Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 3,018
- 4,369
Amazing Side of the Life ni kwamba Unywe usinywe energy drinks, sijui uwe vegetarian, sijui ule unakula Pork au nyama nyekundu, sijui uwe mlevi, mvutaji nasema hivi KIFO KIKO PALE PALE.
Tena unaweza kuta mvutaji sigara akaishi miaka mingi kuliko vegetarian..! So Kuna siri kubwa sana kati ya Mungu na Uhai wa viumbe vyake.
Yaani wakati hata kabla hujaja duniani Mwenyezi Mungu anajua kabisa utaishi miaka mingapi hiyo ni siri hapo Nimeongelea mambo ya Rohoni.
Ila ya mwilini ndo haya tunayopigana kila siku usile hiki kula kile, fanya mazoezi haya...
Ishi maisha yako yanayokupa furaha ilimradi usimkufuru Muumba wako( kwa wale wa Imani).
Tena unaweza kuta mvutaji sigara akaishi miaka mingi kuliko vegetarian..! So Kuna siri kubwa sana kati ya Mungu na Uhai wa viumbe vyake.
Yaani wakati hata kabla hujaja duniani Mwenyezi Mungu anajua kabisa utaishi miaka mingapi hiyo ni siri hapo Nimeongelea mambo ya Rohoni.
Ila ya mwilini ndo haya tunayopigana kila siku usile hiki kula kile, fanya mazoezi haya...
Ishi maisha yako yanayokupa furaha ilimradi usimkufuru Muumba wako( kwa wale wa Imani).