Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

Asa pharmaceuticals inahusiana nn na ma Engineer?!
Ushataja pharmaceuticals.
Then hiko kifaa hakijiendeshi mzee sawa.
Kuiunda hyo sindano sio kaz kama kumshona mtu utumbo wake mazeh
Mkuu jitahidi kwenda deep na sio kuwaza theory, % contribution ya vifaa kwenye matibabu sijui umewaza practically!!

Mgonjwa anayehitaji operation kama vifaa havipo unawezaje kufanyiwa operation..
Mgonjwa wa Kansa anaweza kutibiwa kansa kwa mionzi bila machine za mionzi?.
Mgonjwa wa Maleria tutamjuaje kama kweli anamalaria bila vifaa..?
Hizo sindano, microscope,ultrasound, X-ray, lile limtambo la CT- Scan
Hizo sindano zinazotumika kuanzia kuchukua damu na kutibu..
Hayo mafridge mnayohifadhia dawa..
Hizo Cold room kwa ajili ya storages..

Aisee anayeweza kupingana na hili labda Mganga wa tiba asili anayetumia mizizi lakini hawa madaktari wanaokaa darasani na kwenda hospitali hili la kujifananisha na Engineers waache kabisa..

Sidhani kama umeshawahi kutembelea huko kwenye Pharmacetical industries na kujionea engineering and engineering concept zinavyosaidia kutengeneza dawa..
 
Mwalim wa kulipwa hela nyingi labda mwalimu wa udaktari chuoni.
Ila sio eti mwalim wa physics au biology o,level noop.
Hao wa o,level laki sita zinawatosha.
Sijui nikutukane tusi gani? Hivi mtu anaweza kukufundisha kuendesha gari wakati hajui kuendesha gari?
 
Kinachofanya watu wenye pesa kutokulazwa hospital za nchini ni zilezile nilizosema awali mkuu.....yaan sababu ya MTU kupewa rufaa ya kwenda India n nyingi ila sababu mojawapo n uhaba wa vifaa tiba na madawa vilivyopo hapa nchini sasa kwa MTU aliye third world na ana hela zake n lazma aende first world....hebu imagine MRI iko hospital moja tu ya serikali ambayo n muhimbili na wagonjwa wote watumie hyo moja can u imagine the queue?? Ndio maana wenye pesa wanaenda ulaya coz kule technology za kitabibu sio kama kwetu na ndio maana akienda kule ulaya anaenda na diagnosis ishaandikwa kuwa anaumwa nn,kama ingekuwa we doctors wa third world hatujui tusingekuwa na uwezo wa kuandika hata hzo diagnosis wanazoenda nazo huko first world...cc shida n upungufu wa technology tu uliochangiwa na mainjinia uchwara wenye vyeti ila wameshindwa kugundua na kutengeneza vifaa Tiba vya kisasa kama mainjinia wa nchi zngne wanavyofanya.....

Hawa injinia wetu ndio chanzo cha cc kuwa nyuma....hawachakati akili zao sawasawa kugundua vifaa vya uchunguzi,wapo tu kusubiri pesa za kuibaiba huko wanakotumikishwa na wachina tu.....bullshit
Tatizo linalokukwamisha wew usimtibu tajiri au kiongozi hapa, ndio hilo hilo linalomfanya engineer akashindwa kugundua hivyo vitu hapa bongo, KUKOSA VIFAA NA FUND kwaajiri ya kufanyia hizo experiment za ugunduzi.
 
Muongo wewe.
Hiv maana ya prescription unaijua.?!
Hivyo vifaa tiba ni vya kurahisisha matibabu.
Anaetufanya tufanye kazi ni pharmacist mtengenezaji madawa maana sisi tunaweza kugundua ugonjwa wa mtu kwa prescribing basi.
Na tukamwandikia dawa na akatumia akapona.
Ila dawa ni kaz ya pharmacist hao ndio wanatufanya tufanye kazi.
Halafu bila kusahau ugonjwa mpya unapolipuka sisi madaktari ndio tunaoitwa kufanya uchunguzi sio ma engineer.
Unakurupuka na kuongea pasi na logic maalum.
Vifaa tiba hvyo vinarahisisha kaz km machines zinavyo simplify work.ila sio ku do work completely
Sio lazima niwe dokta kulijua hili tunalojadili hapa, hiyo 70% unayosema ndio ninayokwambia ni theory na kitabibu hairuhusiwi kumpa mtu dawa bila kumfanyia investigation - NI MAKOSA. Hizo dawa pia unazompa mgonjwa zimetengenezwa kiwandani ambako lazima Either Engineers, Engineering au Engineering concept ziwepo - NDIO MAANA NIKWAMBIA UDAKATARI WAKO HAUWEZI KUWA NA TIJA AU KUFANYIKA PASIPO UWEPO WA ENGINEERING AND ITS CONCEPTS.

