thesonofafrica
Senior Member
- Feb 9, 2010
- 110
- 30
Pamoja na sifa zote hizo,sijawahi kuona hospitali isiyoheshimu maadili ya tiba kama Burere.Zablon has never bn in any medical school.Lakini anaingia theater na kushona wagonjwa.Hii hospitali tukiamua kuwa serious, ni ya kufunga.Mi namjuaga Kene tuu mkuu na wengine wengine kama akina Zabron,Dolo , Paulina n.k