Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

Kama unataka daktari aongezewe mshahara basi uwapiganie waongezewe mshahara ila usi jaribu kutaka ku down grade Engineers maana hata wao kazi yao ngumu sana usichukulie poa asee.. engineers na daktari kazi zao wote ni life or death .. Engineer wasipokua na solutions sahihi kwenye project zao they can get people killed . Usichukulie poa
 
Kama unataka daktari aongezewe mshahara basi uwapiganie waongezewe mshahara ila usi jaribu kutaka ku down grade Engineers maana hata wao kazi yao ngumu sana usichukulie poa asee.. engineers na daktari kazi zao wote ni life or death .. Engineer wasipokua na solutions sahihi kwenye project zao they can get people killed . Usichukulie poa
Ha ha haa, yaani imekuwa kama ile tuliyonayo Watanzania wengi kufurahia aliye na maslahi makubwa anaposhushwa ama tuwe nae sawa au hata tumzidi, ndio sababu ya watu kuanza kupimanisha kazi kwamba hii ni ngumu na nyingine si ngumu; mwisho wa siku ni ubinafsi, kila mwenye fani atatetea fani yake ionekane ngumu na bora kumzidi mwenzake. Ukipambania maslahi ya kazi yako, pambana bila kuomba maslahi ya mwenzako yashuke au kuiona fani ya mwanzako ni ya chini, kwa kitendo tu cha kufundishwa darasani na vyuoni, maana yake ni ya muhimu na ina ugumu wake. Kazi rahisi au nyepesi ni ile isiyohitaji utaalamu wowote
 
Udaktari tiba ni fani nyeti na ngumu sana lakini cha kushangaza daktari anapata salary ya Tsh.1,500,000 gloss hukuhandisi wa Civil pale TANROADS(case study) anapata 2,000,000
Clinical officer/tabibu =950,000 huku Civil Technician=1,118,000 per month

Kwa staili hii case za rushwa zitaisha huko hospitali na vituo vya afya?

Tafadhali serikali wapeni madaktari uzito unaostahili kwenye malipo,wanatumia kusoma na wanaumia kazini.

Hata kwenye stahiki za posho na benefits zingine daktari hamfikii mhandisi lakini pia mhandisi hasa wa civil wako kwenye industry ambayo possibility ya yeye kupata pesa ni kubwa kuliko watu wa afya hadi semina zije.

Chonde chonde serikali mnapopanga viwango mliangalie hili na ule mpango wa kuwianisha malipo ya wafanyakazi walio na elimu moja limeishia wapi?
Bila kujali ni daktar, ni mhandisi au ni mwalimu... anacholipwa mfanyakazi wa Tanzania kina sifa ya kuitwa mshahara?...kina mwezesha kuishi?...
 
Kama unataka daktari aongezewe mshahara basi uwapiganie waongezewe mshahara ila usi jaribu kutaka ku down grade Engineers maana hata wao kazi yao ngumu sana usichukulie poa asee.. engineers na daktari kazi zao wote ni life or death .. Engineer wasipokua na solutions sahihi kwenye project zao they can get people killed . Usichukulie poa
Wala sisemi serikali iwapunguzie mie nataka serikali ione tu jinsi ambavyo haifanyi fair
 
Udaktari tiba ni fani nyeti na ngumu sana lakini cha kushangaza daktari anapata salary ya Tsh.1,500,000 gloss hukuhandisi wa Civil pale TANROADS(case study) anapata 2,000,000
Clinical officer/tabibu =950,000 huku Civil Technician=1,118,000 per month

Kwa staili hii case za rushwa zitaisha huko hospitali na vituo vya afya?

Tafadhali serikali wapeni madaktari uzito unaostahili kwenye malipo,wanatumia kusoma na wanaumia kazini.

