Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

Hapo hakuna namna... Ni kumshauri tu aende na chandarua... Hata tunaolala nyumbani tuna-risk ya mbu, ndio maana tunatumia vyandarua nyumbani.
Mbona hamsemi polisi anaaelala kwenye mbu . Analinde fedha zisiobiwe wakati mfukoni hana kitu?

Je, huyu Dr waweza mlinganisha na polisinkwa risk?
Mbona hamsemi polisi anaaelala kwenye mbu . Analinde fedha zisiobiwe wakati mfukoni hana kitu?

Je, huyu Dr waweza mlinganisha na polisinkwa risk?
 
Asa hao wahandisi hawastahil bhana
Kwa Uzi huu huu unapaswa kuona kumbe na wewe uko juu zaidi ya watu flani ambao walipaswa kuwa juu zaidi yko , ili ujifunze kushukuru kwa unachopata. Iko hivi ukitaka kujitathmini vizuri angalia aliechini yko. Hapo utajua wewe umependelewa kiasi gani kisha utaona haja ya kushukuru unachopata. Mkuu classes are there duniani mpaka mbinguni. Ndio maana kuna Mungu, Malaika , mitume, manabii nk. Malaika hawezi kulazimisha kuwa Mungu, akifanya hivo yaani haraka sana kitmpata kilichompata Mzee Lucifer a k a Shetani. Kikubwa pambana tu upaate good life kupitia unachopata mengine waachie wenye Tabaka LA juu waamue. NI HAYO TU
 
Hizo dawa, peni, karatasi, machine na vifaa mbalimbali anavyotumia huyo daktari kwenye kazi yake vimetengenezwa na Engineer's sasa sijui bila engineers huyo daktari angefanya kazi gani kama si kuwa mganga wa kienyeji na kuanzia kuchimba mizizi na mawe... Brother Respect Engineers achana na hizi siasa za Africa..
 
We mnafiki.
Tokalin engineer atengeneze dawa?
Asa pharmacist kaz yake nn km engineer atatengeneza dawa?
Engineer anajenga vtu vichache sana ktk vifaa tiba most vya vilivyobak mafamasia,
Au unataka kusema keko pharmaceuticals kuna ma engineer?
Broo umefula
Hizo dawa, peni, karatasi, machine na vifaa mbalimbali anavyotumia huyo daktari kwenye kazi yake vimetengenezwa na Engineer's sasa sijui bila engineers huyo daktari angefanya kazi gani kama si kuwa mganga wa kienyeji na kuanzia kuchimba mizizi na mawe... Brother Respect Engineers achana na hizi siasa za Africa..
 
Bro embu kuwa na elimu na kitu ndio uongee.
Dawa ya graseofulvin na engineer wapi na wapi?!
Anaetufanya sisi tufanye kaz mfamasia sio engineer.
Duuuh baba uinjinia na madawa wapi na wapi.!?
Hizo dawa, peni, karatasi, machine na vifaa mbalimbali anavyotumia huyo daktari kwenye kazi yake vimetengenezwa na Engineer's sasa sijui bila engineers huyo daktari angefanya kazi gani kama si kuwa mganga wa kienyeji na kuanzia kuchimba mizizi na mawe... Brother Respect Engineers achana na hizi siasa za Africa..
 
Udaktari tiba ni fani nyeti na ngumu sana lakini cha kushangaza daktari anapata salary ya Tsh.1,500,000 gloss hukuhandisi wa Civil pale TANROADS(case study) anapata 2,000,000
Clinical officer/tabibu =950,000 huku Civil Technician=1,118,000 per month

Kwa staili hii case za rushwa zitaisha huko hospitali na vituo vya afya?

Tafadhali serikali wapeni madaktari uzito unaostahili kwenye malipo,wanatumia kusoma na wanaumia kazini.

Hata kwenye stahiki za posho na benefits zingine daktari hamfikii mhandisi lakini pia mhandisi hasa wa civil wako kwenye industry ambayo possibility ya yeye kupata pesa ni kubwa kuliko watu wa afya hadi semina zije.

Chonde chonde serikali mnapopanga viwango mliangalie hili na ule mpango wa kuwianisha malipo ya wafanyakazi walio na elimu moja limeishia wapi?

= gross

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Hahaha hiyo ni business mkuu.
Hata mm nikiamua kuanzisha medical lab huku na pharmacy pembeni.
Napata mara mbili kwa mwezi au mara tatu ya huyo muuza nyama.
Mtoa mada hakutamka kuwa ni daktari. Wenye mawazo finyu ndio mmemfanya aonekane daktari na kuifanya mada iwe ya madaktari vs mainjinia. Kama unaringishia mil 5 kwa mwezi hapa kuna muuza nyanya amesema anapa mil 8 kwa mwezi.
 
Ila kaka usimdharau clinical officer kusema huoni.kaz yake.
Maana wao ndio wanatumikishwa kuliko madaktari wengine
Mimi naomba serikali iwape kipaumbele Specialists Doctors wapate Benefits nyingi. MD mwenye 1st degree sioni kazi zao. Zinafanana tu na Clinical Officers. They are Gate keeper kwa ajili ya ku- process Rufaa.
Hasa huko Ma-wilayani hawana kazi wanashindia vikao+ seminars.
2. Unakuta MD mzima anakimbilia kufanya MPH sasa na mtu wa Public Health afanye nini?
3. Hao Ma Clinical officers+ MD kazi zao nyingi to the near future zitakuwa Replaceable na IT technologies mfano (Artifical Intelligence) ambazo zinauwezo wa ku analyze initials mgonjwa anaumwa nini.
Nawashauri ma MD wa Tanzania Wakafanye Specialization!!!
Ulaya MD wa kawaida anatibu ngazi ya Community!!
Tanzania tuna uhaba mkubwa wa Specialists Doctors
 
Mbona hamumtaji bwana polisi, jinsi alivyo muhimu katika jamii huku akiwa na mshahara kiduunchuu!
 
