DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 2,011
- 4,705
Mm chakula chochote lazima niweke pilipili ya kutosha. Yaan Nina uraibu wa pilipiliAu movie,kubet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm chakula chochote lazima niweke pilipili ya kutosha. Yaan Nina uraibu wa pilipiliAu movie,kubet
Sasa wewe unashauri nini kifanyike kuwanusuru watanzania wanaokufa kila siku kwa sababu ya kunywa energy mkuu?Pitia haya mambo
Kilevi ni nini ?
Stimulants ni nini ?
Depressants ni nini ?
Hata Kahawa ni Stimulant...
Baada ya hayo kila kitu kikizidi hakifai na sio vizuri kuwa tegemezi wa chochote kile
Na yenyewe ina dawa za kulevya?Uraibu wa pilipili sio mzuri kwa afya yako mkuu. Jitahidi uache huo uraibu.
Toa takwimu za hao watanzania waliokufa kwa kunywa energySasa wewe unashauri nini kifanyike kuwanusuru watanzania wanaokufa kila siku kwa sababu ya kunywa energy mkuu?
bangi haina ushuru,ila MO na BARESA wanalipa ushuru man!!Kwanini serikali isizuie utengenezaji wa hizi energy zinazoua watu kila kukicha? Mbona wanazuia bangi na kuwaacha Mo na Bakhresa waendelee kuwaua raia wasiokuwa na hatia? Sio vizuri na haipendezi hata kidogo.
yes!! ndo manake KENYA mirungi ni halali!!Kwa hiyo kigezo cha kulipa ushuru tu kinatosha kuwa sababu ya kuwaangamiza raia wasiokuwa na hatia man?
Mkuu kuwa sirias. Energy ni hatari kuliko mirungi. Serikali inapaswa isikie kilio cha wananchi ipige marufuku matumizi ili kuokoa roho za watanzania wanaoteketea kila siku kwa kunywa energyyes!! ndo manake KENYA mirungi ni halali!!
SawaNdio
Jamaa hajaja kubishana,kama hujamuelewa endelea kugida,hajakuzuia.Sio kweli huyu ni daktari bingwa wa kupotosha...
Kwanza tuanzie hapa, kilevi ni nini?
Hizi ni technical terms inapaswa kuwasilishwa kwa maelezo sahihiJamaa hajaja kubishana,kama hujamuelewa endelea kugida,hajakuzuia.
Hakuna aliyebisha kuwa hizo energy ni hatari ila tunaweka taarifa sawa kwamba hazina kileviWakati ukisubiri utafiti wa pili, wewe endelea kugida tu mkuu.
Caffein ni stimulant sio alcohol... Jihabarishe mkuu.Caffeine sio kilevi mkuu? Hebu kuwa serious na afya za watanzania wenzako basi