Hata kwenye stahiki za posho na benefits zingine daktari hamfikii mhandisi lakini pia mhandisi hasa wa civil wako kwenye industry ambayo possibility ya yeye kupata pesa ni kubwa kuliko watu wa afya hadi semina zije.

Chonde chonde serikali mnapopanga viwango mliangalie hili na ule mpango wa kuwianisha malipo ya wafanyakazi walio na elimu moja limeishia wapi?
Tunasafari ndefu sana, kijana unasoma unawaza kuajiriwa nadhani utapata tabu sana.
 
Prescription ni kule kupata maelezo juu ya ugonjwa wa mtu kwa kumuhoji anavyojisikia na kwa kumfanyia test wewe mwenyewe either kwa kumtizama temperature yake kwa thermometer ama kwa kuchunguza heart beat zake kwa stethoscope na kuoanisha dalili za yule mgonjwa na magonjwa stahiki.
Mfano wewe umekuja hospital.
Unalalamika ukikojoa unakojoa mkojo wa damu na kibofu kinauma sanaa.
Dalili hii inafanania na magonjwa mawili ya Urinary tract infections pamoja na magonjwa ya zinaa asa mm nitakua nishagundua tatizo lako.
Nitakupa antibiotics ya ampiclox+clavulate ili kuua UTI ikiwemo na nitakuandikia Fluconazole vidonge kumi tyuu vikaue vimelea vya magonjwa ya zinaa.
Hapo nimekugundua kwa prescription.
Wala sikuhitaji uende maabara.
Ila hvyo vifaa vinatumika kuturahisishia kaz na kutuletea uhakika wa tunachokifanya mkuu.
Mm nilipokuwa nachoka kazin mtu akija kulalamika kuhusu magonjwa yake ofisini namuhoji natake history then namwandikia dawa anapitia pharmacy ya palepale kituo chetu cha afya kaZ inaisha
Dogo inaonyesha bado upo shule..
Hzo stethoscope na thermometer zinatengenezwa na nani?.
Hizo amplicox zinazalishwa kwa fermentation, najua hayo huyajui unafikiri who run those fermenters?.
Halafu unasema upo kituo cha afya then et unalipwa 950k, serikali gani hiyo inalipa maco kiasi hicho?.
 
Miaka inavyokwenda na ugunduzi wa kisayansi madaktari watakosa kazi soon. Roboti linakutibu unasepa.

Tuitie roboti lijenge lami.
Kwenye utabibu... Bado aisee kwa sababu dalili za magonjwa zinachanganya... Mda mwingine zinafanana.... Magonjwa mengine yanapatikana kwa baadhi ya maeneo duniani..... Ugonjwa mwingine hubadili dalili kadri muda unavo zidi kwenda..... Itakuwa ngumu kutengeneza software itakayoweza kujua fika ni aina gani ya uginjwa au magonjwa yanayomsubua mtu fulani.....
 
Prescription ni kule kupata maelezo juu ya ugonjwa wa mtu kwa kumuhoji anavyojisikia na kwa kumfanyia test wewe mwenyewe either kwa kumtizama temperature yake kwa thermometer ama kwa kuchunguza heart beat zake kwa stethoscope na kuoanisha dalili za yule mgonjwa na magonjwa stahiki.

Mm nilipokuwa nachoka kazin mtu akija kulalamika kuhusu magonjwa yake ofisini namuhoji natake history then namwandikia dawa anapitia pharmacy ya palepale kituo chetu cha afya kaZ inaisha

Hapo kwenye red nimegundua sasa wewe ni half cooked idiot

Na nyie ndio aina ya madaktari tulionao huku..Akija mgonjwa mwenye shule akiwachimbisha mnapaniki kuwa mnafundishwa kazi kumbe hakuna mjualo halafu mpo hapa kudai muongezewe pesa...Kuleni laki sita hiyo
 
Hufaham kitu kuhusu taaluma ya udaktari.

