito,Ni afadhali kuchezea grisi ni nyepesi kuliko hyo
 
Hoja ya kipumbavu kabisa kwani ulikuwa unasomea mshahara au taaluma?? Na kama mshahara wa mhandisi ni mkubwa kwanini hukwenda kusomea hiyo fani ili uwe unalipwa kiwango hicho cha mshahara?? Alafu unakuja na hoja za kijinga kijinga hapa eti walimu hawana risk kwani madaktari wana risk gani au kukariri videsa kwa hivyo vi miaka vitano ndo risk?? Poor you
Siku ukiota uvimbe kwenye anus utajua kama kukariri videsa kwa miaka mitano kuna maana au hakuna maana
 
Eng wa bongo taka takaa tu... Yani mchina kaja Kaweka tu mabati pale Ubungo foleni kwisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Maeng wetu hakuna kitu ni mzigo tu kwa taifa..!
Hawajapewa nafasi ya kufanya hvyo.
Mbona wakipewa nafasi hata wanafunzi tu Wana uwezo wa kutatua hizo changamoto.
 
Back
Top Bottom