Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

Kwamba kwa vile wafanyakazi wa afya na walimu ni wengi hivyo walipwe kiduchu ila hao wengine wachache walipwe zaidi
Nonsense
Mburukenge wewe unaleta emotions..Unataka kulazimisha hoja dhaifuuu..Jifunze kujenga hoja....Emotions za kuzidiwa mshahara na mainjinia wa TANROADS ndo zinakuongozaa. . 😀😀😀😀
 
Sasa si bora hao wanapata hiyo, huyo aliyewawezesha mpaka wakajua kusoma na kuandika analipwa sh ngapi!?
Mkuu huyo atalipwa peponi,ualimu ni wito,hivyo wawe Walpole tu wakigoja peponi kukamilike wakalipwe zaidi.
 
Mburukenge wewe unaleta emotions..Unataka kulazimisha hoja dhaifuuu..Jifunze kujenga hoja....Emotions za kuzidiwa mshahara na mainjinia wa TANROADS ndo zinakuongozaa. . 😀😀😀😀
Hizo ni emotions au ndio ukweli? Kwa kazi ipi na vigezo gani hao Tanroads wanawazidi madaktari? Kule kazi wanafanya wachina kazi wanazofanya wao haziumizi kichwa kuliko madaktari sasa why walipwe zaidi?
 
Unamaanisha walimu hawana umuhimu kama matabibu ?
Wana umuhim mno,bila wao hakuna taaluma au wataalam,Ma Dr.wapo chanzo mwalimu,mainjinia wapo chanzo mwalimu.Tatizo walimu hawanaga misimamo na maslahi yao,wakiyumbishwa kidogo tu wanabadi ata dira na malengo yao.
 
Tulia ww... Unajua vifaa unavyotumia apo hospitali vimetengenezwa na nani? Imagine kusingekuwa na ct scan... Na vifaa kama hivyo.. Kazi yako ingekuaje
 
Nimefuatilia michango yako kwenye uzi huu wewe CO nimegundua huna right information na unaongozwa na ushabiki na hisia
Kaka nimekuelewa.
Ila hujanielewa vema
Mimi nikiwa specialist nikawa na vichaka vitatu kwa kufanya kazi masaa sita Sita mwishoni nina mshahara wa 21 million ukionganisha vichaka vitatu.
Posho za bima ya afya na za watu wa clinic bado na ukizingatia madaktari bingwa ni wachache maana inachukua miaka 9 kusomea huyo ni normal specialist.
Haya bado hujamgusia conc specialist ambaye alisomea specialization kwa miaka 3 akaongeza miaka 2 tena.
Huyo anakua km mwalimu at the same time daktari bingwa wa mabingwa na hapa bongo wapo wachache asee huyo mshahara mmoja tu ni million kumi kagusa bado wa kuwa kama mkufunzi wa madaktari wengine ni zaidi.
Tatzo engineer mpk project ije ilhali doctor daily hela zinakuja
 
Asee biomedical engineering usifananishe na civil engineering mkuu.
Huyo biomedical engineer tunam term km pharmacist tyu kwasababu anasoma hata baadhi ya mambo tunayosoma madaktari.
Nahisi wangewaita pharmacists tyuu basi.
Au labda hukunipata vzury.
Hpa tunawazungumzia ma civil engineers maana huyo biochemical engineer team moja na sisi tu
Biomedical Engineer.
Mhandisi ni kiswahili
Engineer ni kiingereza
Au mhandisi gani unayemjua, usikute unajua Engineering ni kujenga barabara tu. Engineering is very wide kijana
 
Hvyo vinarahisisha kazi tyuu ila sio km ndio vinafanya doctors wafanye kaz completely
Tulia ww... Unajua vifaa unavyotumia apo hospitali vimetengenezwa na nani? Imagine kusingekuwa na ct scan... Na vifaa kama hivyo.. Kazi yako ingekuaje
 
Prove me wrong kaka kwa kuniletea right information mkuu.
Usinipinge tu kwa maneno kuwa naendeshwa na ushabiki ilhali ninachokielezea nimekifanyia utafit na nakifaham.
Nimefuatilia michango yako kwenye uzi huu wewe CO nimegundua huna right information na unaongozwa na ushabiki na hisia
 
Ungeanza kumfundisha Yohana mambo ya grama ndio uje kwangu

= grammar

Hapana, hiyo siyo grammar niliyokusahihisha ni wewe kufanya makosa ya kuweka L panapowekwa R.