Nilichokiona kwenye aya yako ya pili na tatu ni CHUKI YAKO KWA ENGINEERS sijui wamekufanya nini, lakini kwa suala la sijui Engineers wa kibongo hakuna wanachojua na blah blah nyingine, naomba nikwambie tu hata MADAKTARI wakibongo nao ni ZERO tu ndio maana vifo vingi vyakizembe vinatokea kutokana na uwezo mdogo wa matabibu, Mngekuwa mko smart pia sidhani watu kama wangeenda India, SA na Nairobi na wengine Ulaya. Pia fahamu ulichosomea kumdiagnostic binadamu hata Engineer pia amesomea kudiagnose machuma, Daktari anadeal na binadamu labda na wanyama that just the part wakati engineers wanadili na vyote vilivyomo duniani ndio wameingia huko kwenye udaktari wako na kukutengenezea vifaa na dawa, Niambia daktari yupo kwenye ujenzi wa barabara, daktari yupo kwenye ujenzi wa meli na ndege...
 
Halafu ww acha kutudanganya.
Hujui kitu kuhusu udaktari una uwanda mpana.
Maana daktari anasomea hadi plant physiology mkuu huwez mshinda ktk diagnosis wewe unda unda machuma inatosha usiende mbali na kusema vitu ambavyo elimu navyo huna.
Kam hujui daktari anasomea generally kila kitu hadi kuhusu vifaa tiba.
Ndio maana ana uwezo wa kugundua kama kina matatizo au laa.
Na ndio maana doctor anaweza kujua kuhusu madawa ama laa.
Mwaka wa pili wa medicine mtu anasomea pharmacology ambayo unasema wanasomea engineers akat wanasomea pharmacists.
Sisi ni uwanda mpana mzee
Sio lazima niwe dokta kulijua hili tunalojadili hapa, hiyo 70% unayosema ndio ninayokwambia ni theory na kitabibu hairuhusiwi kumpa mtu dawa bila kumfanyia investigation - NI MAKOSA. Hizo dawa pia unazompa mgonjwa zimetengenezwa kiwandani ambako lazima Either Engineers, Engineering au Engineering concept ziwepo - NDIO MAANA NIKWAMBIA UDAKATARI WAKO HAUWEZI KUWA NA TIJA AU KUFANYIKA PASIPO UWEPO WA ENGINEERING AND ITS CONCEPTS.

Nilichokiona kwenye aya yako ya pili na tatu ni CHUKI YAKO KWA ENGINEERS sijui wamekufanya nini, lakini kwa suala la sijui Engineers wa kibongo hakuna wanachojua na blah blah nyingine, naomba nikwambie tu hata MADAKTARI wakibongo nao ni ZERO tu ndio maana vifo vingi vyakizembe vinatokea kutokana na uwezo mdogo wa matabibu, Mngekuwa mko smart pia sidhani watu kama wangeenda India, SA na Nairobi na wengine Ulaya. Pia fahamu ulichosomea kumdiagnostic binadamu hata Engineer pia amesomea kudiagnose machuma, Daktari anadeal na binadamu labda na wanyama that just the part wakati engineers wanadili na vyote vilivyomo duniani ndio wameingia huko kwenye udaktari wako na kukutengenezea vifaa na dawa, Niambia daktari yupo kwenye ujenzi wa barabara, daktari yupo kwenye ujenzi wa meli na ndege...
 
Hoja yako ulipoianza nimeipenda, ni kweli kumlipa Civil Engineer zaidi ya Daktari wa binadamu haiingii akilini. Labda aliyepanga ngazi za mishahara alikuwa Civil Engineer. Majukumu na uwajibikaji wao ni mbalimbàli lakini risk pia ni kubwa kwa Dokta kuliko Injinia. Hili ni tatizo lililoanzishwa na ukurupukaji na sasa waneshindwa kulitafutia dawa hata walipounda tume ya mishahara ambayo nayo imeshindwa kurekebisha tatizo zaidi ya kelele za "Tumefikia hatua nzuri".
Hata hivyo udhaifu huo hauwezi kuhalalisha uonezi wanaofanyiwa walimu. Ifike mahali tujue chanzo cha maarifa yote ni Mwalimu. Hata hiyo miaka 5 ya Daktari hawi peke yake, anakuwa na Mwalimu kwa muda huo wote. Daktari ni mwanafunzi kwa miaka 5-7 kama ulivyosema, lakini Mwalimu ni mwanafunzi muda wote wa maisha yake. Kazi yake ni kutotoa Madaktari, Mainjinia, Wachumi, na kuabort mbumbumbu ambao wengine wanageuka kupanga mshahara wake wakitokea kwenye siasa ambako ni Kokoro la waliomo na wasiokuwamo.
Mwalimu ni Kila kitu ingawaje anaonekana si kitu.
Mungu akubariki sana ndugu.Baada ya kuisoma comment yako hii,nimejikuta naifurahia Jumapili yangu vyema.
 
