Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr Ringo wa utabibu au sheria?Kama ni kweli tayari nishawapoteza majembe wawili
1. Dr Ringo na
2. Dr Bake
R.I.P
Nikweli anasoma ..yupo pia francis bake wote wapo chinaAna kijana wake anaitwa Kene nafikiri ni mtaalamu pia na alimuandaa vya kutosha kuja kuendeleza hospital.
Kennedy mwanae tayari Alisha andaliwa nae ana PhD ya mifupa kama baba burere itaendelea tuAna kijana wake anaitwa Kene nafikiri ni mtaalamu pia na alimuandaa vya kutosha kuja kuendeleza hospital.
Huwezi kuwajua wote ana umati wa watoto,R.I.P Dr. Bake,alikuwa mteja wangu maeneo flani hivi..Mi namjuaga Kene tuu mkuu na wengine wengine kama akina Zabron,Dolo , Paulina n.k
bado hawajaconfirm??Sahihi
hakuanzia Tumbi alianzia Dodoma ila wewe ulimuonea Tumbi RIP Dr bingwa wa mifupaYes ni kweli! Dr Bake daktari bingwa wa mifupa aliyeanzia kazi Tumbi hospital amefariki dunia poleni sana wanajumuiya ya shirika la elimu Kibaha pamoja na mwl na mama yangu mama Bake mkubwa wa kwa Mathias
Yeshakuanzia Tumbi alianzia Dodoma ila wewe ulimuonea Tumbi RIP Dr bingwa wa mifupa
kweli kabisa.......Ana mwanae wa kiume naye yuko vizuri nadhani alisomea Russia.Watakuja kina Bake wengine wengi wazuri maisha mzunguko na hapa Duniani tunapita..(R.I.P Dr Bake)
Hana Phd ya mifupa.Msidanganye watuKennedy mwanae tayari Alisha andaliwa nae ana PhD ya mifupa kama baba burere itaendelea tu