Kwa hiyo operation za moyo, mgongo, kichwa n.k huwa anakuja kuzifanya engineer
Mkuu utamlaumu jamaa bure; mwili wa binadamu ni kitu ambacho haibadiliki badiliki. Inayo mfumo na principle inayofahamika kwamba ukitaka kufanya upasuaji wa moyo unatkiwa kuanza na hiki na hiki; ukitaka kufanya upasuaji wa kichwa unatakiwa uanze na hiki na hiki tofauti na hapo utakua siyo mtaalam.

Sasa turudi kwenye fani ya uhandisi wao wanashughulika na vitu ambavyo havina sheria maalum au principle timizi. Leo daktari atamwambia tunapata shida na madhara yatokanayo na kuchoma watu sindano tunapochukua vipimo hivyo tunaitaji vifaa ambavyo tutatumia kuchukua vipimo vya damu bila kuchoma mtu.sindano hapo ndo akili inaanza kutumika kuipata vipimo.

Kuna jengo lipo Pale kariakoo chini first floor imearibika ila floor za juu ni nzima hivyo afanye maarifa ili ya chini irekebishwe bila zingine kuleta madhara ujue hapo haina sheria maalum.
Kwenye tiba tunajiushisha na dalili.; hivyo miongoni mwa dalili hizi kuna kitu kati ya hizi mgonjwa atakua nazo.

Kuna matumizi makubwa sana ya akili kwa wahandisi zaidi ya koda zote; na wataalam walishaipigia kura mara nyingi sana.
 
Kama unataka daktari aongezewe mshahara basi uwapiganie waongezewe mshahara ila usi jaribu kutaka ku down grade Engineers maana hata wao kazi yao ngumu sana usichukulie poa asee.. engineers na daktari kazi zao wote ni life or death .. Engineer wasipokua na solutions sahihi kwenye project zao they can get people killed . Usichukulie poa
Mimi siyo Mhandisi lakini hawa watu ndo najua wanatumia akili na stress juu; ebu fikiria hizi ndege zinazoua watu kila mara hapa karibuni wahandisi wako katika haki gani? avumbue kifaa, aiendeshe, airekebishe, afanye utfiti kwa kuiboresha zaidi, aangalie gharama yake na ubora wake, agundue nzuri zaidi ya hiyo ya kwanza, awasiliane na kada zote kujua challange wanazozipata wanapotumia hizo mitambo na azifanyie kazi kwa haraka. Machine hizo za madaktari zimearibika azirekebishe kwa haraka na muda muafaka.
 
Mimi siyo Mhandisi lakini hawa watu ndo najua wanatumia akili na stress juu; ebu fikiria hizi ndege zinazoua watu kila mara hapa karibuni wahandisi wako katika haki gani? avumbue kifaa, aiendeshe, airekebishe, afanye utfiti kwa kuiboresha zaidi, aangalie gharama yake na ubora wake, agundue nzuri zaidi ya hiyo ya kwanza, awasiliane na kada zote kujua challange wanazozipata wanapotumia hizo mitambo na azifanyie kazi kwa haraka. Machine hizo za madaktari zimearibika azirekebishe kwa haraka na muda muafaka.
Hao ni Maeng wa Mbelee.. Eng wa bongo michosho tu!
 
Ininia huyo huyo anamaliza na yeye anarud mtahan hana kaz
 
Utajir ni nyota tu ya mtu. Unaweza ukasoma huo uinjinia na bado ukawa na maisha ya kawaida tu
 
Kipi kinafanya, Taasisi kuwa na Mishahara Mikubwa?
Kunatofauti Kati ya
Mamlaka na Taasisi?
naposema taasisi namaanisha authority,agency,company,corporation na zinazofanana nazo hizi salary scale huamuliwa na board yake hususani ile wakati wa kuanza kazi kwa mfano afisa biashara wa TRA at first anaweza anza na 1.5M wakati wewe wa jiji ukaanza na 900K
 
Back
Top Bottom