Daktari Bingwa: Kuna kilevi kwenye kinywaji cha “energy”

Daktari Bingwa: Kuna kilevi kwenye kinywaji cha “energy”

Sawa Ila unabidi kujua Unapokunywa energy hizi za mo na azam wanaozinywa ni masikini ambao hata kupata chakula cha kueleweka ni ngumu Sana.
Hata sio masikini bali umasikini wa akili. Wanaokunywa mo kwa wingi, sungura unaweza kukuta kutwa anachoma hata 5000 kunywa hivyo vidude ambayo hiyo 5000 inaweza nunua chakula kizuri akala. Wengi boda boda, mafundi ujenzi n.k
 
Serikali inayonunua magari ya washawasha na silaha nyingi za kuzuia maandamano badala ya kununua magari ya zimamoto na vifaa vya uokozi ni serikali inayojali makusanyo ya mapato kuliko usalama wa afya za raia wake
Hayo magari ya kuwasha haya mapya yanazima mpaka moto si tatizo kuyanunua yatatumika popote yanapohitajika.
 
Hata sio masikini bali umasikini wa akili. Wanaokunywa mo kwa wingi, sungura unaweza kukuta kutwa anachoma hata 5000 kunywa hivyo vidude ambayo hiyo 5000 inaweza nunua chakula kizuri akala. Wengi boda boda, mafundi ujenzi n.k



Unajua kuna WATU wanabidi kusaidiwa kuwafungua ufahamu wao serikali ikiendelea kukaa kimya maana jamii inateketea kwa kasi.

Na wengi wanaugua magonjwa ya moyo na wanakufa haraka maana wakishaumwa hawawezi kumudu gharama za matibabu.
 
Unajua kuna WATU wanabidi kusaidiwa kuwafungua ufahamu wao serikali ikiendelea kukaa kimya maana jamii inateketea kwa kasi.

Na wengi wanaugua magonjwa ya moyo na wanakufa haraka maana wakishaumwa hawawezi kumudu gharama za matibabu.
Serikali iko busy kuandaa bima ya kukusanya pesa wakati wananchi hawafuati hata masharti ya afya so hiyo bima itafail vibaya mno.
Energy zina caffein ambayo ni stimulant zinasababisha ubongo kuzalisha dopamine hormone ambayo humfanya mtu ajisikie vizuri.
So hao vijana kutokana na kazi ngumu uchovu unapotea.
Sema kuna wale wanaoitumia na panadol eti wachelewa kufika kileleni.
Watanzania yani wana ujinga mwingi
 
Serikali iko busy kuandaa bima ya kukusanya pesa wakati wananchi hawafuati hata masharti ya afya so hiyo bima itafail vibaya mno.
Energy zina caffein ambayo ni stimulant zinasababisha ubongo kuzalisha dopamine hormone ambayo humfanya mtu ajisikie vizuri.
So hao vijana kutokana na kazi ngumu uchovu unapotea.
Sema kuna wale wanaoitumia na panadol eti wachelewa kufika kileleni.
Watanzania yani wana ujinga mwingi


Upo sahihi unaweza usione madhara leo Ila kuna wakati madhara utayaona too much of anything is harmful
 
Sawa Ila unabidi kujua Unapokunywa energy hizi za mo na azam wanaozinywa ni masikini ambao hata kupata chakula cha kueleweka ni ngumu Sana.
Yaani mtu anayetumia zaidi ya 3,000 kwa siku kwa ajili ya kunywa energy drinks pekee unamuita hawezi kupata chakula cha kueleweka?

Vijana wengi wanakunywa energy kuanzia tatu kwa siku kwa kiwango cha chini. Hiyo sio masikini maana kama 3,000 inaenda kwenye kinywaji pekee hapo hajala wala kuvuta sigara huwezi kumuita masikini.
 
Jukwaa la @JamiiCheck.com limechambua kuhusu unywaji wa vinywaji vya kuongeza Nguvu (Energy Drinks) unavyoweza kuwa na Athari kwenye Mwili wa Binadamu

Dkt. Anthony Gyunda, Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Ndani na Figo wa Hospitali ya Muhimbili – Mlonganzila anasema “Baadhi ya madhara ya Matumizi yaliyopitiliza ya kinywaji hicho ni kuathiri Uzazi, vinapunguza Madini muhimu ya kuzalisha Mayai kwa Wanawake na Mbegu za Kiume, hivyo inaweza kusababisha tatizo la Ugumba na Utasa kwa Vijana ambao ni watumiaji wakubwa.”

