Naingia kwenye mada moja kwa moja. Juzi niliongea na daktari bingwa anayemiliki hospitali kubwa jijini kuhusu chanzo cha uraibu unaosababishwa na kinywaji cha energy. Daktari huyu alinihakikishia kwamba kinywaji chochote kinachosababisha uraibu lazima kinakuwa na kilevi au dawa za kulevya.
Jibu hili lilinifanya nifikiri sana kuhusu kinwaji cha energy kinachotengenezwa na matajiri wakubwa wawili hapa nchini. Madhara ya kinywaji hiki yamewahi kufanyiwa utafiti na madaktari wa hospitali ya Muhimbili ambao waliwahi kumfanyia upasuaji wa mishipa ya moyo iliyoziba mgonjwa mmoja mraibu wa energy ambaye alikuwa akigida sio chini ya chupa 5 za energy kwa siku.
Your browser is not able to display this video.
Napenda kuelekeza lawama zangu kwa matajiri hawa wawili wanaowaua raia kimyakimya huku serikali ikiwa imekaa kimya imejikita kwenye ukusanyaji wa kodi wakati afya za wapigakura zinadhurika. Dawa za kulevya na vilevi vinavyotiwa kwenye kinywaji cha energy zina madhara makubwa kuliko uvutaji wa bangi au sigara.
Bangi imepigwa marufuku hapa nchini. Watengenezaji wa sigara wanaandika onyo kwenye paketi ya kila sigara: uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako. Ni kwanini serikali haiwahimizi hawa matajiri wawili waandike maandishi kwenye chupa za energy:….unywaji wa energy ni hatari kwa afya yako….kama ilivyo kwenye sigara? Ina maana wameamua kuwaacha wapigakura wauawe na matajiri halafu mwaka 2025 nani atawapigia kura?
Sijawahi kuona nchi ya ajabu na isiyojali afya za wananchi wake kama hii nchi ya kusadika na kufikirika, Tanzania. Watawala wanataka wafe watu wangapi ndipo wachukue hatua? Inasikitisha na inahuzunisha sana.
Kuna siku nilikuwa hospital Fulani hivii ina jina kubwa tuu Dar kuna mtoto alikuwa anakunywa energy kapewa na mama yake,
Aisee, Doctor alivyo ona alifoka sana.
Nataka kusema hata sisi wazazi tulinde kizazi chetu kuna kama sie tumeshindwa kujilinda.
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Juzi niliongea na daktari bingwa anayemiliki hospitali kubwa jijini kuhusu chanzo cha uraibu unaosababishwa na kinywaji cha energy. Daktari huyu alinihakikishia kwamba kinywaji chochote kinachosababisha uraibu lazima kinakuwa na kilevi au dawa za kulevya.
Jibu hili lilinifanya nifikiri sana kuhusu kinwaji cha energy kinachotengenezwa na matajiri wakubwa wawili hapa nchini. Madhara ya kinywaji hiki yamewahi kufanyiwa utafiti na madaktari wa hospitali ya Muhimbili ambao waliwahi kumfanyia upasuaji wa mishipa ya moyo iliyoziba mgonjwa mmoja mraibu wa energy ambaye alikuwa akigida sio chini ya chupa 5 za energy kwa siku.
Napenda kuelekeza lawama zangu kwa matajiri hawa wawili wanaowaua raia kimyakimya huku serikali ikiwa imekaa kimya imejikita kwenye ukusanyaji wa kodi wakati afya za wapigakura zinadhurika. Dawa za kulevya na vilevi vinavyotiwa kwenye kinywaji cha energy zina madhara makubwa kuliko uvutaji wa bangi au sigara.
Bangi imepigwa marufuku hapa nchini. Watengenezaji wa sigara wanaandika onyo kwenye paketi ya kila sigara: uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako. Ni kwanini serikali haiwahimizi hawa matajiri wawili waandike maandishi kwenye chupa za energy:….unywaji wa energy ni hatari kwa afya yako….kama ilivyo kwenye sigara? Ina maana wameamua kuwaacha wapigakura wauawe na matajiri halafu mwaka 2025 nani atawapigia kura?
Sijawahi kuona nchi ya ajabu na isiyojali afya za wananchi wake kama hii nchi ya kusadika na kufikirika, Tanzania. Watawala wanataka wafe watu wangapi ndipo wachukue hatua? Inasikitisha na inahuzunisha sana.