Mhandisi acha achukue mshahara mkubwa, moja ni mazingira magumu ya maporini na kahama hama, pili miradi wanayosimamia mi ya mabilion hivyo ukimpa laki ni rahisi kurubuniwa kwa kutokuogopa cha kupoteza na wote tunajua gharama za miradi ilivyo kubwa, mfano stigler au standard gauge ni zaidi trion 5 Tshs. Hapo mhandisi akilipwa mshahara kiduchu ni rahisi kushirikiana kuiba na contractor.
Kusema mazingira magumu mm nakataa,daktari ana mazingira magumu zaidi ya engineer kwa sababu n muda wowote doctor yuko more prone kufa kwa kuambukizwa magonjwa ya anaowatibu....yanapotokea magonjwa kama dengue hemmorhagic fever,Ebola,Rift valley n.k watu wa kwanza kuwazika ni madaktari na manesi...pia madokta wako prone kuambukizwa magonjwa hatari kama homa ya INI na ukimwi kutokana na kazi zao,yaan kiufupi udaktari na uanajeshi kufa n sekunde tu......so engineer hafikii ugumu wa dokta kwa mazingira....hilo LA kusimamia miradi mikubwa siwez kulisemea,labda inawezekana ila LA mazingira magumu nakataa mpk nakufa
 
Hauna lolote nyie madaktari mliingia huko mkiwa na ideology kwamba ndio kazi inayolipa zaidi. Sasa mkishaona kuna kazi ambazo watu wanasoma miaka 3 tu mnapaniki sana, na kuanza kuhoji kama mtoa mada

Mim kuna jamaa yangu kaajiriwa Tutorial assistant kwenye moja ya vyuo vya serikali na kagundua kuwa anakula pesa ndefu kuliko daktari aliyeajiriwa na serikali kuu na huku mshikaji kasoma ualimi.

Sasa najua siyo mda mtakuja kuanza kuhoji kwa nini Tutorial assistant alipwe zaidi yenu.
We join medical school sio kwa lengo LA kupata pesa mkuu.....HV kuna furaha gan kumuacha mkeo SAA Tisa usiku kama huu muda unaenda kumuattend mgonjwa aliye kwenye critical conditions???
Mm nadhan watu hamjaumwa seriously,siku mkiumwa mtajionea nn wenyewe.....no money is worth than leaving ur family to save a patient whom u don't know....
 
Mimi naomba serikali iwape kipaumbele Specialists Doctors wapate Benefits nyingi. MD mwenye 1st degree sioni kazi zao. Zinafanana tu na Clinical Officers. They are Gate keeper kwa ajili ya ku- process Rufaa.
Hasa huko Ma-wilayani hawana kazi wanashindia vikao+ seminars.
2. Unakuta MD mzima anakimbilia kufanya MPH sasa na mtu wa Public Health afanye nini?
3. Hao Ma Clinical officers+ MD kazi zao nyingi to the near future zitakuwa Replaceable na IT technologies mfano (Artifical Intelligence) ambazo zinauwezo wa ku analyze initials mgonjwa anaumwa nini.
Nawashauri ma MD wa Tanzania Wakafanye Specialization!!!
Ulaya MD wa kawaida anatibu ngazi ya Community!!
Tanzania tuna uhaba mkubwa wa Specialists Doctors
Sababu kubwa inayofanya md wana~refer patients to high hospitals kama muhimbili sio kwamba hawajui kutibu bali pia zko sababu nyingne kama vile uhaba wa vifaa vya uchunguzi....kuna magonjwa ni easy kuyadiagnose but difficult to confirm...mfano magonjwa ya moyo unahitaji ECG au ECHO,cancer nying utahitaj ct scan,MRI n.k plus electron microscope... HV vifaa havipo hospital nying za huko mikoani,vingi viko Muhimbili national hospital...ingawa history taking makes doctors reach a diagnosis in more than 70%, u however need a power of investigation either lab or radiology inv to confirm ur DX......ndio maana referred patients more than 90% wanakuja mnh wakiwa tyr na DX kwenye karatasi,all they want is management ambayo inahitaj higher investigation zaidi,we don't treat by guessing jmn......
 
Sasa mbona unaowatetea hawapati hata nusu ya hiyo
Na umesikia hapa hapa kwamba kuna madaktari wengine wako hapa hapa bongo na wanakula 4m + na kuna civil wanakula 5m+
Maisha sio kushindana...mbona mbunge msukuma anakuka more than 10 million na kaishia std seven tu......think again mkuu....

Mshahara mkubwa haumaanishi kazi n ngumu
 
Hicho kipengele cha wivu ndio ninacho kikataa na tumefika huku kwa sababu doctors walianza kudai kuwa wao ndio watu wa muhimu sana kuliko wote. Na mtoa mada akawa na mawazo ya kwamba wakimlipa kama au zaidi ya engineer atakuwa tajir.


Ila maoni yangu kwa mtoa mada nimryaeleza vizuri kabisa kwenye post yangu ya kwanza kwamba hawezi kufananisha ulipaji wa mishahara kati ya serikali kuu na mashirika ya umma kama tfda na mengine
Madaktari hatuwez kuwa matajiri coz muda mwingi tunatumia kwa wagonjwa..muda wa deals zngine n kaz kuupata...tukifanya HVO death rate itaongezeka
 
Back
Top Bottom