Magonjwa mengine ni Shinikizo la juu la Damu, Maumivu ya Kifua, Sonona, Kifafa, Kichaa, Uraibu pamoja na Figo kushindwa kufanya kazi

Soma KWELI - Matumizi Makubwa ya Vinywaji vya kuongeza nishati (Energy Drinks) husababisha Madhara kwenye Figo

#FactsChecking #FactsCheck #JamiiCheck #HakikiHabari #PublicHealth #JamiiForums


View attachment 2918675
Hapa tayari imeshasemwa matumizi makubwa. Sasa kama mtu nakunywa energy drinks mbili hadi tatu kwa siku haiwezi kuwa matumizi makubwa.

Unaposema matumizi makubwa yana madhara maana yake hayaishii kwenye energy drinks pekee bali kwenye vyakola vyote.

Hao madaktari uchwara. Siku hizi kwanza kila mtu daktari naweza kuuliza akili bandia ikanijibu kwa usahihi zaidi kuliko daktari kilaza.

Search engine zipo kibao unapata elimu huko sasa nisubiri maelezo ya daktari ambaye naye anasoma kupitia internet kama mimi.
 
Yaani mtu anayetumia zaidi ya 3,000 kwa siku kwa ajili ya kunywa energy drinks pekee unamuita hawezi kupata chakula cha kueleweka?

Vijana wengi wanakunywa energy kuanzia tatu kwa siku kwa kiwango cha chini. Hiyo sio masikini maana kama 3,000 inaenda kwenye kinywaji pekee hapo hajala wala kuvuta sigara huwezi kumuita masikini.


Hao masikini , MTU makini hawezi kunywa huo uchafu hata hao kina MO na Bakhressa hawanywi huo uchafu
 
Ukiongea mambo kama haya kwa kizazi hiki,unatengeneza beef na watu,kama ni mwanasiasa hupewi kura,kama ni mchungaji waumini wanalihama kanisa,watu wanapenda vitu rojo rojo hawapendi kuambiwa ukweli .Kwa kile ambacho nimebaini
ni kwamba most of beverage industries hazijali afya za walaji bali kutengeneza faida ,sasa kupanga ni kuchagua.
 
Jukwaa la @JamiiCheck.com limechambua kuhusu unywaji wa vinywaji vya kuongeza Nguvu (Energy Drinks) unavyoweza kuwa na Athari kwenye Mwili wa Binadamu

Dkt. Anthony Gyunda, Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Ndani na Figo wa Hospitali ya Muhimbili – Mlonganzila anasema “Baadhi ya madhara ya Matumizi yaliyopitiliza ya kinywaji hicho ni kuathiri Uzazi, vinapunguza Madini muhimu ya kuzalisha Mayai kwa Wanawake na Mbegu za Kiume, hivyo inaweza kusababisha tatizo la Ugumba na Utasa kwa Vijana ambao ni watumiaji wakubwa.”

Magonjwa mengine ni Shinikizo la juu la Damu, Maumivu ya Kifua, Sonona, Kifafa, Kichaa, Uraibu pamoja na Figo kushindwa kufanya kazi

Soma KWELI - Matumizi Makubwa ya Vinywaji vya kuongeza nishati (Energy Drinks) husababisha Madhara kwenye Figo

#FactsChecking #FactsCheck #JamiiCheck #HakikiHabari #PublicHealth #JamiiForums


View attachment 2918675
Hili ni tishio kubwa kwa uhai wa raia na inasikitisha kuona matajiri wanajali zaidi kutengeneza pesa kuliko kuzingatia afya zza walaji. Mo na Bakhress wanatengeneza utajiri wa damu afu kila siku wanajisifu kuwa biashara zao zinakuwa. Ovyo kabisa.
 
Hapa tayari imeshasemwa matumizi makubwa. Sasa kama mtu nakunywa energy drinks mbili hadi tatu kwa siku haiwezi kuwa matumizi makubwa.

Unaposema matumizi makubwa yana madhara maana yake hayaishii kwenye energy drinks pekee bali kwenye vyakola vyote.

Hao madaktari uchwara. Siku hizi kwanza kila mtu daktari naweza kuuliza akili bandia ikanijibu kwa usahihi zaidi kuliko daktari kilaza.

Search engine zipo kibao unapata elimu huko sasa nisubiri maelezo ya daktari ambaye naye anasoma kupitia internet kama mimi.
Uko sahihi kabisa mkuu, hata hizo energy drinks kwenye label yake wameweka maelezo kuhusu matumizi sahihi. Usinywe zaidi ya idadi fulani, mama wajawazito na watoto hawashauriwi kuzitumia. Sasa mtu anakwenda kunywa hadi 5 na vijana siku hizi wanahanganya na paracetamol kama booster. Elimu inatakiwa sana kwa umma
 
Back
Top Bottom