MUHAS Curriculum ndiyo reference point yangu. MD ni kozi ya miaka miwili darasani tu
Unakosea sana kusema HV....muhas unasoma two years za basic science then 3 years za clinical rotation plus basic science pia,yaan unasoma na theory za magonjwa mengine zaidi in more details ,ukiwa mwaka wa tatu mfano utasoma Internal medicine, paediatrics, obs and gynaecology then survey..mwaka wa NNE kuna kozi kama ENT,psychiatry n.k na kote huko mnakaa darasani vya kutosha.....usiongee usichokijua....
 
Unakosea sana kusema HV....muhas unasoma two years za basic science then 3 years za clinical rotation plus basic science pia,yaan unasoma na theory za magonjwa mengine zaidi in more details ,ukiwa mwaka wa tatu mfano utasoma Internal medicine, paediatrics, obs and gynaecology then survey..mwaka wa NNE kuna kozi kama ENT,psychiatry n.k na kote huko mnakaa darasani vya kutosha.....usiongee usichokijua....
Ungemwacha na anachokishadadia mkuu. Sikutaka kumjibu kwasababu hajui kitu kuhusu Medical school
 
Medicine imekuwa ikitegemea Engineers( Bio,Electric,Structural,Hydraulics,Robotics etc) kwa kipindi kirefu na bado kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kazi za hawa mafundi na udaktari,na kila miaka inavyoenda utaona kwamba engineers wamekua ni chachu za inventions ambazo zimeleta mapinduzi ktk sekta ya afya( CT SCAN,PET SCANS,MRI,ECHO,ECG,ENDOSCOPES,DNA MACHINES,RAPID RESPONSE LAB MACHINES,RADIOTHERAPY MACHINES,ANAESTHESIA MACHINES na list inaendelea...hapa utaona kwamba kila siku zinavyoenda mafundi wanazidi kurahisisha kazi ya diagnosis ya magonjwa mbalimbali....hapa naongelea acurracy(Sensitivity na Specificity).Lakini yote haya hayatoi nafasi kuona daktari ni chini ya engineer whatsoever!!kila kazi ina maana kwa nafasi yake na wakati wake....heshima kwa Engineers na Madaktari mnastahili pongezi za dhati kwa kazi zenu.
 
Ni kweli kabisa, ila sasa unapofanya kazi ya ndoto zako usianze kulalamika kwamba kwanini wanaofanya kazi zingine wanalipwa mshahara mkubwa zaidi yako ( ambao kwa mtazamo wako ulipaswa kuwazidi mashahara) .
Kufanya kazi ya ndoto zako kusiwe kisingizio cha kukandamiza fani zingine hasa madaktari na walimu
 
Ulinganifu mbovu. Daktari wa halmashauri analinganishwaje na Engineer wa Taasisi. Hizo sehemu mbili zina scale tofauti za mishahara. Labda ungeangalia Daktari aliyeajiriwa Tanroads analipwaje. Ila sasa Tanroads inahitaji mainjinia zaidi kuliko madaktari. Na taasisi nyingi huwa zinahitaji madaktari wachache. Madaktari wengi wanabaki kuajiriwa na halmashauri. Ulinganifu sahihi ungekuwa kulingalisha mhandisi wa halmashauri na daktari wa halmashauri. Lakini ukianza kulinganisha halmashauri na Tanroads, tayari kuna tofauti ya mishahara sio tu kwa madaktari na mainjinia bali kwa wafanyakazi wa sehemu hizo mbili. Mfanyakazi yoyote wa Tanroads analipwa zaidi ya wa halmashauri. Hoja yako umeshindwa kuijenga vizuri sababu umetumia ulinganifu ambao si sahihi. Ni kweli madaktari wanapaswa kulipwa vizuri. Na pia hata walimu nao wanapaswa kulipwa vizuri. Wafanyakazi wa sekta ya afya ni wengi zaidi ya wahandisi. Tunahitaji uchumi mzuri kuwaboreshea wote maslahi yao.
Kwamba kwa vile wafanyakazi wa afya na walimu ni wengi hivyo walipwe kiduchu ila hao wengine wachache walipwe zaidi
Nonsense
 
Asa hao biomedical engineers unajua wananasibishwa na kina nan.?!
Na wanasomea mchepuo upi?!
Hawasomei mchepuo wa wahandisi wa PCM au PGM ni PCB mkuu na hasa chemistry ndio inahusika 90% na hao ni kule kule mafamasia tyuuu.
Pharmaceuticals ina uwanda mpana kaichunguze vema sawa mkuu.
Hapa tunawaongelea wahandisi huyo biochemical engineer uliyemtaja hapishani na sis ktk kusoma na pia lazma kipengele cha pharmacology akisome ambayo ni muhimili wa pharmaceuticals science
Sisi tunawazungumzia wahandisi
Biomedical Engineer.
Mhandisi ni kiswahili
Engineer ni kiingereza
Au mhandisi gani unayemjua, usikute unajua Engineering ni kujenga barabara tu. Engineering is very wide kijana
 
Back
Top Bottom