Ukiwa na unaishi dunia ya tatu , matumizi ya AKILI unabidi kuyaongeza Sana.
Vijana wanasagika kwa kunywa hayo madude na mwisho wanapata magonjwa na kufa ghafla Ila kwakuwa hivyo vinywaji huwa vinanywea na watu masikini ,no body care about that.
Ukiwa na unaishi dunia ya tatu , matumizi ya AKILI unabidi kuyaongeza Sana.
Vijana wanasagika kwa kunywa hayo madude na mwisho wanapata magonjwa na kufa ghafla Ila kwakuwa hivyo vinywaji huwa vinanywea na watu masikini ,no body care about that.
Kitu chochote kitacho weza kuingilia mfumo wa fahamu ni kilevi.
Usishangae muislamu hatumii bia ila anapenda ngono.
Wakati ngono nayo ni kilevi mpaka unawaza kupakuwa kisanvu cha kopo
Kitu chochote kitacho weza kuingilia mfumo wa fahamu ni kilevi.
Usishangae muislamu hatumii bia ila anapenda ngono.
Wakati ngono nayo ni kilevi mpaka unawaza kupakuwa kisanvu cha kopo
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Juzi niliongea na daktari bingwa anayemiliki hospitali kubwa jijini kuhusu chanzo cha uraibu unaosababishwa na kinywaji cha energy. Daktari huyu alinihakikishia kwamba kinywaji chochote kinachosababisha uraibu lazima kinakuwa na kilevi au dawa za kulevya.
Jibu hili lilinifanya nifikiri sana kuhusu kinwaji cha energy kinachotengenezwa na matajiri wakubwa wawili hapa nchini. Madhara ya kinywaji hiki yamewahi kufanyiwa utafiti na madaktari wa hospitali ya Muhimbili ambao waliwahi kumfanyia upasuaji wa mishipa ya moyo iliyoziba mgonjwa mmoja mraibu wa energy ambaye alikuwa akigida sio chini ya chupa 5 za energy kwa siku.
Napenda kuelekeza lawama zangu kwa matajiri hawa wawili wanaowaua raia kimyakimya huku serikali ikiwa imekaa kimya imejikita kwenye ukusanyaji wa kodi wakati afya za wapigakura zinadhurika. Dawa za kulevya na vilevi vinavyotiwa kwenye kinywaji cha energy zina madhara makubwa kuliko uvutaji wa bangi au sigara.
Bangi imepigwa marufuku hapa nchini. Watengenezaji wa sigara wanaandika onyo kwenye paketi ya kila sigara: uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako. Ni kwanini serikali haiwahimizi hawa matajiri wawili waandike maandishi kwenye chupa za energy:….unywaji wa energy ni hatari kwa afya yako….kama ilivyo kwenye sigara? Ina maana wameamua kuwaacha wapigakura wauawe na matajiri halafu mwaka 2025 nani atawapigia kura?
Sijawahi kuona nchi ya ajabu na isiyojali afya za wananchi wake kama hii nchi ya kusadika na kufikirika, Tanzania. Watawala wanataka wafe watu wangapi ndipo wachukue hatua? Inasikitisha na inahuzunisha sana.
Serikali inayonunua magari ya washawasha na silaha nyingi za kuzuia maandamano badala ya kununua magari ya zimamoto na vifaa vya uokozi ni serikali inayojali makusanyo ya mapato kuliko usalama wa afya za raia wake
Jukwaa la @JamiiCheck.com limechambua kuhusu unywaji wa vinywaji vya kuongeza Nguvu (Energy Drinks) unavyoweza kuwa na Athari kwenye Mwili wa Binadamu
Dkt. Anthony Gyunda, Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Ndani na Figo wa Hospitali ya Muhimbili – Mlonganzila anasema “Baadhi ya madhara ya Matumizi yaliyopitiliza ya kinywaji hicho ni kuathiri Uzazi, vinapunguza Madini muhimu ya kuzalisha Mayai kwa Wanawake na Mbegu za Kiume, hivyo inaweza kusababisha tatizo la Ugumba na Utasa kwa Vijana ambao ni watumiaji wakubwa.”
Magonjwa mengine ni Shinikizo la juu la Damu, Maumivu ya Kifua, Sonona, Kifafa, Kichaa, Uraibu pamoja na Figo kushindwa kufanya kazi