Huo ni ujinga tu uliofundishwa na Walimu wako shuleni kwenu au ni wako mwenyewe uliojifunza kutokana na kuwa na lafdhi mbovu.
 
Mkuu..huwezi kugeneralize kwa kusema private ni 950k..Private sector mishahara ni tofauti tofauti kutegemea na sehemu husika ndio maana unaweza kuta mko ofisi moja mnafanya kazi moja ila mmoja analipwa 2M na mwingine 1M..Inategemea na wewe unavyobargain

Serikali kuu diploma zote za afya basic ni 680k
Kwa private mkuu 950,000.
Nilifanyaga mm ktk vituo vya afya vya taasis ya kiislam mkuu.
Hata mshahara wa MD wa serikali ni tofaut na private sielew kwann ipo hivi
 
Nyie wabongo mnaridhika sana. Huyo mchumi amekwishajaribu IMF, World Bank, Wall Street...? Tatizo lenu mnafikiri kazi ni BOT na TRA tu!
Ukweli unabaki palepale utabibu ni wito tangu enzi na enzi. Hii huduma ilitolewa kwa kumpa tabibu shukran tu na si vinginevyo. Kazi ya utabibu ni ya zamani sana kadri ya ubinadamu wenyewe ulivoanza, na kwa sehemu kubwa ilitolewa kama huduma na si biashara na wagonjwa walikuwa wakitoa shukrani tu kwa tabibu husika au mkunga.

Kitu ninachokubaliana na mtoa mada ni kuwa Serikali iangalia namna ya kusawazisha mishahara kidogo kwa watumishi wa Serikali na wale serikali kuu na serikali za mitaa pamoja na wale wa kwenye taasisi. Changamoto kubwa ni kuwa watu wa taasisi Salary scales zao ni tofauti na zile watumishi wa serikali kuu na mitaa. Mfano, kuna jamaa yangu huu ni mwaka wa 6 kazini na ni degree holder amesoma economics salary yake ni laki 7 wakati mtu wa fani hiyo hiyo anaefanya kazi BOT au TRA salary yake si chini ya 1.5!

Kusema ukweli tofauti ni kubwa sana, na haifai kabisa
 
Ahaa sawa mkuu ila kwa nilipofanya kaz nilipokea hiko Haki Ya Mungu
Mkuu..huwezi kugeneralize kwa kusema private ni 950k..Private sector mishahara ni tofauti tofauti kutegemea na sehemu husika ndio maana unaweza kuta mko ofisi moja mnafanya kazi moja ila mmoja analipwa 2M na mwingine 1M..Inategemea na wewe unavyobargain

Serikali kuu diploma zote za afya basic ni 680k
 
Wambie wawe wazalendo Luna MTU anaitwa mtendaji kijiji anafanya kama zote katika vijiji vya mbali ila gross take ni 420000 take home. 205000 mazingira yake abovu sanaa
 
Udaktari tiba ni fani nyeti na ngumu sana lakini cha kushangaza daktari anapata salary ya Tsh.1,500,000 gloss hukuhandisi wa Civil pale TANROADS(case study) anapata 2,000,000
Clinical officer/tabibu =950,000 huku Civil Technician=1,118,000 per month

Kwa staili hii case za rushwa zitaisha huko hospitali na vituo vya afya?

Tafadhali serikali wapeni madaktari uzito unaostahili kwenye malipo,wanatumia kusoma na wanaumia kazini.

Hata kwenye stahiki za posho na benefits zingine daktari hamfikii mhandisi lakini pia mhandisi hasa wa civil wako kwenye industry ambayo possibility ya yeye kupata pesa ni kubwa kuliko watu wa afya hadi semina zije.

Chonde chonde serikali mnapopanga viwango mliangalie hili na ule mpango wa kuwianisha malipo ya wafanyakazi walio na elimu moja limeishia wapi?
Wacha yalipwe maana siku hizi wakikutana katika vikao vyao badala wadai maslahi bora kazini wanaishia kusifia serikali, kuunga juhudi sijui!
 
Back
Top Bottom